Daby
JF-Expert Member
- Oct 26, 2014
- 33,894
- 76,810
Hujui tu hapa hapa Tanzania taarifa nyingi kuna watu wengi haziwafikii...!Labda kama Tanzania tupo ndani ya chungu!
Ueneaji wa taarifa sio suala la kugeza.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hujui tu hapa hapa Tanzania taarifa nyingi kuna watu wengi haziwafikii...!Labda kama Tanzania tupo ndani ya chungu!
Mexicana, siku hizi kila ndege ikitoka kwa Wazungu na kutua KIA, mh. Waziri wetu wa utalii anatupa taarifa ya idadi ya wazungu!! Wazungu ni wazuri kuliko ‘WAJUMBE’!Watakuwaje wajinga wakati elimu ni bure.
Fanya kazi achana na mambo yakwenda kwa wazungu kujidhalilisha
KTN sio solution kisiasa kalikoroga kacheza wrong pass at a wrong time.Umeamua kupost hii ili kutusanifu au unamaanisha kweli??
Media gani Mkubwa ya ndani iliyo na guts za kumwendea Tundu Lissu na kufanya naye mahojiano kuelezea SERA na MIPANGO yake kama akiwa Rais?
Ni mwandishi gani wa "Tanzania ya Kidikteta ya Magufuli " wa TV ama Redio anaweza kuwa "hajipendi" amuulize Tundu Lissu maswali kama aliyoulizwa na KTN na Majibu take kisha chombo chake na yeye mwenyewe visiweze kula "ban" kwa "uchochezi??"
Haya mapinzani ya hoovyo kabisa,
Mwl. Nyerere alituachia legacy ya uzalendo kwanza.
Haya mapinzani yametanguliza pesa kuliko utu wetu
Uzalendo wa kubana sehemu moja? Nyerere aliheshimu kushindana kwa hoja, sio mashindano ya kutumia dola kukandamiza wengine
Nimekuelewa bwashee!Mbatizaji hujaangalia ITV jana wakati ‘Nelson Mandela’ akitoa maneno machache ya salamu kule ACT-Wazalendo?! Pia, kisumbusi chako hakina Chanel za njee?!! Mwisho; Kenya ni wenzetu, John, acha ubaguzi!!
Vyombo gani vimebana.....Lisu na Zitto jana walikuwa mubashara ITV au unazungumzia vyombo gani bwashee?Mkuu nilikuwa nakuona ni mmoja ya wanajamii magreat theanger kumbe ni kilaza sijapata kuona sasa ulitaka watumie vyombo vya habari vya wakati vimebanwa na serikali hili swali lako hata ukimuuliza mtoto wa form one anakujibu