Kwanini Wasabato na Wazungu hawaanguki mapepo?

Kwanini Wasabato na Wazungu hawaanguki mapepo?

Alaf kuna kitu watu wengi tunakichanganya wasabato wao hawajafocus kwenye show za kuonyesha miujiza ila wamefocus kwenye kufundisha na kuubiri ukwel zaidi. Ndio maana sio rahis kuona wakionesha hizo show za watu kuanguka maana ata ikitokea mtu kaanguka mara nyingi wanamtoa pale kwenye watu wanaenda kumuombea pembeni (hapa mara nyingi unakuta ni sehemu ya privacy hii niilishuhidia kabsa na kama kuna msabato humu anaweza kusema )
 
Kuna mzungu alikua na pepo, anapokuwepo kama ni ndani ya nyumba mabomba yote ya maji yanatoa maji. Hata myafunge vipi.

maji yanaacha kutoka kukiwa na sala.
Sio kweli. Hayo mabomba ukute mabovu tu. Ni kama watu walivyokuwa wanaamini eti mtu akianguka Bafuni ni sababu ya majini/ pepo, wakati mabafu mengi yanateleza sababu ya uchafu na visabuni vinavyoachwa sakafuni
 
Alaf kuna kitu watu wengi tunakichanganya wasabato wao hawajafocus kwenye show za kuonyesha miujiza ila wamefocus kwenye kufundisha na kuubiri ukwel zaidi. Ndio maana sio rahis kuona wakionesha hizo show za watu kuanguka maana ata ikitokea mtu kaanguka mara nyingi wanamtoa pale kwenye watu wanaenda kumuombea pembeni (hapa mara nyingi unakuta ni sehemu ya privacy hii niilishuhidia kabsa na kama kuna msabato humu anaweza kusema )
Sahihi.
 
Back
Top Bottom