Kwanini Wastaafu wote wanaopigwa kwenye mikopo umiza ni waalimu tu?

Kwanini Wastaafu wote wanaopigwa kwenye mikopo umiza ni waalimu tu?

Niafadhari mimi mkulima ambae sihangaiki kuwazia watoto wangu watakula nini.
Kuliko ww mwl. wa Div4 unaepigwa kuanzia mikopo umiza na vijana ambao tuliishia darasa la ngubalu.

Ila wapigaji wanatugwaya.

Siku hizi ukitaka pesa ya haraka wewe Fungua kanisa harafu uwe na walimu kanisani MWAKO hata WATANO . Kisha wape kuwa wasaidizi wa baba mchungaji! Aaah hapo mzee nikupandisha volumes za sauti na kushusha michango kede kede.

No2. Fungua ofisi ya mkopo wa haraka harafu tembelea shule upate walimu hata wawili! Ujue wataletana tu.

No3. Anza kuuza vyombo kv masifuria 🤣🤣na hotport tembelea shuleni kukopesha aah utavuna

No4. Fungua baa nzuri weka watoto warembo wavalishe vichupi! Aah walimu lazima waweke ATM card kwenye mikopo umiza.

No5. Mikopo ya magari madogo! Hapo napo utakula salary za walimu kwa miaka10 hadi 20.

Tunawaambia mbadilike kwa sababu tunawapenda. Tunawasamini

Upo namba ngapi hapa mwl. Wa R na L?
 
Na wale walimu wa sekondari waliosoma hadi degree UDSM, UDOM, SUA nao utawaweka kwenye kundi la DDD na FFF na wakati form four na six wana devision three hadi division one.

Wapo mateacher tumesoma nao na ni vipanga balaa sema wengine ni watoto wa maskini so hawana connection yoyote wanaona wapige education atafute job mambo yasonge.
Ni wale wale mkuu,tofauti yao na wengine wao wameipata FA FA na EE form six then wakaingia chuo na DEE au DDE au EEF ( moja ikiwa ya divinity)then UDSM,SUA na kwingineko wakapata PASS
 
Na wale walimu wa sekondari waliosoma hadi degree UDSM, UDOM, SUA nao utawaweka kwenye kundi la DDD na FFF na wakati form four na six wana devision three hadi division one.

Wapo mateacher tumesoma nao na ni vipanga balaa sema wengine ni watoto wa maskini so hawana connection yoyote wanaona wapige education atafute job mambo yasonge.
Kipanga anapata DDDDFFFFFFF? No wonder wewe ni mwalimu
 
Kuna watu wengi wapo kwenye nafasi nzuri kwenye vitengo vya serikali japo ni faliures za form four au form six.
Mfano kuna watu wa ustawi wa jamii ni form four faliure wameungaunga sijui certificate mara diploma hadi degree, kuna ma clinic ofisa wanavimba mahospitalini japo ni form four faliure au form six faliure , mbona kuna wahasibu walifeli form four wameungaunga saiv wapo kwenye vitengo vya serekali.
Acheni ushamba kufikiri kwamba kuna kada ya waliofaulu tuu. Au mnawadharau walimu wenu kwa sababu waliwafundisha mkiwa vitoto vidogo mnalamba makamasi, kipindi mnajinyea na kujikojolea kwenye vikaptula na sketi, wakawatoa ujinga leo hii mnawadharau?
Na pengine wapo wanaowadharau walimu na ukiwacheki wao maisha yao unabaki kustaajabu? wapo wengine n bodaboda, wapo wengine hawana mbele wala nyuma.
Mkuu elimu ya kuunga unga haijawahi kulisaidia taifa hili,hao wa kuunga unga hata thinking capacity yao and their creativity is so questionable,wengi wao ndo wale wanaamka mapema kwenda ofisini huku wakiwa hawajui wanaenda kufanya nini, and bila boss wake kuja kumwambia Cha kufanya atakaa ofisini hadi saa kumi akiwa hafanyi chochote
 
Acha uongo hakuna Mwal anayepokea 1 million hapa Tz kutoka serikalini.
Wapo wengi Sana,nikutajie hapa wilayani kwetu? Au nikupe namba zao za siku?
Unawaona malofa Sana waalimu eeeh!
Mshahara wa milioni moja ni tgts g kwa walimu,sasa waulize he tgts g wako wangapi? Tena sio milioni tu take home ni milioni moja na laki moja.
 
