Damaso
JF-Expert Member
- Jul 18, 2018
- 3,978
- 6,739
Habari wanajukwaa!
Ningependa kujua kwa nini baadhi ya wanyama, hasa mamalia na wengine, hula watoto wao dhaifu au waliokufa mara tu baada ya kuzaliwa. Mara nyingi huwa ni tabia ambayo ipo kwa paka, mbwa, fisi pamoja na wanyama wengine, kwani ni vigumu sana kuona amezaa na kukuta vitoto vyake vikiwa hoi taabani au vimepoteza maisha?
Je, ni tabia ya kiasili au kuna sababu nyingine za kisayansi zinapolekea kutokea kwa jambo hili?
Binafsi nimepata kuwa na mbwa katika makazi yangu kwa vipindi tofauti, na mara kadhaa sijawahi kukutana na kitoto cha mbwa kikiwa dhaifu ama kimekufa na mama yao hajawatafuna.
Natamani sana kufahamu kwanini huwa wanawapiga menu, huwa ni njaa tu ama kuna jambo jingine nyuma ya pazia?
Ningependa kujua kwa nini baadhi ya wanyama, hasa mamalia na wengine, hula watoto wao dhaifu au waliokufa mara tu baada ya kuzaliwa. Mara nyingi huwa ni tabia ambayo ipo kwa paka, mbwa, fisi pamoja na wanyama wengine, kwani ni vigumu sana kuona amezaa na kukuta vitoto vyake vikiwa hoi taabani au vimepoteza maisha?
Je, ni tabia ya kiasili au kuna sababu nyingine za kisayansi zinapolekea kutokea kwa jambo hili?
Binafsi nimepata kuwa na mbwa katika makazi yangu kwa vipindi tofauti, na mara kadhaa sijawahi kukutana na kitoto cha mbwa kikiwa dhaifu ama kimekufa na mama yao hajawatafuna.
Natamani sana kufahamu kwanini huwa wanawapiga menu, huwa ni njaa tu ama kuna jambo jingine nyuma ya pazia?