Kwanini Wastaafu wote wanaopigwa kwenye mikopo umiza ni waalimu tu?

Kwanini Wastaafu wote wanaopigwa kwenye mikopo umiza ni waalimu tu?

🤣🤣🤣🤣🤣 hapa hakuna anaebisha kuwa waalimu wa sasa ndio wasomi nikweli.
lakini lengo langu kuleta mada hii nikutafta suruhisho ili kumkomboa mwalimu.

Maana hakuna ubishi kuwa takukuru inaongoza kukomboa fedha za waalimu , chanzo ni nini? Nakumbuka sio wte! Shida ninini wao ndo kuwa wahanga wakubwa? Wakati ndio wasomi wa shahada ya 1-3?

Wala sio dharau , nawapenda na nawaheshim hata BW YESU KRISTO alikuwa mwl. Sina ubishi, Rais ni mwl.

Tatizo kwanini mnaongoza kupigwa??? Tunataka tuwasaidie kuweni wawazi wana jf wawasaidie.
Kiongozi ujitaji kujua sana hayo subilia use na kipato na familia na majukumu ndio utajua maana ukiwa huna kipato wala majukumu huwezi kuwaza kukopa na wala huwezi aminika

Asilimia 99 yanaosema walimu hivi walimu vile ni watu ambao vipato vyao havieleweki na hawaminiki sababu kama mtu mwenyewe kipato na mfanya biashara lazima ana kimeo chake sehemu sema ni siri yake kwaiyo akiona mwalimu anadaiwa atatulia tu hawezi toa maoni yoyote sababu naye ana kimeo chake
 
Kweli hilo halina ubishi! Nasiwalimu wte kwamba wananjaa natabia za ajabu hapana!
Nibaadhi tu wachache wanaohalibu heshima ya sekta hii muhimu Duniani.
Tatizo kubwa asilimia kubwa ya walimu hawana exposure ya mambo mbali mbali sana elimu tu ya kufundisha ila elimu ya mtaa nk wengi hawana kutokana na back group ya makuzi yao

Nakupa fact mwalimu atayebisha abishe ila akijichunguza mwenyewe jibu atapata

Naposema walimu wengi hawana elimu ya mtaani na imanisha wengi si watoto wa mjini wanaojua janja za mjini wengi mijini wameingia baada ya kufauru darasa la saba na kupangwa shule za mjini, wengine kufauru kidato cha nne na kuja kidato cha tano wengine mjini wamefika baada ya kuchaguliwa chuo, na kupata ajira

Kwaiyo wengi wamekulia katika mfumo wa Maisha ya shamba kwaiyo sasa wakija Maisha ya ajira inakuwa vigumu sana kung'amua janja za mjini

Watoto wa mjini waliozaliwa mijini nakukulia mijini wengi walioenda uwalimu wameshindwa kwa kuangukia kwenye ulevi, umalaya hivyo kuathiri utendaji kazi wao matokeo yake wameishia kufukuzwa kazi na wengine waliacha kwa kuona hakuna maslahi maana matumizi yao ni makubwa kuliko kipato kwaiyo ukosefu wa marifa ya kutokujua mambo wanajikuta wanaigana wakimini kufanya jambo furani ni sahihi maana hawana tarifa rasmi za mambo ya mitaani na wengine wanauzana wao kwa wao
 
Kiongozi ujitaji kujua sana hayo subilia use na kipato na familia na majukumu ndio utajua maana ukiwa huna kipato wala majukumu huwezi kuwaza kukopa na wala huwezi aminika

Asilimia 99 yanaosema walimu hivi walimu vile ni watu ambao vipato vyao havieleweki na hawaminiki sababu kama mtu mwenyewe kipato na mfanya biashara lazima ana kimeo chake sehemu sema ni siri yake kwaiyo akiona mwalimu anadaiwa atatulia tu hawezi toa maoni yoyote sababu naye ana kimeo chake


Mi nanawafahamu zaidi ya walimu 30 wanamaisha mazuli sana.

Wapo mjini lakini wanamashamba nje ya jiji, wanafuga, wana maduka na maduka ya kubadilisha fedha za kigegeni!
Wanasomesha na vimada wao wako vizuri tu.

Mi nahisi wengi wanaohalibu heshima hii ya walimu niwale walimu wanaopenda yafuatayo.
1.kukopa ili ujenge, kwa waliosomea UCHUMI wataniunga mkono kwamba, huwezi kukopa ili ujenge nyumba ya kuishi. Moja ya masomo muhimu wanayosoma wachumi nipamoja na loans provide....
Otherwise uwe unajenga nyumba ya biashara.

2.huwezi kukopa mkopo ukanunua gari ya kuendea kazini.
Otherwise iwe nigari ya biashara nayenye kujidhamini yenyewe.

3. Huwezi kukopa ili uoe au uweke heshima baa.

Nadhani haya ndio mambo yanayowaumiza waalimu wachache wasiotambua hili nakupelekea takukuru kila siku kuokoa fedha za waalimu.
 
Tatizo kubwa asilimia kubwa ya walimu hawana exposure ya mambo mbali mbali sana elimu tu ya kufundisha ila elimu ya mtaa nk wengi hawana kutokana na back group ya makuzi yao

Nakupa fact mwalimu atayebisha abishe ila akijichunguza mwenyewe jibu atapata

Naposema walimu wengi hawana elimu ya mtaani na imanisha wengi si watoto wa mjini wanaojua janja za mjini wengi mijini wameingia baada ya kufauru darasa la saba na kupangwa shule za mjini, wengine kufauru kidato cha nne na kuja kidato cha tano wengine mjini wamefika baada ya kuchaguliwa chuo, na kupata ajira

Kwaiyo wengi wamekulia katika mfumo wa Maisha ya shamba kwaiyo sasa wakija Maisha ya ajira inakuwa vigumu sana kung'amua janja za mjini

Watoto wa mjini waliozaliwa mijini nakukulia mijini wengi walioenda uwalimu wameshindwa kwa kuangukia kwenye ulevi, umalaya hivyo kuathiri utendaji kazi wao matokeo yake wameishia kufukuzwa kazi na wengine waliacha kwa kuona hakuna maslahi maana matumizi yao ni makubwa kuliko kipato kwaiyo ukosefu wa marifa ya kutokujua mambo wanajikuta wanaigana wakimini kufanya jambo furani ni sahihi maana hawana tarifa rasmi za mambo ya mitaani na wengine wanauzana wao kwa wao

Fact.
Enzi na enzi
 
Wastafu wengi kwa miaka ya karibuni ni walimu wale wa zamani possible ni wa UPE.

Wengi hawana exposure na njia mpya za matapeli hususani huko vijjn hivyo uwa rahisi

Pia tamaa ya kupata mafanikio kwa njia za mkato mtu anaona kapata mil 40 then akiambiwa iweke kwenye hii account namba kisha inakuwa 60 baada ya week mbil mzee wa watu anakubali


Miaka ile ya DECI nilikuwa kjjn sasa kuna ndugu yangu alikuwa ni mwalimu. Shuleni kwake walimu wote walipanda mbegu huko deci. Yani ilipokuja kutambulika deci ni utapeli ilikuwa kama kuna msiba hv pale shuleni.

Anyway tuwe na huruma na hawa wazee kiwatapeli ni kujilaaani
😀😀 Dah
 
Tatizo kubwa asilimia kubwa ya walimu hawana exposure ya mambo mbali mbali sana elimu tu ya kufundisha ila elimu ya mtaa nk wengi hawana kutokana na back group ya makuzi yao

Nakupa fact mwalimu atayebisha abishe ila akijichunguza mwenyewe jibu atapata

Naposema walimu wengi hawana elimu ya mtaani na imanisha wengi si watoto wa mjini wanaojua janja za mjini wengi mijini wameingia baada ya kufauru darasa la saba na kupangwa shule za mjini, wengine kufauru kidato cha nne na kuja kidato cha tano wengine mjini wamefika baada ya kuchaguliwa chuo, na kupata ajira

Kwaiyo wengi wamekulia katika mfumo wa Maisha ya shamba kwaiyo sasa wakija Maisha ya ajira inakuwa vigumu sana kung'amua janja za mjini

Watoto wa mjini waliozaliwa mijini nakukulia mijini wengi walioenda uwalimu wameshindwa kwa kuangukia kwenye ulevi, umalaya hivyo kuathiri utendaji kazi wao matokeo yake wameishia kufukuzwa kazi na wengine waliacha kwa kuona hakuna maslahi maana matumizi yao ni makubwa kuliko kipato kwaiyo ukosefu wa marifa ya kutokujua mambo wanajikuta wanaigana wakimini kufanya jambo furani ni sahihi maana hawana tarifa rasmi za mambo ya mitaani na wengine wanauzana wao kwa wao
Unahsi umeongea point, kumbe umeongea ujinga bila fact. Unapomzungumzia mwalimu anaestaafu kuanzia miaka ya 2010 kuja 2020 unamzungumzia mtu wa miaka 60s huko kwa kuzaliwa, alieanza kazi miaka ya 70 enzi za Nyerere kuja 80s

Enzi hizo watanzania 90% walikuwa vijijini, hata baba ako na mama ako walikuwa hawajaanza ngono ya kukutafuta wewe.

Hivyo mnapotoa mawazo uwe unafikiria maana unazungumzia mtu aliemfundisha mpk baba yako.

Walimu wengi wakisasa waliopo mashuleni hawana hata nusu ya umri wa kustaafu. Ni watoto waliozaliwa 90s. Washache wamezaliwa miaka ya 80s hawa wataanza kustaafu mwaka 2040s huko

Acheni utoto
 
Unahsi umeongea point, kumbe umeongea ujinga bila fact. Unapomzungumzia mwalimu anaestaafu kuanzia miaka ya 2010 kuja 2020 unamzungumzia mtu wa miaka 60s huko kwa kuzaliwa, alieanza kazi miaka ya 70 enzi za Nyerere kuja 80s

Enzi hizo watanzania 90% walikuwa vijijini, hata baba ako na mama ako walikuwa hawajaanza ngono ya kukutafuta wewe.

Hivyo mnapotoa mawazo uwe unafikiria maana unazungumzia mtu aliemfundisha mpk baba yako.

Walimu wengi wakisasa waliopo mashuleni hawana hata nusu ya umri wa kustaafu. Ni watoto waliozaliwa 90s. Washache wamezaliwa miaka ya 80s hawa wataanza kustaafu mwaka 2040s huko

Acheni utoto
Wewe watoto wa mjini na shule wapi na wapi na wapi yani hivi mjini kwenye kundi la watu ishirini ambao ni watoto wa mjini kweli wanaomalizaga shule na kupata matokeo mazuri ni wawili au mmoja wengu hupata zero wengine huacha shule, pitia maofisini uko hata hao unaosema wa miaka 90 wengi wamaporini uko wa mjini unadonoa donoa

Hao wazazi wao waliotoka vijijini kuna mjini kufanya Nazi watoto wao wengi shule hawataki wanapenda miziki mpira usanii wa ajabu jabu na ndio wanawafanya wazazi wao wakakope uko ili kuna wasaidia

Watoto wa mjini na shule ni maji na mafuta wengi unaona mjini ni kidato cha nne kama walifika chuo kikuu wengi vyeti hawana maana hawakumaliza chuo kutokana na kuwa na mambo mengi
 
Huna taarifa sahihi tu.

Kuna nurse wa hapo Dodoma karudishiwa 10M na TAKUKURU tena hili ndo tukio latest kabisa kuhusu mstaafu kupigwa.

BTW:Ukisikia Mwalimu kapigwa jua ni wa primary tu na lazima ni wale UPE!
 
Duhhh kuna jinga linabishia ukweli wa basic salary ya million mbili mbona ni kitu cha kawaida hicho kwa mwalimu wa primary mwenye daraja F
Hajui scale za ajira za kada ya elimu mwacheni...mimi nlianza na degree na nikaacha kazi nikiwa na basic ya laki 8 na kitu, nikawa napokea laki 680 mwaka 2014 tena daraja D...ikumbwekwe kuna watu wapo mpaka daraja H, so wapo wanaodaka hadi 2m kwa mwezi! Ajue afisa elimu wilaya ambae ndio mkuu wa idara anapokea zaid ya 3m mshahara!

Sent from my SM-N910U using JamiiForums mobile app
 
Huna taarifa sahihi tu.

Kuna nurse wa hapo Dodoma karudishiwa 10M na TAKUKURU tena hili ndo tukio latest kabisa kuhusu mstaafu kupigwa.

BTW:Ukisikia Mwalimu kapigwa jua ni wa primary tu na lazima ni wale UPE!


🤣🤣🤣🤣 mtakubaliana tu na mimi kwamba kwenye kundi la walimu kuna walimu Div4 ya point28

Nahao ndo wanaohalifu heshima ya ualimu kiasa cha kufikia walimu wa vyuo vikuu kukataa kuitwa walimu ila waitwe wahadhiri.
 
Walimu wangekua kwenye sector inayozalisha kodi,serikali ingewajali sana ukizingatia wako wengi..lakini ndio kundi pekee linalonyanyasika na hii sio bahati mbaya na ndio maana wanaishi maisha magumu.
 
Anayemzarau mwalimu aliyenifundisha, si ajabu kumkuta akimtukana mzazi wake, kwani maranyingi huwa ana laana iitwayo 'Maturubai'!
 
Anayemzarau mwalimu aliyenifundisha, si ajabu kumkuta akimtukana mzazi wake, kwani maranyingi huwa ana laana iitwayo 'Maturubai'!

Nyie ndo mliokuwa mnaadika kwenye kuta za choo kwa mavi!
Nani kamzarau mwl.
 
Umeua kikatili😆😆😆

🤣🤣🤣☝️ sasa bro.. ndo hivyo! mtu anakurupuka kuandika matope, eti laana ya maturubai!

Unamjua mtu kwa comments zake unajua kabisa huyu ndo waliokuwa wanaandika chooni kwa mavi.
 
Kuna kila sababu ya mfumo wa kuwapata walimu na mfumo mzima wa kufundisha kufumuliwa.

Vinginevyo tutabaki kuwa na wasomi kama akina Zittoo na Tundu lisu.

Zittoo anaenda kuomba wafadhiri wainyime nchi misaada ya kusaidia watoto wa wapiga kula wake, ndg na dada zake ( huyu nae ni msomi anaetaka kuongoza nchi)

Tundu lisu anashilikiana na maadui wa nchi kuhujumu ndg na dada zake huku akienda ulaya na America akiisemea vibaya nchi yake.
Hao ndo wasomi wa nchi hii

Tatizo ni mfumo wakupata walimu na mfumo wakufundisha watoto wetu.

Mwl. Anaingia kagonga k-vant , huku akidaiwa madeni unategemea utadhalisha wasomi gani.
 
Back
Top Bottom