Ilishatokea mara kibao, Yesu mwenyewe alifufuka siku ya tatu baada ya kufa, Lazaro alifufuliwa na Yesu baada ya kufa na kuzikwa, Nabii Eliya alimfufua mtoto aliyekuwa amekata roho na kumrudisha kwa mama yake. Kwa hiyo tunaongea jambo tulilo na imani na ushuhuda nalo.nyiyi wakina miujiza mnapo chelewesha kuzika huo mzoga unafufuka na kuwa hai?