professional Driver
JF-Expert Member
- Sep 23, 2022
- 2,959
- 3,510
Kabla sijaendelea Dini yako tafadhali?Yesu alikufa lini??
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabla sijaendelea Dini yako tafadhali?Yesu alikufa lini??
Yaan ufe afu ufufuke?? We jamaa hamnazoJuzi kati kuna mtu kanipigia simu saa 11 kua niko msibani kuna mtu kafa tunazika keasho, ahsubuhi nampigia anasema bhana yule mtu kafufuka(by saa 5 Usiku) tumempeleka hospitali saiv....[emoji1787][emoji1787]
Sikuamini ila haya mambo yapo sna
Sent from my CPH1819 using JamiiForums mobile app
...Kama Marehemu ana Mtoto wake Marekani na amesema anakuja kumzika Baba yake/ Mama yake???Hivi umeyaona maswali ya hiyo hoja yangu au umekurupuka
Nakuuliza tena tupe faida ya kukaa na marehemu zaidi ya siku mbili pasi na kuzikwa?
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Kwahiyo unataka tukae wiki nzima tukisubiri kuona kama atafufuka eti,?Na kweli hili lilikuwa relevant enzi hizo ambapo hakukuwa na mechanisms za kuhifadhi miili kwa muda mrefu.......unaweza kujikuta unazika mtu ambaye kazimia tu hajafa, haraka ni ya nini hasa?
Ndoa ni nyege ndio zinazoharakisha.Sawa sisi tunaharakisha vitu viwili mazishi na ndoa.
Mazishi umesema joto tufanye Sawa.
Haya na ndoa?
Kumbe ni shabiki fulani tu wa mpira!Huo uwezekano upo, Lazaro alifufuka akiwa tayari keshatoa harufu, Yesu Kristo alifufuka siku ya tatu........huko kwa mnyaazi ndo miujiza kama hii haiwezekani, maana hata nabii wa mnyaazi hakufufuka....
Nyie hamuwezi?...Kama Marehemu ana Mtoto wake Marekani na amesema anakuja kumzika Baba yake/ Mama yake???
Nyie hamna nguvu za kiume ndo mana mnachelewesha?Ndoa ni nyege ndio zinazoharakisha.
Nyege zenu ni kama za kuku!!Nyie hamna nguvu za kiume ndo mana mnachelewesha?
Astaghfirullah haya mkuuNyege zenu ni kama za kuku!!
Ukitaka kujua kama tuna nguvu za kiume au hatuna ww dondosha boksa yako!!
Jibu hili kwanza, kwani unaenda kuzika ndugu yako, jamaa yako au jirani yako?Hivi umeyaona maswali ya hiyo hoja yangu au umekurupuka
Nakuuliza tena tupe faida ya kukaa na marehemu zaidi ya siku mbili pasi na kuzikwa?
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Sio wapemba,,bali Dini ya kiislam imeamrisha hivyo.Kuna nini Kimejificha hasa juu ya huu Utaratibu wao ambao kwa wanaopenda Kufikiri (Akili Kubwa ) wanaweza kudhani Wapemba wana Roho Mbaya na Wakatili?
Hata ma vilemba na mauninja ni kwa sababu ya VUMBI la kule uarabuni ila wao wameyabeba yote yakaitwa ya Munyazi Mungu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ni mapokeo tu toka enzi hizo hata majokofu hayakuwepo na kwa joto la arabuni isingewezekana kulaza maiti,uislam kila lililo la mwarabu ni la mnyazi mungu,funny truth!
Kwani nisipo kuwepo hawataweza kuzikaJibu hili kwanza, kwani unaenda kuzika ndugu yako, jamaa yako au jirani yako?
Kila kitu huwa ni makubaliano, wengine maiti inakaa mwezi au miezi na wala hauwezisikia jamii husika ikilalamika, kwa wazungu kwenda kuzika ni mpaka upewe mwaliko na mfiwa au mtu akifa serikali ndiyo inayohusika wewe utapewa taarifa tu na kuonyeshwa kaburi baada ya hapo ndugu na jamaa mnakutana hotelini na kimaliza msiba sio kuweka mahema nyumbani kwake, na hao wamekubaliana hivyo.Kwa hiyo mnapo waweka kwenye majokofu ni kwa kuwa hamuna uhakika/ hamuamini kuwa kweli wamekufa.
Hivyo huwa mnasubiri huwenda wakazinduka?