Kwanini wanyama hawafanyi mapenzi kinyume na maumbile?

Kwanini wanyama hawafanyi mapenzi kinyume na maumbile?

Lakini hiyo ya sodoma na gomora si ilikuwa kati ya wanaume kwa wanaume , hii mada husika ni ya wanawake kwa wanaume , je kwann unafikiri ni sawa ?
Swali zuri sana mkuu.

Kwa mujibu wa imani yangu amelaaniwa hata yule anayemuingilia mwanamke kwa nyuma tena huyu ni mshenzi sana kwa sababu tundu la mbele lipo analiwacha makusudi?

Na anaemwingilia mwanaume mwenzie amezidi ushenzi kwa sababu hakuona wanawake wote hawa wa kuoa?



Sent using Jamii Forums mobile app
 
A. Mwanaume kwa Mwanamke ni starehe
B. Mwanaume kwa Mwanaume ni laana!..

Tafuteni A iliyoandikwa ni laana!. Sehemu nyingi zimeonyesha B ni laana!.
Tendo la ndoa ni muunganiko wa mke na mume hakukuwekwa masharti jinsi ya kulifanya!.
 
Swali zuri sana mkuu.

Kwa mujibu wa imani yangu amelaaniwa hata yule anayemuingilia mwanamke kwa nyuma tena huyu ni mshenzi sana kwa sababu tundu la mbele lipo analiwacha makusudi?

Na anaemwingilia mwanaume mwenzie amezidi ushenzi kwa sababu hakuona wanawake wote hawa wa kuoa?



Sent using Jamii Forums mobile app
Dini ya waislamu ndio wanaindekeza kwa kwa maana wao huita suna

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa hii ni propaganda ambayo nadhani umeichukua kupitia wasiokuwa waislamu.

Sitaki kukudai andiko kwa sababu najua halipo.hivyo nakushauri tu usiwe mchafuzi kwa maneno yasiyo na hakika.



Sent using Jamii Forums mobile app
True ni suna kwao kumuingilia mwanamke nyuma ya maumbile kwao suna nipe namba ya simu tumuulize hao wenzio nimeachwa nao na wakaolewa wanaotoa tigo ni likuwa na rama na yusuph so usikifanye saint na wajua sana kushinda mnavyojijua.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
A. Mwanaume kwa Mwanamke ni starehe
B. Mwanaume kwa Mwanaume ni laana!..

Tafuteni A iliyoandikwa ni laana!. Sehemu nyingi zimeonyesha B ni laana!.
Tendo la ndoa ni muunganiko wa mke na mume hakukuwekwa masharti jinsi ya kulifanya!.
Njia zote ni mbaya biblia imeandika hivi sijui huko ya kwenu mfiraji na mfirwaji wote wamelaaniwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Walikupa andiko gani linalosaema ni sunna kuingilia kinyume?

Sent using Jamii Forums mobile app
Mwaya hiyo kitabuu yenu ya kuiga mambo ya watu sijui ila hao wakina ostadh wameniacha kisa sitoi tigo wakaoa watoa tigo.
Kisa tigo ni suna tena wanaambiwa mwanamke akiwa katika hedhi ni halali kumwomba huko.
Ili haja yako uitulize.
Mimi nikiwaga huko wanadai ni haki yao kupewa huko ukikataa ugomvi visa nikaona tuachane.
Sitoi tigo yangu aisee maana Mungu aliweka nikaitumie kwa kutolea choo na

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom