Kwanini wapo watu wanamuomba Rais Samia Suluhu kuendelea kuwa Rais wa Tanzania?

Kwanini wapo watu wanamuomba Rais Samia Suluhu kuendelea kuwa Rais wa Tanzania?

Wapigaji ndio wanaofurahi mama aendelee, choka mbaya hatuna hamu naye!
 
Misifa kibao
Huamini maisha haya hayatabiriki hata kwa mnajimu?
Live your life
 
Na Mwl Udadis, DSM-CBD

Kwa sisi waumini wa makanisa ya Orthodox tunaamini sana katika kweli isiyochanganywa na busara za waja japo tunaheshimu sana imani za watu wengine..
Kwa nini mnapata taabu sana kukesha mitandaoni na kumnadi mtu wenu kwa hoja zenye kuboa sana? Maana tunaosoma katikati ya mistari tunaona kabisa namna mlivyokubuhu kwenye sekta ya uongo.

Hivi leo tuseme mama amefanya yote hayo na kupelekea kila kitu kuwa sawa. Hivyo tuambieni huu mfumuko wa bei ni UHAINI kwa mama au, issue ya umeme ni USALITI kwa mama? Au tuongelee issue ya NHIF mbona ni mjadala kichefu chefu?

Msituone Watanzania ni hamnazo. kwenye uongo tunakwambia umenena ama kutenda uongo. Kiufupi mama mnayemtetea inatosha kusema apumzike. msipoteze muda kupambania ujenzi wa ghorofa kwa kutumia tofali za barafu
 
Na Mwl Udadis, DSM-CBD

Kwa sisi waumini wa makanisa ya Orthodox tunaamini sana katika kweli isiyochanganywa na busara za waja japo tunaheshimu sana imani za watu wengine...
Samia yupi huyu anayeogopa uchavuzi ? Siku hizi anahonga Kila mtu anayehisi atamsaidia kupora uchavuzi

Eti hata yule mpuuzi "stivu nyenyere naye Yuko kwenye payroll ya samia
 
Umerudi msmu wa siasa za futari!
Nafuturisha kwangu na msikiti wa jirani yangu kwa mwezi mzima wa Ramadhan kila siku ya Jumatatu na Alhamisi kila mwaka tokea mwaka 2000. Mbona kufuturisha ni kwepesi sana, hata wewe unaweza.
 
Nafuturisha kwangu na msikiti wa jirani yangu kwa mwezi mzima wa Ramadhan kila siku ya Jumatatu na Alhamisi kila mwaka tokea mwaka 2000. Mbona kufuturisha ni kwepesi sana, hata wewe unaweza.
Kweli yeyote anaweza kufuturisha, inategemea na 'uzito' wa futari!.
 
Kweli yeyote anaweza kufuturisha, inategemea na 'uzito' wa futari!.
Futari ni kifungua kinywa tu.

Mimi mara nyingi nafuturisha kwa tende, nikikosa tende nafuturisha kwa kalimati.

Kumbuka, silishi chakula, nafuturisha.

Wakati wa kufuturu kuanza kufakamia vyakula si vizuri.
 
Ndani ya miaka miwili hii nimetembelea karibu mikoa 15 ya Tanzania ki ukweli nimeiona mabadiliko makubwa mno mnyonge mnyongeni haki yake mpeni kwa sasa Nchi inapiga maendeleo kwa kasi sana
tuambie uliona nini ambacho ni cha ajabu!
Ulisafiri mikoa 15! 🤣 🤣 🤣
Kweli wewe ni chawa bin ngunguni!
 
Back
Top Bottom