Kwanini Wastaafu wote wanaopigwa kwenye mikopo umiza ni waalimu tu?

Kwanini Wastaafu wote wanaopigwa kwenye mikopo umiza ni waalimu tu?

Matokeo ya mwalimu wa shule ya msingi
Mathematics F
History D
Geography D
Civics D
Biology D
English D
Kiswahili C
Chemistry F
Physics F
Kwa matokeo haya afu unamkuta anafundisha hisabati darasa la 5 mpaka.la 7. Huwa nasemaaaaa hiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
 
Dogo nenda shule acha kufanya ligi na walimu.

Huyo ni pimbi tu anayestahili kupuuzwa. Bifu lake lilianza pale tu alipoambiwa achangie kilo za mchele ili mdogo wake huko kijijini kwao Simiyu aweze kula shuleni.

Tangu hapo, basi ni kulialia tu humu jukwaani. Haka kapuuzi kanaonekana ni KALAFI sana kwenye ishu inayoitwa CHAKULA.
 
Matokeo ya mwalimu wa shule ya msingi
Mathematics F
History D
Geography D
Civics D
Biology D
English D
Kiswahili C
Chemistry F
Physics F

Yanatuhusu nini hayo matokeo ya huyo mwalimu? Wakati unaleta kejeli hapa jukwaani, utakuta huyo mwalimu anaishi kwenye nyumba yake! ana familia yake inayoishi kwa furaha, upendo na amani!
Huku wewe ukiwa bado uko kwa wazazi wako ukipiga shkamoo daily na kusema "Mama Asante" kila umalizapo kula!

Hebu jaribu basi kuwa na akili ya kiutu uzima hata kidogo tu!
 
Punguza chuki kwa walimu Kijana ,yaan tokea uambiwe uchangie kg10 za mchele umekuwa na dhihaka sana kwa walimu ,lakini kwa haraka haraka itakuwa kuna mwalimu kakugongea mke wako ,kama sio mke kamla demu wako ndio maana kila kukicha ww na walimu.

Kitu kingine usipende kukariri kuwa kila mwalimu ni maskini au ana njaa ,mipango ni matumizi Kijana ,mshahara wa mwalimu ngazi ya chini kabisa kwa sasa ni laki NNE na mshahara wa juu kabisa ni m2 na vitoto ,so walimu wana mishahara mizuri tu na sio kama mnavyojiaminisha mtaani.

Siku izi walimu wanaendesha magari mazuri ,wamejenga nyumba nzuri ,wengine wana biashara kubwa,wanasomesha watoto wao shule nzuri na vitu kama ivyo.

Kitu kingine ambacho hujui ni kwamba kila mtumishi wa umma anakopa sana tu ni vile walimu ni wengi sana kwa idadi basi wanaonekana wao ndio wakopaji sana ila nakwambia tena hakuna mtumishi asiekopa ,wabunge wenyew wamejaa madeni sembuse mwalimu kukopa.

Pia elewa saiz hakuna mwalimu mzembe wa kutapeliwa saiz walimu ni wasomi tofaut na zamani .

Kuna MTU kadai walimu Mara nyingi wanakuwa wamefeli masomo yao ,narudia tena acheni kukariri saiz walimu ni wasomi grade 1-3 ,walimu kibao wana division one na two za kumwaga tu na vyuo vikuu, diploma ,certificate wametoka na GPA kubwa ,,so elewa kizazi hiki hakuna ualimu wa hisani unausotea.

Mwisho kabisa punguza hasira kwa walimu najua kuna sehem wamekugusa moja kwa moja ndio maana kila cku unawapondea tu,aliekuzid kakuzid tu ,we endelea kukomaa na mpunga huko majurubani ipo cku nawe utatoboa maana Nina uhakika una maisha ya shida sana ,ungekuwa na maisha mazuri sidhan kama ungekuwa na roho ya namna hiyo kwa walimu waliokufanya ujue hata kuandika hapa jf.
 
Unatakiwa ujue asilimia 90 ya watumishi wa umma ni walimu

Asilimia 90 ya watumishi wa umma wanaostafu na kuvuta Pesa ndefu ni walimu

Kwaiyo wingi wao ndio unafanya kila tarifa za masuala ya utaperi wa fedha uhusishe walimu sababu wapo wengi na wanavutaga pesa ndefu kidogo ukifananisha na kada nyingine

Walimu tunawachukulia pouwa ila mishahara yao ipo vizuri husani hawa wazee kinachowakaba hawana marupu rupu na hakuna rushwa

Mfano sasa hivi ajira za walimu zimesimama hakuna mwalimu anayechukua mshahara chini ya laki NNE kama wapo ni wachache sana ila wengi wanaanzi laki NNE , mpaka million uko hususani Hawa wazee wanaostafu wengi wamestafu mishahara yao million na kitu

Unaweza kuona kwanini wazee wa fursa mtaani wanacheza na walimu
Naona hao walimu unaowatetea hawakukufundisha tofauti ya R na L
 
Hujui chochote, wanapokea hadi milioni mbili

Nakubaliana kuwa niuongo! Mwalimu wa secondary anaanza n
Dogo nenda shule acha kufanya ligi na walimu.

Wewe utakuwa mwl mwenye elimu ya farm4, Div4 ,unafundisha form4. Maana unahisi kila mjadara unaohusu waalimu ni rigi.

Soma habari yenyewe halafu njoo na hoja.
Hakuna ubishi kuwa waalimu ndio wanao ongoza kwa kusaidiwa na takukuru!
Kwahiyo km watanzania lazima tujue chanzo ili jambo hili likome, vinginevyo takukuru itakuwa ni taasisi ya kusaidiwa waalimu tu.

Kwahiyo tunatafuta sababu ili kupata suruhisho maana hili nijanga kwa waalimu.
Wewe unasema eti rig na waalimu, nikweli aliyeweka matokeo ya waalim hapa yawezakuwa ww nimiongoni maana inaonekana uelewa mdogo japo ww ni mwl.
 
Naona hao walimu unaowatetea hawakukufundisha tofauti ya R na L
Ungekuwa unajua lugha mama yangu usingeona ajabu nakushauri tafuta marifa zaidi ili uwezw kujua kwanini huwa kuna makosa ya kimatamshi na kimaandishi

Mtu ambaye shule yake ndogo na uelewa wake mdogo ndio hukosoa hivi vitu ila ambaye uelewa wake mkubwa hawezi shangaa maana anajua kwanini hii kitu hutokea
 
Acha uongo hakuna Mwal anayepokea 1 million hapa Tz kutoka serikalini.
Hahaaaa nilikua sijui kama jamii forum kuna watu wajinga hivi!!! Aiseeeee!!! Yani kwataarifa yako maticha wanavuta mpunga zaidi ya M+ uliza walimu wenye TGTS F G H nakuendelea tatizo linakuja hakuna marupu rupu ambayo kwa sasa hata idara nyingine hakuna !!!mimi niliacha ualimu Nikiwa TGTS E gross ilikua 940,000/ na nilikua nina miaka sita kazin ina maana ningekua huko hadi leo ningekua mbali sana !!! Watu wengi hawajui scale za walimu ziko vizuri tatizo serikali haiwapi allowance !!!! Kama transp,lunch,house allowance nk !!!
 
Matokeo ya mwalimu wa shule ya msingi
Mathematics F
History D
Geography D
Civics D
Biology D
English D
Kiswahili C
Chemistry F
Physics F
Mbona huyu amefaulu? Walimu wengi Wana D zisizozidi nne,ya civics, kiswahili,history na English
 
Punguza chuki kwa walimu Kijana ,yaan tokea uambiwe uchangie kg10 za mchele umekuwa na dhihaka sana kwa walimu ,lakini kwa haraka haraka itakuwa kuna mwalimu kakugongea mke wako ,kama sio mke kamla demu wako ndio maana kila kukicha ww na walimu.

Kitu kingine usipende kukariri kuwa kila mwalimu ni maskini au ana njaa ,mipango ni matumizi Kijana ,mshahara wa mwalimu ngazi ya chini kabisa kwa sasa ni laki NNE na mshahara wa juu kabisa ni m2 na vitoto ,so walimu wana mishahara mizuri tu na sio kama mnavyojiaminisha mtaani.

Siku izi walimu wanaendesha magari mazuri ,wamejenga nyumba nzuri ,wengine wana biashara kubwa,wanasomesha watoto wao shule nzuri na vitu kama ivyo.

Kitu kingine ambacho hujui ni kwamba kila mtumishi wa umma anakopa sana tu ni vile walimu ni wengi sana kwa idadi basi wanaonekana wao ndio wakopaji sana ila nakwambia tena hakuna mtumishi asiekopa ,wabunge wenyew wamejaa madeni sembuse mwalimu kukopa.

Pia elewa saiz hakuna mwalimu mzembe wa kutapeliwa saiz walimu ni wasomi tofaut na zamani .

