Kwanini wasanii wanaijeria wanatukimbiza huko youtube

Kwanini wasanii wanaijeria wanatukimbiza huko youtube

Kama umeishi au unafuatilia mambo utagundua Nigeria Ni maarufu sana duniani kama Zanzibar ilivyomaarufu kuliko Tanzania. Kuna baadhi ya raia wa mabara mengine wanajua afrika ni nchi sio bara wengine anaoijua afrika ukiwaambia wakutajie nchi zilizopo Africa lazima lazima Nigeria kwanza Sasa hiyo tu inawabeba wasanii wake achilia mbali uwezo walionao
point.
 
watu sio tatizo
Sometimes ni tatizo sababu Nigeria wapo wengi na wanasapoti sana kazi za wasanii wao,kuanzia kwenye show mpaka kwenye digital platforms.

Tanzani hapa tupo active kidogo youtube sababu gharama yako bando,ila Sportfy,Itunea,Tidal huko Wanaija wanatukimbiza hatuwafikii hata robo na huko ndipo kuna hela.
Sisi TZ tushazoea kuteleza kwa Kidebwoy Mnyama na kupiga makelele ig.Digital platforms kama Mkito ishakufa,Mdundo inapumulia mashine.

Nigeria hata nusu ya mafanikio yao hatuja yafikia.
 
Leo nilikuwa napitia huko youtube nimegundua wasanii wetu watachukua muda mrefu kufikia level za wasanii wa naija. Kwanini tunaachwa mbali sana nyimbo za wasanii wetu ukizisikia zinavyolia kila mtaa unaweza usiamini utachokiona huko youtube viewers ni wachache sana

Wakati wenzetu ukisikia nyimbo inalia mtaani utakuta inatembea viewrs 50m wanakwama wapi wasanii wetu. Unaweza kukusanya video zote za msanii wa muda mrefu lakini utakuta hamfikii hata chipukizi wa naijeria aliyetoa nyimbo moja

Tunawasanii hawazidi saba ndio ambao tumekuwa tunawategemea ndo mana wanashindwa kushindana na msitu huu wanaijeria
Kuna theory nyingi zinaweza kuelezea n kip kikonyuma ya pazia ktk hili.
Approach ya kwanza inaweza kuwa subscribers. I doubt kuna wabongo weng n wateja wakubwa wa mzk wa naigeria ila cna uhakika kama namba hyo iko sawa na wanaigeria ambao n wateja wa nyimbo zet.
Pili n language inatumika kumarket nyimbo zao yan debate ya kiswahili vs english .
Tatu inawaze kuwa social profile ya wasanii wa bongo, sio kama nawabeza ila weng ukiangalia aspect kama education utabain wana madaraja ya chini.
Mwisho kabisa n identity, hakuna namna bongo itatunishia misul naigeria wakat hao masuperstar wabongo wameanza kutembea ktk njia za naigeria.
 
Back
Top Bottom