Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Mapepo yana ubaguzi sana..hata matajiri hayawaangushi[emoji3064][emoji23][emoji23]Jamani sijawahi kuona Mzungu ua Msabato akianguka mapepo.
Kwanini wanao anguka mapepo ni Wakatoliki, Waislam, na Waprotestant, Waafrika (dini za asili) na Waarabu lakini Wazungu hawapandishi Wala kuangushwa mapepo?
Hata viongozi wa kisiasa na kiserikali hawaanguki mapepo, Kuna siri gani?
Toleo la mwishoNiliona kwa Tb Joshua wazungu wanaanguka na kugalagala kabisaa kwa mapepo,.au ndio kusema wazungu koko.!??
Duh, kwahiyo mapepo ni ya waafrica tuu tena baadhi.!?Toleo la mwisho
Masikini wana laaniwa hadi na mapepoMapepo yana ubaguzi sana..hata matajiri hayawaangushi[emoji3064][emoji23][emoji23]
Wamepaka mkorogoNiliona kwa Tb Joshua wazungu wanaanguka na kugalagala kabisaa kwa mapepo,.au ndio kusema wazungu koko.!??
Tajiri gani umeona anaangushwa mapepo?Rudia tafiti mzee wangu.
Yaani jamani, hata misiba kwa tajiri wanavyo omboleza ni tofauti kabisa angalia hata tuliokuwa tunazimia sikuona mwenye suit akishikiliwa kwa mshtukoMasikini wana laaniwa hadi na mapepo
HaaaaaaaaaaToleo la mwisho
Yaani jamani, hata misiba kwa tajiri wanavyo omboleza ni tofauti kabisa angalia hata tuliokuwa tunazimia sikuona mwenye suit akishikiliwa kwa mshtuko
Pepo kata upepo hiloKuna mzungu alikua na pepo, anapokuwepo kama ni ndani ya nyumba mabomba yote ya maji yanatoa maji. Hata myafunge vipi.
maji yanaacha kutoka kukiwa na sala.