Kwanini wanyama huwa wanakula watoto wao wadhaifu mara baada ya kuzaa?

Kwanini wanyama huwa wanakula watoto wao wadhaifu mara baada ya kuzaa?

Mchakato wa uchungu na kuzaa humuacha akiwa dhaifu na mwenye njaa, kwa carnivorous kua weak means anakua prey kwa predators so anakula offspring dhaifu ili kurudisha nguvu alizopoteza
 
Wanasema kama paka wakikosa chakula,wanakula watoto wao.
Paka hawafugiki.
Wanazaana Ile mbaya.
Ni lazima yule feline aondolewe kizazi.
 
Habari wanajukwaa!

Ningependa kujua kwa nini baadhi ya wanyama, hasa mamalia na wengine, hula watoto wao dhaifu au waliokufa mara tu baada ya kuzaliwa. Mara nyingi huwa ni tabia ambayo ipo kwa paka, mbwa, fisi pamoja na wanyama wengine, kwani ni vigumu sana kuona amezaa na kukuta vitoto vyake vikiwa hoi taabani au vimepoteza maisha?
View attachment 3261696

Je, ni tabia ya kiasili au kuna sababu nyingine za kisayansi zinapolekea kutokea kwa jambo hili?
View attachment 3261695

Binafsi nimepata kuwa na mbwa katika makazi yangu kwa vipindi tofauti, na mara kadhaa sijawahi kukutana na kitoto cha mbwa kikiwa dhaifu ama kimekufa na mama yao hajawatafuna.
View attachment 3261697

Natamani sana kufahamu kwanini huwa wanawapiga menu, huwa ni njaa tu ama kuna jambo jingine nyuma ya pazia?
Hua akizaa anakagua kw kunusa au kumgeuza (bodycheck)au anasogea mbele kidogo anaangalia yule dhaifu akiona ambae hayuko sawa kuna 2. Anauwa kabisa anabeba kutupa au kama ana njaa anatafuna kabisa.
Hii ni hulka yao mnyama mwenye miguu 4 mwwnye asili ya kuishi porini au jangwani hua hawapendi kuona wakisumbuliwa na watoto ambao ni mzigo kwao wakati wa kusaka au kusafiri.
 
Hua akizaa anakagua kw kunusa au kumgeuza (bodycheck)au anasogea mbele kidogo anaangalia yule dhaifu akiona ambae hayuko sawa kuna 2. Anauwa kabisa anabeba kutupa au kama ana njaa anatafuna kabisa.
Hii ni hulka yao mnyama mwenye miguu 4 mwwnye asili ya kuishi porini au jangwani hua hawapendi kuona wakisumbuliwa na watoto ambao ni mzigo kwao wakati wa kusaka au kusafiri.
Aisee
 
Back
Top Bottom