Kwanini wanyama hawafanyi mapenzi kinyume na maumbile?

Kwanini wanyama hawafanyi mapenzi kinyume na maumbile?

Firauni firauni tu!
Hata ungemkuta na bikra ya sikio!!
We we alikukuta na kizibo cha soda hapo mbele?
Mxxxxxxxxxiiiiou
 
Mi sijaikuta lakini siwezi kufanya hivyo, heshima itakuja tu ukijua kumtengeneza na kumsugua vizuri mpaka anasahau historia yote ya wapenzi waliokutangulia kabla yako.

Umejuaje anatosheka? je ka alishaliwaga na anakuona ----- hutaki iyo kitu je?
 
Mawazo ya kishetwain na unatutengua udhu wetu sisi 'Maulamaa"mwezi huu wa haki wa Ramadhan
 
wadau kwa sisi ambao tumekuta wake zetu hawana tena bikra,kuna haja ya kumfumua marinda ya nyuma ili kujenga heshima na kumbukumbu au unamsamehee bure,uendelee kula makombo?

Kurudi nyuma nomaaaaaaa!
 
Duuh hii kali mkuu !! Ndiyo tatizo la wabongo kila kitu used .je wewe cyo used ?? Kama wewe ni used ucjaribu kufanya upumbavu wako kwa mama watoto wako .mheshim huyo ni mpenzi wako .mpende na mheshim uctuletee viroba vyako .ukatuaribia cku
 
1 Wakorintho 6:9 inasema wafiraji, walawiti hawataingia mbinguni.
Maoni yangu
Mungu hakukosea kuweka kila kiungo kwa ajili ya kazi fulani sema shetani tokea mwanzo anapingana na Mungu akaanzisha ufalme wake hapa duniani na kugeuza yale Mungu aliyoyasema si mazuri kufanya yeye akayafanya mazuri na binadamu kwa kuiga wakafanya
 
heshima ya ndoa tunza familia yako vizuri......utakuwa umetimiza wajibu wako kama kichwa cha familia......
 
1 Wakorintho 6:9 inasema wafiraji, walawiti hawataingia mbinguni.
Maoni yangu
Mungu hakukosea kuweka kila kiungo kwa ajili ya kazi fulani sema shetani tokea mwanzo anapingana na Mungu akaanzisha ufalme wake hapa duniani na kugeuza yale Mungu aliyoyasema si mazuri kufanya yeye akayafanya mazuri na binadamu kwa kuiga wakafanya

watu wanabadilisha ukweli wa Mungu kutokana na tamaa za miili yao......Mungu aturehemu.....
 
Kama haya ndio mawazo unayo muwazia mkeo namuonea huruma sana .Maana hujui thamani ya mke, huthamini utu wake sijui wewe mkeo unamchukulia kama kitu gani ambacho hakina thamani mbele yako.Namuonea huruma sana huyo dada ambae ni mkeo na siku akijua haya kama anakupenda utakuwa umempa kidonda kikubwa sana moyoni .Mungu atusaidie kwakweli kama wanaume wenyewe ndio hawa ni taabu.
 
Hali inatisha sana isitoshe dada anajiproud kapata mume lakini hajui kitu anachomuwazia juu yake kweli mioyo yetu inaficha mambo makubwa kuliko kuta za nyumba.
 
wadau kwa sisi ambao tumekuta wake zetu hawana tena bikra,kuna haja ya kumfumua marinda ya nyuma ili kujenga heshima na kumbukumbu au unamsamehee bure,uendelee kula makombo?

Khaaaa. wewe alikukuta na Bikra? Just Stupid
 
Back
Top Bottom