Boss la DP World
JF-Expert Member
- Dec 12, 2021
- 2,318
- 8,464
Nijuavyo mimi, katika nchi hii wapo watu ambao huabudu siku za Ijumaa, wengine Jumamosi na wengine Jumapili.
Ukifuatilia mikutano mingi ya kisiasa utagundua wanaopewa kipaumbele ni Wanaoswali siku ya Ijumaa na wanaosali siku ya Jumapili. Wanaosali jumamosi nimewahi kuona kama mara 2 hivi kipindi cha JPM waliwahi kupata nafasi ya kutoa sala.
Napenda kujua, ni kwanini?
Maana hata kwenye televisheni ya taifa ni mwaka jana ndiyo walianza kutoa airtime ya nusu saa kwa wanaoabudu siku ya Jumamosi kama inavyotoa kwa madehebu mengine siku ya Jumapili na kwa Wengine Ijumaa.
Wajuzi wa mambo nijuzeni kuhusu hili.
Ukifuatilia mikutano mingi ya kisiasa utagundua wanaopewa kipaumbele ni Wanaoswali siku ya Ijumaa na wanaosali siku ya Jumapili. Wanaosali jumamosi nimewahi kuona kama mara 2 hivi kipindi cha JPM waliwahi kupata nafasi ya kutoa sala.
Napenda kujua, ni kwanini?
Maana hata kwenye televisheni ya taifa ni mwaka jana ndiyo walianza kutoa airtime ya nusu saa kwa wanaoabudu siku ya Jumamosi kama inavyotoa kwa madehebu mengine siku ya Jumapili na kwa Wengine Ijumaa.
Wajuzi wa mambo nijuzeni kuhusu hili.