Kwanini wasanii wanaijeria wanatukimbiza huko youtube

Kwanini wasanii wanaijeria wanatukimbiza huko youtube

NIGERIA KUNA WINGI WA WATU NA PIA NAFIKIRI HAWANA BIFU ZA KIJINGA JINGA KAMA HUKU KWETU ETI MTU ANAPAMBANA KUPUNGUZA IDADI YA VIEWERS KWENYE YOU TUBE YA MWENZIE ILI AMSHUSHE KWA MAKUSUDI ILI AENDELEE KUWA JUU PEKE YAKE.
KINGINE NI MSANII KUA NA BIFU NA BAADHI YA VITUO VYA REDIO NA TV'S STESHENI, HII INAWAVUNJA MOYO WATANGAZAJI KUPROMOT NYIMBO ZA WASANII WETU KWASABABU LEO UNAMSAIDIA KESHO ANAKULETEA DHARAU.
CLOUDS ILIKUA INAJITAHIDI SANA KUHAMASISHA WATU WAWAPIGIE KURA WASANII WETU KWENYE TUZO KUBWA KUBWA ILA KWASASA HAWANA MWAMKO HUO TENA BAADA YA KUHITILAFIANA NA WASAFI.
Msanii anakuwa na beef au mtangazaji na redio ndio wanao tengeneza beef na msanii ?

Sababu beef zinaanzaga pale msanii anapotaka WIN WIN,hapa ndipo beef linapoanza kwani watangazaji na radio hawataki kabisa kuisikia WIN WIN bali wanataka wao wapate kingi.

Baadhi ya watangazaji wa TZ wameua vipaji vya wanamziki kwa tamaa yao ya kutaka kingi kuliko msanii.
 
NIGERIA KUNA WINGI WA WATU NA PIA NAFIKIRI HAWANA BIFU ZA KIJINGA JINGA KAMA HUKU KWETU ETI MTU ANAPAMBANA KUPUNGUZA IDADI YA VIEWERS KWENYE YOU TUBE YA MWENZIE ILI AMSHUSHE KWA MAKUSUDI ILI AENDELEE KUWA JUU PEKE YAKE.
KINGINE NI MSANII KUA NA BIFU NA BAADHI YA VITUO VYA REDIO NA TV'S STESHENI, HII INAWAVUNJA MOYO WATANGAZAJI KUPROMOT NYIMBO ZA WASANII WETU KWASABABU LEO UNAMSAIDIA KESHO ANAKULETEA DHARAU.
CLOUDS ILIKUA INAJITAHIDI SANA KUHAMASISHA WATU WAWAPIGIE KURA WASANII WETU KWENYE TUZO KUBWA KUBWA ILA KWASASA HAWANA MWAMKO HUO TENA BAADA YA KUHITILAFIANA NA WASAFI.
Tatizo lipo kwenye media sio wasanii media nyingi Ni zakinyonyaji wao ndio wanapanga malipo ya kumlipa msanii, msanii akikataa Bei yao ya show wanakataa kupiga ngoma zake
 
Leo nilikuwa napitia huko youtube nimegundua wasanii wetu watachukua muda mrefu kufikia level za wasanii wa naija. Kwanini tunaachwa mbali sana nyimbo za wasanii wetu ukizisikia zinavyolia kila mtaa unaweza usiamini utachokiona huko youtube viewers ni wachache sana

Wakati wenzetu ukisikia nyimbo inalia mtaani utakuta inatembea viewrs 50m wanakwama wapi wasanii wetu. Unaweza kukusanya video zote za msanii wa muda mrefu lakini utakuta hamfikii hata chipukizi wa naijeria aliyetoa nyimbo moja

Tunawasanii hawazidi saba ndio ambao tumekuwa tunawategemea ndo mana wanashindwa kushindana na msitu huu wanaijeria
Wa niger wapo wengi sana ..then media za bongo zina upa promo sana mziki wa niger kuliko mziki wetu wa ndai while wa niger wao hawana mpango kabsa na nyimbo za bongo..ukiangalia channel zetu za ndani Mf.Wasafi TV ndani ya nusu saa tu utagundua wana play zaid nigerians songs kuliko nyimbo za kwetu..my take wabongo tujifunze kupenda vyetu kwanza na ukuaji wa mziki wetu upo mikonon mwetu.
 
Wa niger wapo wengi sana ..then media za bongo zina upa promo sana mziki wa niger kuliko mziki wetu wa ndai while wa niger wao hawana mpango kabsa na nyimbo za bongo..ukiangalia channel zetu za ndani Mf.Wasafi TV ndani ya nusu saa tu utagundua wana play zaid nigerians songs kuliko nyimbo za kwetu..my take wabongo tujifunze kupenda vyetu kwanza na ukuaji wa mziki wetu upo mikonon mwetu.
Wingi wa watu imeonekana sio sababu ya msingi mana tunao wasanii wachache wanaoweza kupata viewers wengi sasa wao wanapataje
halafu kingine mziki wetu unasikiliza na east afrika nzima uwezekano wa kupata viewers 50m upo lakini naona kasi yetu ni ndogo sana

Msanii akijitahidi sana kaishia kwenye 2m viewers
 
Usisahau kuwa sisi wanaigeria hata utapeli tunajulikana sana duniani kuliko huko tanzanie
 
Huo mziki utaendelea vipi ikiwa watu wanataka diamond mmoja tu?
 
Leo nilikuwa napitia huko youtube nimegundua wasanii wetu watachukua muda mrefu kufikia level za wasanii wa naija. Kwanini tunaachwa mbali sana nyimbo za wasanii wetu ukizisikia zinavyolia kila mtaa unaweza usiamini utachokiona huko youtube viewers ni wachache sana

Wakati wenzetu ukisikia nyimbo inalia mtaani utakuta inatembea viewrs 50m wanakwama wapi wasanii wetu. Unaweza kukusanya video zote za msanii wa muda mrefu lakini utakuta hamfikii hata chipukizi wa naijeria aliyetoa nyimbo moja

Tunawasanii hawazidi saba ndio ambao tumekuwa tunawategemea ndo mana wanashindwa kushindana na msitu huu wanaijeria

Sasa 50m si ndio nchi nzima? Na hapa jumlisha wa nje ya nchi

Nigeria ina watu wangapi??


Wasanii wetu wanafanya vizuri tu, kututumbuiza
 
Lugha ngeri inawabeba hata south wapo juu, watz wamekazana kiswahili lugha yetu haya sasa kinawafikisha wapi??zaid ya east wajiongeze
Bts Ni wasanii from Korea na wanaimba kikorea na wamefika mbali , ishu siyo lugha ishu Ni Aina ya mziki buddah
 
wingi wao ndo unafanya muziki wake use mzuri?
obvious club,masherehe na hata kwa individual hapa Tanzania lazima utapata wimbo wa Nigeria unapigwa.
Nigeria kwao wapo zaidi ya mil 200 ,TZ tupo zaidi mil 60,hamuwezi kuwa sawa.
 
Lugha ngeri inawabeba hata south wapo juu, watz wamekazana kiswahili lugha yetu haya sasa kinawafikisha wapi??zaid ya east wajiongeze
waSouth wengine wanaimba kikwao na tunasikilizw
 
We unaenda huko youtube kufanya nn
Ndio maana wanakukimbiza 😁😂😂
 
Kiukweli ukisikiliza miziki ya Nigeria na South Africa iko so international kufananisha na hii ya kwetu ambayo ina-sound too Local, Mimi huwa nashangaaga hata diamonds anawezaje kupenya maana most of the songs he produced sounds Local ila kwa Nigeria kila artist hata awe mdogo vp mziki wake ni mkubwa sana sana na unasikilizika na kuuzika sehemu yoyote Duniani

wee bana acheni hizi mambo zenu.

mziki international mnaupimaje!!!!
mbona wanaimba kawaida tu!!enda angalia jerusalem au ibidala halafu uniambie ina uinternational gani??

tujifunze kujikubali,maisha bila kujikubali hakuna kukubalika.
 
Lugha ngeri inawabeba hata south wapo juu, watz wamekazana kiswahili lugha yetu haya sasa kinawafikisha wapi??zaid ya east wajiongeze

kiingereza kinachoimbwa na wanamusic wa kinigeria sio sababu,kwanza kina rafuthi mbovu wala hakieleweki.

wale wana funbase kubwa inayoanzia nchini kwao,ndio sababu hata ukishindana nao kwenye tunzo inakuwa ngumu kupasua.
 
Ni Ngoma kali ila still local na ndio maana nguvu yao kubwa iko East Africa ila chukulia ngoma za wasanii wa Nigeria kama Wiz, Davi, Flavour na hata hawa wasanii wachanga kama akina Singah, fireboy, Joe boy Wurld, Simi utaona utofauti mkubwa katika Ubora wa miziki wanayofanya.

sikiliza ngoma kama IF,halafu linganisha na NIACHE ya diamond.

nimabie ujanja wa IF uko kwenye nini.
 
Mi nahisi africa tunapokea tu kila nyimbo hata kama lugha hatuijui,mfano kihind hivi unajua movie za kihindi ulaya hakunaga labda wahind wahishio huko wao wenyewe na ukitaka kuprove hichi hata mitandaoni utaona mastaa maharufu wa kihindi mitandaoni followes asilimia kubwa ni kwao na africa ila angalia msanii mfano justin bieber unakuta mbaka india watu kibao wanamfollow ni kote ndio maana unakuta mtu anafollows mil 200 na zaid huo ni mfano tu hata ukibahatika kwenda ulaya utaona mwenyewe husikii nyimbo za kirugaruga labda zao wenyewe

hizo tunaita shobo.

nenda kongo uone wanavyotukuza miziki yao.tokea miaka na miaka wako nayo,hawahangaiki na usasa.
 
Back
Top Bottom