Kwanini warembo na mabarobaro wengi ni vilaza?

Kwanini warembo na mabarobaro wengi ni vilaza?

Kama unatazama sana filamu za wazungu utagundua kwenye mazingira ya shule kuna wale wenye akili sana ila hawajui kujichanganya na watu(nerds)....
Halafu kuna wale wako vizuri kwenye michezo, wana piga pisi kali, ni mabishoo ila hawana akili darasani(jocks)

Sasa ukiangalia huko mitandaoni wazungu wanasema hayo matabaka yapo, lakini sio kwa wingi kama kwenye muvi. Halafu kunakuwaga na overlap unakuta kuna nerd anapendwa na madem au jock anapasua hesabu

Sasa kuna tafiti imeonesha watoto/vijana wanaopenda kufikiri(wanaita 'need for cognition') hawapendi kuchosha mwili; kufanya mazoezi, kucheza michezo nk...

Kuna ukweli flani, ila ulichosema sio sheria
 
Hicho ndicho kipaumbele chao wakati wote, ndyomaana hata kabla hawajaenda darasani lazima wahakikishe wamekaa kwa kioo na kujipodoa kwanza
Hii dunia inataka uwe na chakujitetea , hao unaowaona sio warembo wala wazuri wanajitetea kwenye elimu na kukuza maarifa japo kuna kundi kubwa mno ni warembo na wazuri lakini akili zipo mkuu.
 
Kama unatazama sana filamu za wazungu utagundua kwenye mazingira ya shule kuna wale wenye akili sana ila hawajui kujichanganya na watu(nerds)....
Halafu kuna wale wako vizuri kwenye michezo, wana piga pisi kali, ni mabishoo ila hawana akili darasani(jocks)

Sasa ukiangalia huko mitandaoni wazungu wanasema hayo matabaka yapo, lakini sio kwa wingi kama kwenye muvi. Halafu kunakuwaga na overlap unakuta kuna nerd anapendwa na madem au jock anapasua hesabu

Sasa kuna tafiti imeonesha watoto/vijana wanaopenda kufikiri(wanaita 'need for cognition') hawapendi kuchosha mwili; kufanya mazoezi, kucheza michezo nk...

Kuna ukweli flani, ila ulichosema sio sheria
Sahihi kabisa Mkuu, pia watu ambao hawapendi kuonekana au kusifiwa huwa na uwezo mkubwa kiakili, wale ambao wanapenda masifa na kuonekana, hawawezi kuwa na uwezo mkubwa kwasababu akili zao zinawaza kuonekana kwa macho na masikio ya watu wengine.
 
Hii dunia inataka uwe na chakujitetea , hao unaowaona sio warembo wala wazuri wanajitetea kwenye elimu na kukuza maarifa japo kuna kundi kubwa mno ni warembo na wazuri lakini akili zipo mkuu.
Mkuu kuna utanashati na ubishoo, umaridadi na urembo... Wengi wanaoweka manjonjo mengi ndyo asilimia kubwa ni vilaza.
 
Habarini waungwana....

Huwa najiuliza kuna uhusiano gani kati ya mabinti warembo/pisi kali na vijana mabarobaro/mabishoo kuwa uwezo mdogo kichwani?

Sina nia ya kuwasemea vibaya, lakini hata mashuleni au vyuoni tunaona warembo wengi kichwani hakuna kitu.... Na wanaofanya vizuri huwa ni watu wa kawaida tu na hawana makuu.

Je kuna uhusiano wowote kati ya kuendekeza muonekano na kukosa umakini katika mambo yanayo husisha matumizi ya akili?
Kila mtu ana akili tunatofautiana kwenye matumizi ya hizo akili tu, kwa wao akili huwa zinatumika vipodozi zaidi
 
Kila mtu ana akili tunatofautiana kwenye matumizi ya hizo akili tu, kwa wao akili huwa zinatumika vipodozi zaidi
Kwahiyo asilimia 98% za matumizi ya akili zao ni kuwaza vipodozi tu na mawigi šŸ˜‚
 
Kwahiyo asilimia 98% za matumizi ya akili zao ni kuwaza vipodozi tu na mawigi šŸ˜‚
Yes, fashion mpya ya nywele, sijui nguo, mara pafyumu nzuri huyo madesa atayaelewa saa ngapi, ikifika mitihani ataenda kwa lecturer anapanua miguu wanamalizana mara pah! amefaulu
 
Sahihi kabisa Mkuu, pia watu ambao hawapendi kuonekana au kusifiwa huwa na uwezo mkubwa kiakili, wale ambao wanapenda masifa na kuonekana, hawawezi kuwa na uwezo mkubwa kwasababu akili zao zinawaza kuonekana kwa macho na masikio ya watu wengine.
na kwa wasichana unakuta kuna wale nerd girls wanapenda kusoma, na wale prom queens wanapenda umaarufu, wanajiegesha kwa jocks, wanakuwa cheerleaders viwanjani, pia wanakuwa wababe wababe. Ila darasani ni 0....
 
