Kwanini Wapemba wakifiwa Marehemu atazikwa siku hiyo hiyo hata kwa Tochi, Chemli na Taa za Magari?

Kwanini Wapemba wakifiwa Marehemu atazikwa siku hiyo hiyo hata kwa Tochi, Chemli na Taa za Magari?

Na kweli hili lilikuwa relevant enzi hizo ambapo hakukuwa na mechanisms za kuhifadhi miili kwa muda mrefu.......unaweza kujikuta unazika mtu ambaye kazimia tu hajafa, haraka ni ya nini hasa?
Juzi kati kuna mtu kanipigia simu saa 11 kua niko msibani kuna mtu kafa tunazika keasho, ahsubuhi nampigia anasema bhana yule mtu kafufuka(by saa 5 Usiku) tumempeleka hospitali saiv....[emoji1787][emoji1787]

Sikuamini ila haya mambo yapo sna

Sent from my CPH1819 using JamiiForums mobile app
 
Hoja iko hivi alifufuka akiwa wapi?

Je nyie mnapo endelea kuamini kitu ambacho kwa sasa hakiwezi kutokea huoni kama ni ujinga?

Kwanini msizike ili afufuke akiwa kaburini kama alivyo fufuka yesu na razalo?

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Nimekwambia walimsubiri Yesu kwa siku kadhaa hadi mwili wa Lazaro ukaharibika ndo wakaenda kumzika, kwa nini wewe unatulazimsha tukazike baada ya sekunde mbili ili hali bado tuna fursa ya kuwasubiri ndugu wengine na Yesu pia akiwemo kwenye hiyo list ya watu wanaosubiriwa kuja..........maana sisi tuna uhakika anaishi na anaweza kufanya jambo lolote hata leo hii.​
 
Juzi kati kuna mtu kanipigia simu saa 11 kua niko msibani kuna mtu kafa tunazika keasho, ahsubuhi nampigia anasema bhana yule mtu kafufuka(by saa 5 Usiku) tumempeleka hospitali saiv....[emoji1787][emoji1787]

Sikuamini ila haya mambo yapo sna

Sent from my CPH1819 using JamiiForums mobile app
Imagine angekuwa kafa asubuhi, jamaa tayari wangeshafukia🤣
 
Nimekwambia walimsubiri Yesu kwa siku kadhaa hadi mwili wa Lazaro ukaharibika ndo wakaenda kumzika, kwa nini wewe unatulazimsha tukazike baada ya sekunde mbili ili hali bado tuna fursa ya kuwasubiri ndugu wengine na Yesu pia akiwemo kwenye hiyo list ya watu wanaosubiriwa kuja..........maana sisi tuna uhakika anaishi na anaweza kufanya jambo lolote hata leo hii.​
Tatizo lenu mnakua wakali wakati mada mnaanzisha wenyewe
Haya kwanini wazanzibari mnawapangia jinsi ya kuzika?

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Juzi kati kuna mtu kanipigia simu saa 11 kua niko msibani kuna mtu kafa tunazika keasho, ahsubuhi nampigia anasema bhana yule mtu kafufuka(by saa 5 Usiku) tumempeleka hospitali saiv....[emoji1787][emoji1787]

Sikuamini ila haya mambo yapo sna

Sent from my CPH1819 using JamiiForums mobile app
Labda hii story yako ni kufurahisha watu tu hapa JF. Mtu aliyekufa anafahamika kawaida na hata kitabibu.
 
Hapa unalazimisha mafungamano baina ya Uislamu na mila na dasturi za waarabu.

Kitu ambacho hakipo.

Sasa hata kama kunamajokofu kuna faida gani ya kukaa na maiti ndani? and what difference does it make, kumzika marehemu mapema au kumchelewesha? Ilhali ameshakufa
kuna faida gan kumkamua maiti inaogopwa ataenda kunyea mwanandan? [emoji848]
 
Kuna nini Kimejificha hasa juu ya huu Utaratibu wao ambao kwa wanaopenda Kufikiri (Akili Kubwa ) wanaweza kudhani Wapemba wana Roho Mbaya na Wakatili?
ulitaka wasimzike hili mwishowe iwe nn?
 
Ni mapokeo tu toka enzi hizo hata majokofu hayakuwepo na kwa joto la arabuni isingewezekana kulaza maiti,uislam kila lililo la mwarabu ni la mnyazi mungu,funny truth!
unatumia makalio kufikili
 
Na kweli hili lilikuwa relevant enzi hizo ambapo hakukuwa na mechanisms za kuhifadhi miili kwa muda mrefu.......unaweza kujikuta unazika mtu ambaye kazimia tu hajafa, haraka ni ya nini hasa?
alie wai kuzika na alie chelewa kuziko watu ni mizoga tu
 
Na kwa nini kuchelewa kuzika isiwe busara, vipi kama huyo mtu kazimia..........huoni kuchelewa ndo busara zaidi?
Katika hao waliocheleweshwa kuzikwa kuna mmoja wao yeyote ambaye alijulikana kuwa kazimia tu? Lete ushahidi
 
Back
Top Bottom