Kwanini wanyama hawafanyi mapenzi kinyume na maumbile?

Kwanini wanyama hawafanyi mapenzi kinyume na maumbile?

Jamani sijauliza ili mnitete au kuniuliza yasio jenga nimefata ushauri na ntayafanyia kazi nataka kuacha kweli. Mi sijui iliingiaje au alitumia nini kufanya iingie na ninogewe papo hapo na sababu nliopewa ni iyo kua alipitiwa kisa pombe. Ila tangu siku iyo siwez kuji control kila nifanyapo nasubir anifanye ila nkiwa kawaida au katika hali yakutulia nafsi inanisuta. Mnaofanya utani asanteni mbarikiwe mnaoni consider nashukuru kwa ushauri wenu. Swali langu la mwisho je nikitubu hii dhambi kweli itafutwa?
Hata mimi nimeona coments za wengi wamechukulia masihara, but hakuna dhambi isiyo na msamaha cha msingi ni dhamira yako ipoje ila pia nitakusihi badilisha mahusiano achana na huyu mwanaume aliyekuzoesha maana itakua ni rahisi kuacha siku hadi siku
 
Kwa jinsi navyoelewa hiyo michezo alikuanza kwa kukutia vidole wakati mnatumia njia kuu na wewe ulikua unasikia raha na ukakubali aendelee alivyoona umezoea vidole akaamua akusukumie nondo kabsa......
Ukitaka kuacha
1. Ongea na mwenza wako kuwa hutaki huo mchezo maana una madhara sana.(usiombee ukajifungulie hospital ya goverment utajuta, ukipush hewa inatoka tu mpaka usukumiwe matambara).
2. Akikataa kuacha wewe ndio muache. Itauma ila haizidi madhara unayopata. Tundu kuwa wazi sio jambo zuri... Kuna muda unaweza kukaa ukakuta matako yameloa tu...
3. Badili marafiki, I am sure una marafiki wanakusupport.
4. Mrudie Mungu wako na fanya toba. Jiapize hutarudia tena na unachukia tendo hilo. (Hii yaweza kuwa hatua ya kwanza).
5. Jipe likizo ya uzinzi (yes uzinzi kwa kuwa unafanya nje ya ndoa). Kaa hata miezi 6 hufanyi mapenzi, muda huo utakua unajitafakari na kujipa muda wa kubadilika na utafute anayekufaa....

Wish you the best of all...
Heri ya siku ya mwanamke...
 
Huu mchezo umeshika kasi,ndiomaa siku hizi wanawake wenye makalio makubwa wanatamaniwa sana,kwani watu huhusisha kalio kubwa na kupewa tigo.Na kuna wanawake wengi siku hizi usipomuomba tigo anakuona wewe mshamba au hujui kufanya ngono.Vijana waache kupenda tigo sio nzuri kwa afya pia ni dhambi
 
Jamani naomba kuuliza maana nimetokea kujilaumu sana kujaribu hiki kitendo. Mimi ni mtu nlielelewa kidini na kimaadili sana ila tangu nimeanza chuo nimejikuta najaribu vitu tofauti ambavyo sikufanyaga nkiwa nyumbni. Kimoja wapo ni hiki ambacho kilitokea nkiwa na mpenz wangu ambae nipo nae hadi sasa tukiwa tunapoozeshana iliingia kunako kibahati mbaya(alikua amelewa) ila aliendelea kunifanya nkajikuta nanogewa na kupenda. Imekua mchezo wa mara kwa mara na mbaya zaidi nkiwa nasali au nkiwa kawaida nakuta na regret nakujilaumu kwanini nafanya ivo na najua fika ni dhambi isio sameheka.
Naombeni ushauri maybe utanifariji au kunibadilisha mana najaribu kuacha siwezi hasa pale mwenza ananitisha kuniacha.
Pole sana... Ila asikwambie mtu, vitu vyenye addiction ni ngumu kuacha mpaka wewe mwenyewe nafsi yako iamue kuacha... Ukiamua kuacha, amua kwanza kuachana na huyo anayekuharibu, maana ni ukweli usiopingika hatokuoa kamwe... Atakutumia kama kiburudisho tu... Achana naye kisha kaa naye mbali, kisha amua kutubu na kutokaribia tena uchafu huo... ukiamua unaweza!!!
 
Sijamdanganya.

