MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,018
- 16,802
Kuna nini Kimejificha hasa juu ya huu Utaratibu wao ambao kwa wanaopenda Kufikiri (Akili Kubwa ) wanaweza kudhani Wapemba wana Roho Mbaya na Wakatili?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aloo popoma mtu akifa atafufuka kesho yake kwani na kipi kinacho subiriwa mpaka asizikwa siku hiyo hiyo?Kuna nini Kimejificha hasa juu ya huu Utaratibu wao ambao kwa wanaopenda Kufikiri ( Akili Kubwa ) wanaweza kudhani Wapemba wana Roho Mbaya na Wakatili?
Ni mapokeo tu toka enzi hizo hata majokofu hayakuwepo na kwa joto la arabuni isingewezekana kulaza maiti,uislam kila lililo la mwarabu ni la mnyazi mungu,funny truth!Aloo popoma mtu akifa atafufuka kesho yake kwani na kipi kinacho subiriwa mpaka asizikwa siku hiyo hiyo?
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Na kweli hili lilikuwa relevant enzi hizo ambapo hakukuwa na mechanisms za kuhifadhi miili kwa muda mrefu.......unaweza kujikuta unazika mtu ambaye kazimia tu hajafa, haraka ni ya nini hasa?Ni mapokeo tu toka enzi hizo hata majokofu hayakuwepo na kwa joto la arabuni isingewezekana kulaza maiti,uislam kila lililo la mwarabu ni la mnyazi mungu,funny truth!
Hivi umeyaona maswali ya hiyo hoja yangu au umekurupukaNi mapokeo tu toka enzi hizo hata majokofu hayakuwepo na kwa joto la arabuni isingewezekana kulaza maiti,uislam kila lililo la mwarabu ni la mnyazi mungu,funny truth!
Sawa sisi tunaharakisha vitu viwili mazishi na ndoa.Ni mapokeo tu toka enzi hizo hata majokofu hayakuwepo na kwa joto la arabuni isingewezekana kulaza maiti,uislam kila lililo la mwarabu ni la mnyazi mungu,funny truth!
Kwa hiyo haya ni maagizo ya mnyaazi, au ni mapokeo tu...Sawa sisi tunaharakisha vitu viwili mazishi na ndoa
Mazishi umesema joto tufanye Sawa
Haya na ndoa?
Hiyo ya joto wanaongopa Yesu baada ya kufa kakaa siku ngapi ndio akazikwaSawa sisi tunaharakisha vitu viwili mazishi na ndoa
Mazishi umesema joto tufanye Sawa
Haya na ndoa?
ongezea na mtu anayetaka kusilimuSawa sisi tunaharakisha vitu viwili mazishi na ndoa
Mazishi umesema joto tufanye Sawa
Haya na ndoa?
Yesu baada ya kufa kakaa siku ngapi ndio akazikwaKwa hiyo haya ni maagizo ya mnyaazi, au ni mapokeo tu...
Na kwa nini kuchelewa kuzika isiwe busara, vipi kama huyo mtu kazimia..........huoni kuchelewa ndo busara zaidi?Yesu baada ya kufa kakaa siku ngapi ndio akazikwa
Kuwahi kuzika ndio busara zaidi kuliko kukaa na kiumbe kisicho hai ndani unataka kifanyaje humo kwenye jokofu kizae au?
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Haswaaongezea na mtu anayetaka kusilimu
Doctor ndio ana prove kwamba huyu mtu amesha fariki na sivingine kwahiyo hakuna nafasi ya kuzika mtu ambaye yupo HAI na kila DINI ina mila na desturi zake kwahiyo fata ya kwako unayo ona wewe yana faa kwa mila yako maisha ni very simple watu ndio huya fanya magumu sababu mtu hutaka lile jambo lake liwe sawa la mwingine sio sawa.Na kweli hili lilikuwa relevant enzi hizo ambapo hakukuwa na mechanisms za kuhifadhi miili kwa muda mrefu.......unaweza kujikuta unazika mtu ambaye kazimia tu hajafa, haraka ni ya nini hasa?
Kazimia [emoji1787]Na kwa nini kuchelewa kuzika isiwe busara, vipi kama huyo mtu kazimia..........huoni kuchelewa ndo busara zaidi?
Hapa unalazimisha mafungamano baina ya Uislamu na mila na dasturi za waarabu.Ni mapokeo tu toka enzi hizo hata majokofu hayakuwepo na kwa joto la arabuni isingewezekana kulaza maiti,uislam kila lililo la mwarabu ni la mnyazi mungu,funny truth!
Hapana kifo kinafahamika na kina ishara zote za kidaktar na hata kienyejiNa kwa nini kuchelewa kuzika isiwe busara, vipi kama huyo mtu kazimia, huoni kuchelewa ndo busara zaidi?