Kwanini wanyama hawafanyi mapenzi kinyume na maumbile?

Kwanini wanyama hawafanyi mapenzi kinyume na maumbile?

Hata Quran imeandika WAKE ZENU NI MASHAMBA YENU WAENDEENI MTAKAVYO.
Mkuu kinyoba wewe Hiyo aya ya Quran umeikopi kipande tu mbona hujamalizia mwisho wake inasemaje?Au Unatafsiri aya za Quran kama biblia inavyotafsiriwa? ngoja nikumalizie hiyo Aya ya Quran inasema hivi ninakupa ukamilifu wa hiyo aya hebu soma hapa:

SURA 2:223. (Wake zenu ni mwahali mwa kupatia uzazi, kama vile mbegu inavyo toa mmea. Basi ni halali kwenu

kuwaingilia vyovyote kwa sharti ya kupitia njia za uzazi. Na mcheni Mwenyezi Mungu wala msimuasi katika kukaa

kwenu na wanawake. Na mjue kuwa nyinyi mtakutana naye, na mna jukumu kwake. Furaha ni ya hao wanao simama juu ya mipaka yake Mtukufu na hawaikiuki)

Wapi kwenye Quran imeruhusu mwanamke kumla Tigo? Mbona mkuu unasema maneno ya uongo? unatoka nje ya Topic yetu kuzungumzia madhara ya kula Tigo unakwenda kwenye mambo ya dini acha kusema uongo mkuu.
 
Last edited by a moderator:
Sio vzr kutisha watu kwa sababu za uongo ndio km yale mwanamke mjamzito asile mayai.

Sababu kubwa ya kuziba njia ya mkojo kwa maana ya urethral stricture ni gonorrhoea..sasa hiyo uliotoa kwamba tigo inasabababisha umetoa ktk reference ipi? Labda isababishe UTI au orchiditis inaweza kutokana na tigo..
 
Haujajibu swali langu. Hapa si ndiyo pale ''where we dare to talk openly?'', ongeza jibu mkuu mi mistari michache hivyo huwa naachwa njia panda.

I'm sure he meant standard safe sex practices kama; kujisafisha kabla ya tukio, kutumia mpira nk. siwezi kufafanua zaidi kwa sababu sitaki 'u-membership wangu uote nyasi'.
 
Sio vzr kutisha watu kwa sababu za uongo ndio km yale mwanamke mjamzito asile mayai.

Sababu kubwa ya kuziba njia ya mkojo kwa maana ya urethral stricture ni gonorrhoea..sasa hiyo uliotoa kwamba tigo inasabababisha umetoa ktk reference ipi? Labda isababishe UTI au orchiditis inaweza kutokana na tigo..

Kuziba njia ya mkojo ni tatizo linalowatokea sana wanaume watu wazima, yaani kuanzia umri wa makamo (miaka ya late 40s) na kuendelea. Na sababu kubwa ni kuvimba kwa tezi Ng'ombe au Prostate. Gonorrhoea inaweza sababisha Urethral Stricture hasa kwa vijana, lakini Urethral Stricture sio sababu kubwa ya kuziba njia ya mkojo.
 
Mkuu Boflo nimesha kujibu na kuweka Thread hapo juu Kuhusu madhara ya kufanya Tigo bado wewe unaniletea Swali la ligi Eti mtu akifanya kwa kutumia Kondom hawezi kupata hayo maradhi ya kuzibika mkojo? kawaulize wanaofanya hilo tendo la tigo watakujibu unauliza maswali mengine hayana mpango wowote ule ukiweza wewe jaribu kufanya Tigo kwa kutumia kondom kisha utaona madhara yake na faida yake.
lemme help u guys, ukitumia mpira huwezi pata matatizo ya kuziba njia ya mkojo na mnashauliwa kwa wanaume mnaopenda mchezo huo kutumia xana mpira, 4 more info soma kitabu kinachoitwa human sexuality:majani7:
 
mie nililiwa tigo once,wala hainogi kama mbele......ingekuwa inanoga nisingesikia la mnadi swala....😱hwell: ushauri onja ukipenda usijinyime,usipopenda achana nayo....:target:
 
lemme help u guys, ukitumia mpira huwezi pata matatizo ya kuziba njia ya mkojo na mnashauliwa kwa wanaume mnaopenda mchezo huo kutumia xana mpira, 4 more info soma kitabu kinachoitwa human sexuality:majani7:
Mkuu Black ma colour Wewe unawashauri watu watumie Mpira inaonyesha wewe unatumia hii kitu? au sio? na kama hautumii hii kitu kwanini unawapa watu mawazo yako ya Pumba?
 
