Katumbasongwe
JF-Expert Member
- Sep 12, 2018
- 1,017
- 1,138
Kuna tuhesabu tulikua tunasoma ilikuwa inaitwa logic mathematics science [emoji1787][emoji1787] Nilikua sielewi lengo lake, kumbe ilikua kuamsha reasoning capacity! [emoji137][emoji137][emoji137]Ni mapokeo tu toka enzi hizo hata majokofu hayakuwepo na kwa joto la arabuni isingewezekana kulaza maiti,uislam kila lililo la mwarabu ni la mnyazi mungu,funny truth!