Kwanini Wasichana wengi wanaona wana haki ya kupewa Salamu na sio kutoa?

Sina tabia hiyo, awe mwanamke, awe mrembo, awe mmama au mzee akinikuta asipo salimia nampotezea wala simsemeshi wala kumsalimia
 
Leo npo kwny mwendokasi, nmekaa. Kaja pisi kali kakaa seat ya pemben bila kunisalimia akadhan ntamshobokea. Ihiiiiiiiii ndo kwanza nkageukia pembeni.

Mimi hata nkiwa barabaran hua sisalimii madem hata sku moja mana wanajiona cake

Kuna dem humu nshawai mfata PM namwomba namba, akawa hajibu message, akidhan ntambembeleza,, Ihiiiiiiiiiii ndo kwaaaaanza nkafuta hlo wazo la kutaka namba zake
 
kwa kawaida wasichana walio wengi wanajisikia, na ndio sababu pia utaona hata walioko kwenye sehemu za kutoa huduma wana "customer care" mbaya! ila muda ndio kila kitu, wanafanya yote hayo na kuolewa hawaolewi siku hizi kwasababu pia wanapishana na wanaume wenye hekima.
 
Wakulungwa mkipewa salamu huwa haiishi, mnaelekea kwenye namba😃😃.

Hata hivyo hii kawaida tumeitengeneza sisi wanaume, ile kushoboka sana na pisi.

Binafsi mwanamke akianza yeye kunipa salam huwa nampa heko sana, namuana ni shupavu na anajiamini , anajitambua pia.
 
Wakaka weupe ndo kiboko ya madem utasikia "ooh siwapendi wakaka weupe wanajishaua" [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] wanataka kutumudu wanaume wote ila weupe wamegoma.
 
Sipendi watu wanaopenda penda salamu utadhani chakula khaa hadi kwenye daldala napo unataka usalimiwe,utasalimiwa na wangapi sasa na utasalimia wangapi maana wanaingia na kutoka. Tafuteni pesa wakuu muache kujali vitu vidogo vidogo
Huko umeenda mbali.

Mantiki ya mtoa mada anamaanisha wanawake mnajichukulia haki ya kuanza kusalimiwa kuwa ni yenu tu.

Hata mkikutana na mwanaume mkawa wawili tu, wewe unajithamanisha na kujipandisha wadhifa, mpaka jamaa akuanze wewe.

Ndiyo hiyo sababu ya kujithamanisha kwenu inatafutwa.
 
Dah nilikuwa nadhani ni mimi tu ndo yananisibu na hivi vitoto vya chuo kwa hii sura yangu ya kazi! Ngoja nianze kuvilia bati sasa
 
Ninapokaa mimi niko na mambo yangu kuna wadada wamepanga basi huwa siwasalimii nikitoka niko na mishe zangu siku hyo natoka nje kuna kama kakona nikajibanza nikasikia wananisema huyu kaka hata hasalimii


Nikarudi niliwaashia moto nikawaambia salamu hailazimishwi wakawa kimya kama maji kwenye mtungi
 
Mkuu ulikosoa ungemchagua mmoja wapo mzuri uchukue No yake unitumie mimi ndugu yako
 
Unakuta mshahara wao hauzidi 1million kwa Mwenzi anasumbua sana
Bank nyingi zina viyoyozi vinawafanya wanakuwa soft sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…