Kwanini wanyama hawafanyi mapenzi kinyume na maumbile?

Kwanini wanyama hawafanyi mapenzi kinyume na maumbile?

Wanaume walio wengi huwa wanawaza furaha zao kuliko za wenzi wao ndo maana hata kwa mapenzi ya kawaida tu hawaangalii kama mwanamke nae anaridhika, hata hyo 071 akiiomba kwa mwanamke baada ya muda atamchoka atamwambia huna marinda, huna utamu, una rambo na maneno mengine mengi. Jamani wanawake muwe mnakataa mnajiharibu afya zenu mnabaki mnatoa harufu mbaya na kuvuja huko nyuma, mnavaa diapers huyo mtu gani anaekupenda atakubali wewe uje kuwa unajiharishia mfululizo badae, sahv utajiona upo juu maana na gari la kupozea kidonda unapewa but in long run mpendwa uandae diapers za kutosha
 
Wanaume walio wengi huwa wanawaza furaha zao kuliko za wenzi wao ndo maana hata kwa mapenzi ya kawaida tu hawaangalii kama mwanamke nae anaridhika, hata hyo 071 akiiomba kwa mwanamke baada ya muda atamchoka atamwambia huna marinda, huna utamu, una rambo na maneno mengine mengi. Jamani wanawake muwe mnakataa mnajiharibu afya zenu mnabaki mnatoa harufu mbaya na kuvuja huko nyuma, mnavaa diapers huyo mtu gani anaekupenda atakubali wewe uje kuwa unajiharishia mfululizo badae, sahv utajiona upo juu maana na gari la kupozea kidonda unapewa but in long run mpendwa uandae diapers za kutosha

abby umenena sanaaa..umenena ukwel
 
Wanaume walio wengi huwa wanawaza furaha zao kuliko za wenzi wao ndo maana hata kwa mapenzi ya kawaida tu hawaangalii kama mwanamke nae anaridhika, hata hyo 071 akiiomba kwa mwanamke baada ya muda atamchoka atamwambia huna marinda, huna utamu, una rambo na maneno mengine mengi. Jamani wanawake muwe mnakataa mnajiharibu afya zenu mnabaki mnatoa harufu mbaya na kuvuja huko nyuma, mnavaa diapers huyo mtu gani anaekupenda atakubali wewe uje kuwa unajiharishia mfululizo badae, sahv utajiona upo juu maana na gari la kupozea kidonda unapewa but in long run mpendwa uandae diapers za kutosha

kwani marinda yako bado yapo?
 
kwani marinda yako bado yapo?
kende huo ushetani bado sijaufanya na siufikirii nimeona mtu anavoteseka kisa anataka maisha mazuri japo wazungu wanasema 'dont say i can't do something because life has a funny way of proving us wrong' but not on this my dear
 
Last edited by a moderator:
Mijadala kama hii ndio inahafifisha na kupumbaza akili za walio wengi.
Yaani umasikini unatutesa watanzania kwa upande mmoja na ujinga(less IQ) kwa upande mwingine, shikamoo watawala kwa mitaala mliyowawekea watoto na vijana wa taifa hili, maana imewafundisha kula mavi na kunywa mikojo ilhali kuna ugali na maji ya kutosha.
 
Unazidi kunipa ukakasi asee. Una maana.... haka kamchezo unakahusudu? Au watamani siku moja nawe ukajaribu?
hapana mkuu sikihusudu na wala sikifikiriii kukifanya .. ninsababu ya kufanya hivi
 
Back
Top Bottom