Kwanini Wapemba wakifiwa Marehemu atazikwa siku hiyo hiyo hata kwa Tochi, Chemli na Taa za Magari?

Kwanini Wapemba wakifiwa Marehemu atazikwa siku hiyo hiyo hata kwa Tochi, Chemli na Taa za Magari?

Dah! Kwahiyo unaamini katika kufufuka zama hizi??

Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
Huyo Yesu mwenye uwezo wa kufufua anaishi hata leo hii, kwa hiyo imani ya ufufuo na yenyewe inaishi miongoni mwa wafuasi wake. Ndo maana hawakimbizani makaburini kwenda kuzika, wana buy time kuona kama Yesu atatokea kama alivyotokea na kumfufua Lazaro.
 
Unajua baada ya Lazaro kufa walisubiri siku ngapi ili Yesu aje, na alipochelewa mwili ukaanza kuharibika ndo wakaenda kumzika, ndo maana nikakwambia sisi tunaamini kwenye huo uwezekano kwa sababu Mtume wetu Yesu Kristo alishinda kifo na hata leo anaishi, kwa hiyo sisi kukimbizana kwenda kuzika is not our priority!​
We ndio kichaa kabisa, Lazaro ndio mbwa gani? Hizo stori za kusadikika mbwa wewe.
 
Haya tukiondoa hao Yesu na Razolo, ambao waumini hamjawaona, Kwa kufuata kuto zika mapema, ni Wakristo wangapi tunaoishi na tunashuhudia Wakifufuka baada ya kufa na kuwekwa siku kadhaa bila kuzikwa.
Bado hilo haliondoi imani yao ya ufufuo, maana ndiyo msingi wa imani yao kwa huyo Yesu wa ufufuo.
 
Ilishatokea mara kibao, Yesu mwenyewe alifufuka siku ya tatu baada ya kufa, Lazaro alifufuliwa na Yesu baada ya kufa na kuzikwa, Nabii Eliya alimfufua mtoto aliyekuwa amekata roho na kumrudisha kwa mama yake. Kwa hiyo tunaongea jambo tulilo na imani na ushuhuda nalo.
Hiyo itabaki kuwa imani tu, maana hakuna aliemuona Yesu na Wenzie enzi zake, hivyo tukisema udhitishe utatuletea maelezo meengi, ila kwa mtu anaejua maana ya imani hatuhoji kama nyie mnavyohoji.

Ingawa wengi uliwataja ni wa kizazi cha miaka ambayo wewe pia huijuwi, hebu tueleze hiki kizazi chetu wangapi wanafufuka baada ya kutangazwa kufariki baada ya kuwaweka siku kadhaa bila kuzikwa.
 
Hiyo itabaki kuwa imani tu, maana hakuna aliemuona Yesu na Wenzie enzi zake, hivyo tukisema udhitishe utatuletea maelezo meengi, ila kwa mtu anaejua maana ya imani hatuhoji kama nyie mnavyohoji.

Ingawa wengi uliwataja ni wa kizazi cha miaka ambayo wewe pia huijuwi, hebu tueleze hiki kizazi chetu wangapi wanafufuka baada ya kutangazwa kufariki baada ya kuwaweka siku kadhaa bila kuzikwa.
Hata hao wanomwamini mtume wa mnyaazi hawakuwahi kumwona, kwa hiyo hii hoja haina mashiko
 
Ni mapokeo tu toka enzi hizo hata majokofu hayakuwepo na kwa joto la arabuni isingewezekana kulaza maiti,uislam kila lililo la mwarabu ni la mnyazi mungu,funny truth!
Kati ya mtume na firauni yupi wa kwanza, mwili wa firauni ulihifadhiwa vipi.?

Huoni kuendelea kukaa na mwili ndani ni kuendelea na msiba, kuwapa watu majonzi.
Nimeona hii kupitia ndugu zangu wakristo siku 4-7 watu wanalia tu, sioni kama ni jambo jema.

Halafu waarabu walikuwa na taratibu ngapi na uislamu umezikataza.?
 
