Kwanini Wapemba wakifiwa Marehemu atazikwa siku hiyo hiyo hata kwa Tochi, Chemli na Taa za Magari?

Kwanini Wapemba wakifiwa Marehemu atazikwa siku hiyo hiyo hata kwa Tochi, Chemli na Taa za Magari?

Na kweli hili lilikuwa relevant enzi hizo ambapo hakukuwa na mechanisms za kuhifadhi miili kwa muda mrefu.......unaweza kujikuta unazika mtu ambaye kazimia tu hajafa, haraka ni ya nini hasa?
Kwa hiyo mnapo waweka kwenye majokofu ni kwa kuwa hamuna uhakika/ hamuamini kuwa kweli wamekufa.

Hivyo huwa mnasubiri huwenda wakazinduka?
 
Doctor ndio ana prove kwamba huyu mtu amesha fariki na sivingine kwahiyo hakuna nafasi ya kuzika mtu ambaye yupo HAI na kila DINI ina mila na desturi zake kwahiyo fata ya kwako unayo ona wewe yana faa kwa mila yako maisha ni very simple watu ndio huya fanya magumu sababu mtu hutaka lile jambo lake liwe sawa la mwingine sio sawa.

Sent from my SM-S901B using JamiiForums mobile app
Wale ambao wameenda kuzinduka mochwari kwani doctor alikuwa haja prove..........sioni haja ya kukimbizana kwenda kuzika, muda wa kutosha utolewe kufanya maandalizi yote muhimu na hata kuwasubiri ndugu wengine.
 
Wale ambao wameenda kuzinduka mochwari kwani doctor alikuwa haja prove..........sioni haja ya kukimbizana kwenda kuzika, muda wa kutosha utolewe kufanya maandalizi yote muhimu na hata kuwasubiri ndugu wengine.
Imetokea mara ngapi na kwa muda gani tangu marehemu apelekwe monchwal?

Unafosi taratibu za watu wengine zifanane na za kwako?

Kuna faida gani ya kuchelewesha kuzika?

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Imetokea mara ngapi na kwa muda gani tangu marehemu apelekwe monchwal?

Unafosi taratibu za watu wengine zifanane na za kwako?

Kuna faida gani ya kuchelewesha kuzika?

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Kuna kusubiri ndugu na watu wengine muhimu wakiwemo watoto, mke na ndugu wengine ambao inaweza kuwachukua muda kufika kutokana na umbali, hili wewe huoni ni la muhimu?
 
Kazimia [emoji1787]
Kwa hiyo wengine huifadhi mwili kwenye jokofu kwa masiku kadhaa wakiamini mpendwa wao atazinduka!?[emoji16][emoji2296]
Huo uwezekano upo, Lazaro alifufuka akiwa tayari keshatoa harufu, Yesu Kristo alifufuka siku ya tatu........huko kwa mnyaazi ndo miujiza kama hii haiwezekani, maana hata nabii wa mnyaazi hakufufuka....​
 
Kwa hiyo mnapo waweka kwenye majokofu ni kwa kuwa hamuna uhakika/ hamuamini kuwa kweli wamekufa.

Hivyo huwa mnasubiri huwenda wakazinduka?
Tunazo shuhuda za hili, Lazaro alifufuka baada ya kukaa kaburini na kutoa harufu, Yesu alifufuka baada ya kukaa kaburini kwa siku tatu.............hivi vitu haviwezekani tu kwa mnyaazi maana hata mtume wake hakufufuka.
 
Kuna nini Kimejificha hasa juu ya huu Utaratibu wao ambao kwa wanaopenda Kufikiri ( Akili Kubwa ) wanaweza kudhani Wapemba wana Roho Mbaya na Wakatili?
Dini utamaduni watu wanabisha.hivi unajua tamaduni hiyo wametoa sehemu mwili wa binadamu ukifa unaoza haraka sababu ya joto.ndio maana wanazika haraka
 
Tunazo shuhuda za hili, Lazaro alifufuka baada ya kukaa kaburini na kutoa harufu, Yesu alifufuka baada ya kukaa kaburini kwa siku tatu.............hivi vitu haviwezekani tu kwa mnyaazi maana hata mtume wake hakufufuka.
Hao ndio wakaawambia msizike mapema huenda wakafufuka?

Mbona hao wamefufuka wakiwa kaburini teyari?

Kwanini nyie msizike tu watafufukia wakiwa washazikwa?

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Hao ndio wakaawambia msizike mapema huenda wakafufuka?

Mbona hao wamefufuka wakiwa kaburini teyari?

Kwanini nyie msizike tu watafufukia wakiwa washazikwa?

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Unajua baada ya Lazaro kufa walisubiri siku ngapi ili Yesu aje, na alipochelewa mwili ukaanza kuharibika ndo wakaenda kumzika, ndo maana nikakwambia sisi tunaamini kwenye huo uwezekano kwa sababu Mtume wetu Yesu Kristo alishinda kifo na hata leo anaishi, kwa hiyo sisi kukimbizana kwenda kuzika is not our priority!​
 
Unajua baada ya Lazaro kufa walisubiri siku ngapi ili Yesu aje, na alipochelewa mwili ukaanza kuharibika ndo wakaenda kumzika, ndo maana nikakwambia sisi tunaamini kwenye huo uwezekano kwa sababu Mtume wetu Yesu Kristo alishinda kifo na hata leo anaishi.​
Hoja iko hivi alifufuka akiwa wapi?

Je nyie mnapo endelea kuamini kitu ambacho kwa sasa hakiwezi kutokea huoni kama ni ujinga?

Kwanini msizike ili afufuke akiwa kaburini kama alivyo fufuka yesu na razalo?

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom