Kwanini Wapemba wakifiwa Marehemu atazikwa siku hiyo hiyo hata kwa Tochi, Chemli na Taa za Magari?

Kwanini Wapemba wakifiwa Marehemu atazikwa siku hiyo hiyo hata kwa Tochi, Chemli na Taa za Magari?

Na kwa nini kuchelewa kuzika isiwe busara, vipi kama huyo mtu kazimia..........huoni kuchelewa ndo busara zaidi?
wewe unajua mtu alio kufa zaidi ya wengine? mtu akisha kufa chake ni sanda tu na kufukiwa hii tabia ya kuweka mzogo kwenye jokofu mbona imeaza juzi zamani wakizika mapema tu
 
maiti inatakiwa ifanyiwe mambo 4 bila kuchelewa kwa waislam:
1. kuoshwa,
2. kuvikwa sanda,
3. kuswaliwa,
4. kuzikwa.
 
Hapa unalazimisha mafungamano baina ya Uislamu na mila na dasturi za waarabu.

Kitu ambacho hakipo.

Sasa hata kama kunamajokofu kuna faida gani ya kukaa na maiti ndani? and what difference does it make, kumzika marehemu mapema au kumchelewesha? Ilhali ameshakufa
tatizo la baadhi ya wakirito wa bongo ni washamba heti kuwai kuzika ni mila za kiarabu sababu kwao majokofu haya kuwepo wakiwai kuzika kuofia joto,swali hapa bogo majokofu yamekuwepo tangu lini?huyu anae jivunia majokofu bubu yake kafa kawishwa kuzikwa ushamba ni kipaji cha wakiristo
 
Kwani mkamui ? Unabisha nini sasa.

Mfano Sharti la kuzaa ufanyeje
Sharti hilo kalieka baba yako mnaropoka sana

Mimi kila siku nitaendelea kuwaambia wakristo ndio wapumbavu namba moja duniani

Elimu umepewa hapo unalazimisha unayo yajua wewe yani ili mradi muoneshe upumbavu wenu

Ndio maana waisraeli hawawatambui kuku nyie

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Sharti hilo kalieka baba yako mnaropoka sana

Mimi kila siku nitaendelea kuwaambia wakristo ndio wapumbavu namba moja duniani

Elimu umepewa hapo unalazimisha unayo yajua wewe yani ili mradi muoneshe upumbavu wenu

Ndio maana waisraeli hawawatambui kuku nyie

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Mama yako akitaka kuzaa sharti afanyeje
 
Rip bibi yangu alisema akifa wanisubiri na walinisubiri siku mbili tukazika ya tatu na hakuwa mochwari. Nyie waislam mnazika watu hawajafa vizuri.
 
tatizo la baadhi ya wakirito wa bongo ni washamba heti kuwai kuzika ni mila za kiarabu sababu kwao majokofu haya kuwepo wakiwai kuzika kuofia joto,swali hapa bogo majokofu yamekuwepo tangu lini?huyu anae jivunia majokofu bubu yake kafa kawishwa kuzikwa ushamba ni kipaji cha wakiristo
Ilimradi tu wapate justification ya kile wanachokitaka wao.
 
Wale ambao wameenda kuzinduka mochwari kwani doctor alikuwa haja prove..........sioni haja ya kukimbizana kwenda kuzika, muda wa kutosha utolewe kufanya maandalizi yote muhimu na hata kuwasubiri ndugu wengine.
Tuwekee visa hata viwili ulivyokutana navyo vya watu kuzinduka Mochwari.
 
Kuna kusubiri ndugu na watu wengine muhimu wakiwemo watoto, mke na ndugu wengine ambao inaweza kuwachukua muda kufika kutokana na umbali, hili wewe huoni ni la muhimu?
Wao watamfufua au?? Mbona halina umuhimu hilo?
 
Back
Top Bottom