Yes, fashion mpya ya nywele, sijui nguo, mara pafyumu nzuri huyo madesa atayaelewa saa ngapi, ikifika mitihani ataenda kwa lecturer anapanua miguu wanamalizana mara pah! amefaulu
Kiukweli wengi wanahitimu lakini vichwani mwao kuna utofauti mkubwa na kilie kilichopo katika vyeti vyao
 
Kinachotokea hapo ni "Vulnerability"

Mwanamke kuwa mrembo (pisi Kali)
Ana uwezo mkubwa wa kufanikiwa katika Elimu na maisha kwa ujumla.

Ila kinachowapata wanawake wengi wazuri ni kuwa "vulnerability"

Ukisema kilaza au smarter mara nyingi huwa wanatengenezwa Ila asilimia kubwa vilaza au smart people hawazaliwi.

Vulnerability-ni pale MTU anaposhambulika , kiakili ,kihisia ,kimwili hadi kiroho.

Mwanamke mzuri huwa anafatwa Sana na wanaume kwa lengo la kumbabaisha na kumtoa mchezoni .

Wakati mwanamke akiwa anafatwa Sana huanza kuhisi anapendwa na anashindwa kujizuia na mwisho Akili yake inashindwa kufanya philosophy Kati ya kupendwa Sana na kutongozwa Sana .


So nahitimisha kuwa hii situation huwapata hadi wanaume (Baro Baro) hufatwa Sana na wanawake ambao sio sahihi na mwisho kuwa Vulnerability.


Kuwa mrembo is good thing Ila inahitaji urembo uende na brain hii itasaidia kujua watu gani sahihi na watu gani sio sahihi.


NB
Kilaza sio MTU aliyepata zero Ila kilaza ni MTU ambaye Hana "sense of who you are" sense of who you are -nikujitambua kujua udhaifu wako na uimara wako.
 
mrembo is good thing Ila inahitaji urembo uende na brain hii itasaidia kujua watu gani sahihi na watu gani sio sahihi.


NB
Kilaza sio MTU aliyepata zero Ila kilaza ni MTU ambaye Hana "sense of who you are" sense of who you are -nikujitambua kujua udhaifu wako na uimara wako.
Urembo na utanashati ni jambo jema, lakini kama ulivyo sema kwamba urembo unapaswa kuenda na brain

Kilaza katika masomo ni mtu ambaye amekosa sense ya "who he/she is". Yaani kushindwa kutambua kwamba yeye ni mwanafunzi na jukumu lake ni kusoma kwa bidii
 
Urembo na utanashati ni jambo jema, lakini kama ulivyo sema kwamba urembo unapaswa kuenda na brain

Kilaza katika masomo pia ni mtu ambaye amekosa sense ya "who he/she is". Yaani kushindwa kutambua kwamba yeye ni mwanafunzi na jukumu lake ni kusoma kwa bidii


Kufaulu shule darasani sio kujitambua

Kujitambua ni jambo tofauti na kufaulu darasani

Masomo hutegemea mazingira zaidi na kuwa motive.

Ukitazama watu walioenda shule hapa Tz maisha yao bado hajaleta maana kwao hadi kwa jamii.



Kujitambua (sense of you who are) nikiwango cha juu Sana cha ufahamu hubebwa na mambo mengi ikiwemo hekima n.k

Unaweza kuwa hadi na PhD Ila ukawa hujitambui kujitamhua sio jambo jepesi

Watu wanaojitambua ni wachache sana

That's why pretty women can be smarter as well ugly woman can fail to be sober sound.

Kujitambua ndo ELIMU ya juu zaidi unfortunately hauwezi kuipata SHULE .
 
Akili ni kusolve problem haijalishi anavaa pensi au bwangaa uwez kutambua uwezo wa mtu kwa kuvaa ila una hisi tu una data sahihi inakuhitaj u track maisha yake at least 1yr utapata majibu sahihi bila data ni uwongo.. ukiwa na data unaweza kutabiri na kutambua huyu mtu ni mjinga kuanzia saiv hadi next 5yr.. ila watu wanabadilika this year kilaza next 5yr ata wewe utaonekana mwehu..
 
Back
Top Bottom