kurlzawa
JF-Expert Member
- Jan 23, 2018
- 16,695
- 20,633
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maombi humbadilisha kila mtu tu nakufanya ajitambue hayuko kwenye sehemu sahihi.
Sibishani na wewe unashida zako jaribu kumtafuta mtu wakumpa stress zako.
Stress zpo nyuma kwakoSibishani na wewe unashida zako jaribu kumtafuta mtu wakumpa stress zako.
Sent using Jamii Forums mobile app
Swali zuri sana mkuu.Lakini hiyo ya sodoma na gomora si ilikuwa kati ya wanaume kwa wanaume , hii mada husika ni ya wanawake kwa wanaume , je kwann unafikiri ni sawa ?
Lakini hiyo ya sodoma na gomora si ilikuwa kati ya wanaume kwa wanaume , hii mada husika ni ya wanawake kwa wanaume , je kwann unafikiri ni sawa ?
Niko bega kwa bega na wewe tuutokomeze hii kitu tuundeni group la KUUTOKOMEZA USHOGA INAWEZEKANA.
okoyoko, plato na nanga wao wako wazi kuhusu hilo suala
Wewe ni wale wafuatao kwa maana ni dini yenu inaongoza kwa kupenda hii kitu wanaita suna.
Ustaadh inabidi ukabidhiwe msikiti.Kwa maana unatoa da'awa si mchezo maalim!
Dini ya waislamu ndio wanaindekeza kwa kwa maana wao huita sunaSwali zuri sana mkuu.
Kwa mujibu wa imani yangu amelaaniwa hata yule anayemuingilia mwanamke kwa nyuma tena huyu ni mshenzi sana kwa sababu tundu la mbele lipo analiwacha makusudi?
Na anaemwingilia mwanaume mwenzie amezidi ushenzi kwa sababu hakuona wanawake wote hawa wa kuoa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa hii ni propaganda ambayo nadhani umeichukua kupitia wasiokuwa waislamu.
True ni suna kwao kumuingilia mwanamke nyuma ya maumbile kwao suna nipe namba ya simu tumuulize hao wenzio nimeachwa nao na wakaolewa wanaotoa tigo ni likuwa na rama na yusuph so usikifanye saint na wajua sana kushinda mnavyojijua.Sasa hii ni propaganda ambayo nadhani umeichukua kupitia wasiokuwa waislamu.
Sitaki kukudai andiko kwa sababu najua halipo.hivyo nakushauri tu usiwe mchafuzi kwa maneno yasiyo na hakika.
Sent using Jamii Forums mobile app
Njia zote ni mbaya biblia imeandika hivi sijui huko ya kwenu mfiraji na mfirwaji wote wamelaaniwa.A. Mwanaume kwa Mwanamke ni starehe
B. Mwanaume kwa Mwanaume ni laana!..
Tafuteni A iliyoandikwa ni laana!. Sehemu nyingi zimeonyesha B ni laana!.
Tendo la ndoa ni muunganiko wa mke na mume hakukuwekwa masharti jinsi ya kulifanya!.
jaribuHivi nyie mnaofanya na kufanywa mnapata raha gani????!!
Mbele kote hakutoshi ??
Wote mnaofanya hvyoo ni mapepo tuu[emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]
Sent using Jamii Forums mobile app
Walikupa andiko gani linalosaema ni sunna kuingilia kinyume?True ni suna kwao kumuingilia mwanamke nyuma ya maumbile kwao suna nipe namba ya simu tumuulize hao wenzio nimeachwa nao na wakaolewa wanaotoa tigo ni likuwa na rama na yusuph so usikifanye saint na wajua sana kushinda mnavyojijua.
Sent using Jamii Forums mobile app
Biblia kifungu gani!?..Njia zote ni mbaya biblia imeandika hivi sijui huko ya kwenu mfiraji na mfirwaji wote wamelaaniwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwaya hiyo kitabuu yenu ya kuiga mambo ya watu sijui ila hao wakina ostadh wameniacha kisa sitoi tigo wakaoa watoa tigo.