Last edited by a moderator:
mie nililiwa tigo once,wala hainogi kama mbele......ingekuwa inanoga nisingesikia la mnadi swala....😱hwell: ushauri onja ukipenda usijinyime,usipopenda achana nayo....:target:
bibie imaney Ulivyo onjwa kuliwa Tigo ulionaje maumivu yake? mpaka ukamuwa kuacha kutumia tena?
 
Last edited by a moderator:
mzizi mkavu umeandamwa sababu kasu kimegonga mfupa
Mkuu danali wameniandama kutokana na kile wanachokipenda ninawapiga vita ni sawasawa ukienda kwenye Ulevi kisha uwaambie Walevi acheni kunywa Pombe watakuvukuza hapo mahali wanapo kunywa pombe zao. Sema Ukweli ingawa inauma mkuki kwa nguruwe lakini Kmkuki huo huo Kwa binadamu unakuwa ni mchungu.
 
Last edited by a moderator:
bibie imaney Ulivyo onjwa kuliwa Tigo ulionaje maumivu yake? mpaka ukamuwa kuacha kutumia tena?

wala sio maumivu basi tu sikuinjoy halafu siamini haya uliyoandika,especially hio number 2 ,tungekuwa tunaona watu na mavi kila kona kny mabasi,vyuoni etc au wanavaa pampasi:becky:?hio number moja una ushahidi cases ngapi za wagonjwa wanaume mishipa iliziba?na kati ya hao ni wangapi sababu ilihusisha kula tigo? in other words nini kinasababisha kuziba kwa mishipa apart from kula tigo?
 
Du! Basi naomba yaishe mkuu maana huko tunakoelekea si kuzuri.
Mkuu Malyenge Mjibu Dr Riwa si ulikuwa unaniambia mimi sijuwi Raha ya Tigo sasa wewe unatumia Tigo ? unaliwa Tigo au unakula Tigo? Kwenu Mwaliwa wali au Mwaliwa Ugali? Tupe raha za Tigo tupate kujuwa na sisi ambao hatuja wahi kutumia unasemaje?
 
Last edited by a moderator:
Tunashukuru sana MziziMkavu kwa elimu. Unajua hata darasani unaruhusiwa kusikiliza mwalimiu anachosema au kufanya yale unayoona wewe kwako ni rahisi hata kama hukufundishwa.

Katika hali ya kawada huwezi kuhalalisha kufanya mapenzi kinyume na maumbile. Hawa wanahahizaya hawa wanaoona ni haki na wajibu wao kufanya ngono kinyume na maumbile wamelaaniwa. Kama ni wapenzi wa vitabu vya Mungu utaelewa zaidi.
Mkuu Caroline Danzi asante kila nikiweka Thread yangu yoyote Tafadhali chukuwa wewe kopi weka kwenye Computer yako kisha kafanyie kazi thread yangu utagunduwa kuna faida nyingi kwenye Thread yangu usifanye dharau jaribu kufuatilia Thread zangu nyingi ni Mafundisho sio mchezo mkuu.
 
Last edited by a moderator:
Kuna jarida nimewahi kulisoma linasema madhara yote yanayotokana na matumizi ya TIGO yanaweza kupunguzwa au kuondolewa kwa kutumia condoms aina ya cyto-condoms ambazo zimeanza kutengezwa huko MONGOLIA.
 
wala sio maumivu basi tu sikuinjoy halafu siamini haya uliyoandika,especially hio number 2 ,tungekuwa tunaona watu na mavi kila kona kny mabasi,vyuoni etc au wanavaa pampasi:becky:?hio number moja una ushahidi cases ngapi za wagonjwa wanaume mishipa iliziba?na kati ya hao ni wangapi sababu ilihusisha kula tigo? in other words nini kinasababisha kuziba kwa mishipa apart from kula tigo?

mmh! Napita mi simzoefu wa mambo ya kula tigo
 
Mkuu MziziMkavu daima niko nawe katika suala zima la kupinga kuendekeza Sodoma na Gomora (kulana tigo). Tuko pamoja!

mkereketwa usishabikie kiunazi pia boflo ana haki ya kujibiwa, ni kuwa tigo ikiliwa na kondomu kwa mwanaume haitakuwa na madhara labda kisaikolojia tu anaweza akawa hapendi uku kwenye voda coz uku hakubani sana kama kule na hata kuyuli anaweza kuwa anachelewa au asifurahie, ila matatizo kwa mwanamke ni makubwa tena ka hatumii K-Y jelly, si nzuri boflo iila kama ni tabia yako anza kuacha taratibu wakat wote usiache daluga na hilo wese nmekutajia, tabu yake hiyo kama umeanzisha kwa mwenzio mara ukijidai kuacha bila kumanda kisaikolojia atakua anaenda kuzitafuta mwenyewe huko nje. naomba kuwasilisha
 
Back
Top Bottom