Imani ya ajabu tayari imeshaonekana dhahiri, maana mnaamini mnyaazi na mtume wake ambao hawana nguvu juu ya kifo. Sisi kwetu Yesu ni nguvu, tumaini la uzima wa milele.
Ni upumbavu kuwa na imani ya kijinga mtu umchome mifolini, Umzibe punzi kwa mipamba, umjime punzi kwa kumbuingiza ndani ya jenexa la mbao liliosilibiwa na manailoni, ya kuziana mivujo, umuweke kwenye ubaridi mkali hata kama alikua hajafa, asife.

Tangia umepata akili hujashuhudia tukio la mtu kufufuka, imebaki imani tu, kama unaona imani ya mtu kuzikwa mapema ni ya kijinga, basi itakua no 2 ya kutonzika mapema mkitegemea huenda atafufuka, itakua no 1, kwa ujinga.
 
Kuna uchunguzi ulifanyika sikumbuki ni nchi gani lakinj waligundua kuna baadhi ha watu walizikwa wakiwa hai ikizaniwa wamekufa na sababu yao kusema hivi ni kukuta ndani ya jeneza kuna mikwaluzo kama mtu alisota wakati anatafuta namna ya kutoka na pia mabaki ya mwili hayakuwa kwenye uelekeo ambao mwili ulivyozikwa mara ya kwanza
Nchi hiyo hospitali zake, hazina wataalamu wa kutambua mtu aliekufa, siyo kila kinachoandikwa humu uchukilie ni kweli, huwezi kuwekewa pamba kwenye kwenye matundu yote ya fahamu, Uwekwe jenezani, lilisibiwa na karatasi ya nailon kuzuia mivujo, na uwekwe sehemu ya baridi kali, ukiwa hoi, alafu ndo upone baadae upate na nguvu ya kukwaruza jeneza.

Hii siamini maana kama ni kweli, Tanzania hii wachaga wanafia nje ya Kilimanjaro, wangeongoza kufufu, ila wao huzikana siku maalumu, kama mila tu, siyo sababu za kiimani.
 
Nchi hiyo hospitali zake, hazina wataalamu wa kutambua mtu aliekufa, siyo kila kinachoandikwa humu uchukilie ni kweli, huwezi kuwekewa pamba kwenye kwenye matundu yote ya fahamu, Uwekwe jenezani, lilisibiwa na karatasi ya nailon kuzuia mivujo, na uwekwe sehemu ya baridi kali, ukiwa hoi, alafu ndo upone baadae upate na nguvu ya kukwaruza jeneza.

Hii siamini maana kama ni kweli, Tanzania hii wachaga wanafia nje ya Kilimanjaro, wangeongoza kufufu, ila wao huzikana siku maalumu, kama mila tu, siyo sababu za kiimani.
Mbona hakuna sehemu nimesema uamini asee
 
Hii michezo ipo sana maeneo ya mwambao kwa wafuasi wa mnyaazi
Nyie hata kule kwenu mkanda chuni, mtu akifa, mnasafilisha kumpeka mjini, kwenye hostali yenye jokofu la kuhifadhia maiti, au mnakaishi nae ndani hivyo huku mkifaidi harufu, au mnabanika kwenye moto, asiharibike.

Ila Wakristo wengi tunao wazika dar mbona wengi wakifa leo, kesho mapema tu tushawazika, au hizi sera sio kwa wakristo wote.
 
Mtu akisha kufa amekufa tu,zingine hubaki kama taratibu za kimila ama kidini,wapemba ni watumwa wa waarbu hivyo watafata tamaduni za mabwana zao.
tatizo lako ukiulizwa swali ujibu unakimbia
 
Wale ambao wameenda kuzinduka mochwari kwani doctor alikuwa haja prove..........sioni haja ya kukimbizana kwenda kuzika, muda wa kutosha utolewe kufanya maandalizi yote muhimu na hata kuwasubiri ndugu wengine.
ndugu wakija wanamrudishia roho au?
 
Back
Top Bottom