Kuna MTU kadai walimu Mara nyingi wanakuwa wamefeli masomo yao ,narudia tena acheni kukariri saiz walimu ni wasomi grade 1-3 ,walimu kibao wana division one na two za kumwaga tu na vyuo vikuu, diploma ,certificate wametoka na GPA kubwa ,,so elewa kizazi hiki hakuna ualimu wa hisani unausotea.

Mwisho kabisa punguza hasira kwa walimu najua kuna sehem wamekugusa moja kwa moja ndio maana kila cku unawapondea tu,aliekuzid kakuzid tu ,we endelea kukomaa na mpunga huko majurubani ipo cku nawe utatoboa maana Nina uhakika una maisha ya shida sana ,ungekuwa na maisha mazuri sidhan kama ungekuwa na roho ya namna hiyo kwa walimu waliokufanya ujue hata kuandika hapa jf.

🤣🤣🤣🤣🤣 hapa hakuna anaebisha kuwa waalimu wa sasa ndio wasomi nikweli.
lakini lengo langu kuleta mada hii nikutafta suruhisho ili kumkomboa mwalimu.

Maana hakuna ubishi kuwa takukuru inaongoza kukomboa fedha za waalimu , chanzo ni nini? Nakumbuka sio wte! Shida ninini wao ndo kuwa wahanga wakubwa? Wakati ndio wasomi wa shahada ya 1-3?

Wala sio dharau , nawapenda na nawaheshim hata BW YESU KRISTO alikuwa mwl. Sina ubishi, Rais ni mwl.

Tatizo kwanini mnaongoza kupigwa??? Tunataka tuwasaidie kuweni wawazi wana jf wawasaidie.
 
Waalimu =walimu... Kajifunze kuandika vizuri Kwa hao walimu alafu urudi hapa na kejeli
 
Punguza chuki kwa walimu Kijana ,yaan tokea uambiwe uchangie kg10 za mchele umekuwa na dhihaka sana kwa walimu ,lakini kwa haraka haraka itakuwa kuna mwalimu kakugongea mke wako ,kama sio mke kamla demu wako ndio maana kila kukicha ww na walimu.

Kitu kingine usipende kukariri kuwa kila mwalimu ni maskini au ana njaa ,mipango ni matumizi Kijana ,mshahara wa mwalimu ngazi ya chini kabisa kwa sasa ni laki NNE na mshahara wa juu kabisa ni m2 na vitoto ,so walimu wana mishahara mizuri tu na sio kama mnavyojiaminisha mtaani.

Siku izi walimu wanaendesha magari mazuri ,wamejenga nyumba nzuri ,wengine wana biashara kubwa,wanasomesha watoto wao shule nzuri na vitu kama ivyo.

Kitu kingine ambacho hujui ni kwamba kila mtumishi wa umma anakopa sana tu ni vile walimu ni wengi sana kwa idadi basi wanaonekana wao ndio wakopaji sana ila nakwambia tena hakuna mtumishi asiekopa ,wabunge wenyew wamejaa madeni sembuse mwalimu kukopa.

Pia elewa saiz hakuna mwalimu mzembe wa kutapeliwa saiz walimu ni wasomi tofaut na zamani .

Kuna MTU kadai walimu Mara nyingi wanakuwa wamefeli masomo yao ,narudia tena acheni kukariri saiz walimu ni wasomi grade 1-3 ,walimu kibao wana division one na two za kumwaga tu na vyuo vikuu, diploma ,certificate wametoka na GPA kubwa ,,so elewa kizazi hiki hakuna ualimu wa hisani unausotea.

Mwisho kabisa punguza hasira kwa walimu najua kuna sehem wamekugusa moja kwa moja ndio maana kila cku unawapondea tu,aliekuzid kakuzid tu ,we endelea kukomaa na mpunga huko majurubani ipo cku nawe utatoboa maana Nina uhakika una maisha ya shida sana ,ungekuwa na maisha mazuri sidhan kama ungekuwa na roho ya namna hiyo kwa walimu waliokufanya ujue hata kuandika hapa jf.
Kitu kingine mkumbushe kada ya elimu pekee ndio huwezi kuta mwalimu ana cheti cha degree ila hana cheti cha kidato cha sita

Yani uwalimu
Matokeo ya mwalimu wa shule ya msingi
Mathematics F
History D
Geography D
Civics D
Biology D
English D
Kiswahili C
Chemistry F
Physics F
Unautani na sana sheria wewe wahasibu madaktari nk maana hayo ndio matokeo wanayoanzia ngazi ya certificate bila shida ila wakipata degree wananza jiita wakili wasomi nakidharau walimu
 
Back
Top Bottom