Mungu anajua kila kitu kuhusu sisi kabla ya kuzaliwa kwetu na kufa kwetu, anajua udhaifu wetu na anajua tutapo angukia na tutapo simamia. Kikubwa yeye aache na kumgeukia Mungu kwa dhati na ampendeze Mungu pekee, na sio kuupendeza mwili na tamaa zake au kumpendeza mfirajiii...

vipi ?

unajua kumdanganya mwenzako sana, Mungu amemsameheje kabla hajazaliwa na alikuwa hajatenda hii dhambi? kikubwa atubu kwa muumba wake na aache na Mungu atamsamehe sio kashamsamehe kabla. duuuh haya mafundisho ya siku hz sijui tuegemee wapi
 
Jamani naomba kuuliza maana nimetokea kujilaumu sana kujaribu hiki kitendo. Mimi ni mtu nlielelewa kidini na kimaadili sana ila tangu nimeanza chuo nimejikuta najaribu vitu tofauti ambavyo sikufanyaga nkiwa nyumbni. Kimoja wapo ni hiki ambacho kilitokea nkiwa na mpenz wangu ambae nipo nae hadi sasa tukiwa tunapoozeshana iliingia kunako kibahati mbaya(alikua amelewa) ila aliendelea kunifanya nkajikuta nanogewa na kupenda. Imekua mchezo wa mara kwa mara na mbaya zaidi nkiwa nasali au nkiwa kawaida nakuta na regret nakujilaumu kwanini nafanya ivo na najua fika ni dhambi isio sameheka.
Naombeni ushauri maybe utanifariji au kunibadilisha mana najaribu kuacha siwezi hasa pale mwenza ananitisha kuniacha.

Nasoma mwili unasisimka. Mwanaume materials hawezi kumfanya hivyo mwanamke wake hata siku moja. Huyo atakuchezea kesho ataenda oa chuma kipya kabisa. Suala la msingi si kuwa either atakuoa au la, bali nini madgara ya hiyo kitu. Mwisho wa siku utaishia kuvaa pampasi na utakuwa ukivuja huko chini continuousl so maamuzi ni yako mwenyewe either upate raha za kipumbavu za muda mfupi nakuharibu maisha yako yote au uachane na huo uibilisi ili uwe mwanamke mwenye heshima zake.
 
ACHA HIYO DHAMBI HARAKA SANA....

Cha pili hapo hakuna muoaji, kimbia na speed mia bila kukanyaga breki, ila kama unataka kuchezewa endelea na huyo mtu! full stop!
 
Ukisema ukweli utasaidiwa maswala ya kusema iliingia bahati mbaya sio kweli..

Inaonekana hata kutubu usamehewe utashindwa..

Maana muongo muongo ww
 
Huyoooo hana mpago na ww kabsa kam angekuwa akupendi wala asingufanyia kitendo hicho naomba uachane nae ili upekukane na Tabia hiyo lkn usipoachana nae basi utoacha hiyo Tabia hrf unatakiwa utibiwe kitendo hicho kina madhara makubwa Sana'a kiafya hapo baaadae jiulize sanaaa
 
Njia ya kwanza ya kuacha ni kuachana na huyo anaekula [emoji108] yako ikiwa kweri unania ya kweri ya kuacha mchezo huo [emoji126][emoji126] kuendelea kuwa nae [emoji127] itakughalimu duniani na kesho akhera na mimi naamini ukimuacha huyo kwa kuhofia kwa mola wako atakulete mpenzi mwingine bora kuliko huyo
 
hv hadi uogope kumwacha kwan yeye ndo anakupa pumzi ukimwacha ndo mwisho wa maisha ila maamuz n yako
 
Mh shost huyo hakuoi walai..labda kama nawewe huna malengo ya ku upgrade relationship yenu! La sivyo atakutimba timba afu akuache hapo bila thamani my dear
 
Tangu uanze chuo umejikuta ukijaribu vitu tofauti, Ulijaribu hicho kitendo halafu bahati mbaya?
 
Eti alilewa akaingiza na wewe hukuhisi kama imeingia, basi palikuwa mtibwa maana dushe mpaka ipite sehemu yenye linda ni kazi labda alipaka jelly kabisa. Ila wanawake wengi we jitie umekosea dushe ndo kwanza anaishikilia iingie vizuri au anakata uno.
 
Back
Top Bottom