Matokeo ya mwalimu wa shule ya msingi
Mathematics F
History D
Geography D
Civics D
Biology D
English D
Kiswahili C
Chemistry F
Physics F
Hizi ni dharau Tena za kiwango Cha sgr! Unakuwaje msahaulifu hivi? Hawa walimu unaowabeza ndio walezi wa watoto wenu nawe ulinifaika na hizo f zao kwani bila wao usingekuwa inajifanya mjanja hapa jf!
Naamini hata yule wa darasa la kwanza aliyekufundisha kupenga makamasi hakufika sekondari lakini alijitahidi kufundisha Hadi ukafaulu kwenda sekondari kutandaza hizo A zako ambazo kimsingi hazikusaidii lolote kupambana na Maisha yako kitaa!
Na hii ni laana ambayo haitokaa ikuepuke kwani umejaa dharau, kiburi na maringo kwa kujiona kipanga wa kila kitu!
Waombe msamaha walimu kwa dharau hii uliyoionyesha juu yao la, utakuwa na Maisha magumu mno mbeleni!
Poleni walimu mliomfundisha mpumbavu huyu asiyeitambua thamani yenu kwake!
 
Yanatuhusu nini hayo matokeo ya huyo mwalimu? Wakati unaleta kejeli hapa jukwaani, utakuta huyo mwalimu anaishi kwenye nyumba yake! ana familia yake inayoishi kwa furaha, upendo na amani!
Huku wewe ukiwa bado uko kwa wazazi wako ukipiga shkamoo daily na kusema "Mama Asante" kila umalizapo kula!

Hebu jaribu basi kuwa na akili ya kiutu uzima hata kidogo tu!
Mkuu!! huyo jamaa bado ni kijana mdogo asiyejua maisha usijisumbue kumjibu hivyo mpuuze tu .
 
Hizi ni dharau Tena za kiwango Cha sgr! Unakuwaje msahaulifu hivi? Hawa walimu unaowabeza ndio walezi wa watoto wenu nawe ulinifaika na hizo f zao kwani bila wao usingekuwa inajifanya mjanja hapa jf!
Naamini hata yule wa darasa la kwanza aliyekufundisha kupenga makamasi hakufika sekondari lakini alijitahidi kufundisha Hadi ukafaulu kwenda sekondari kutandaza hizo A zako ambazo kimsingi hazikusaidii lolote kupambana na Maisha yako kitaa!
Na hii ni laana ambayo haitokaa ikuepuke kwani umejaa dharau, kiburi na maringo kwa kujiona kipanga wa kila kitu!
Waombe msamaha walimu kwa dharau hii uliyoionyesha juu yao la, utakuwa na Maisha magumu mno mbeleni!
Poleni walimu mliomfundisha mpumbavu huyu asiyeitambua thamani yenu kwake!
Mkuu!! hawa wanaoandika dharau za aina hii, wengi wao bado ni vijana wadogo ambao bado hawajapambana na changamoto za maisha.

Na ukiona kijana anamdharau mwalimu ujue hata mzazi wake hamheshimu.
 
Matokeo ya mwalimu wa shule ya msingi
Mathematics F
History D
Geography D
Civics D
Biology D
English D
Kiswahili C
Chemistry F
Physics F
Kuna kipindi mimi mwenyewe nilikua na fikra kama zako. Ila kwa sasa mambo yamebadilika, ukitaka kwenda ualimu wa Certificate mwisho III na vyuo vikuu watu wanakwenda ualimu na I kabisa.
Hao walimu wanaopigwa hela sasa hivi ni wale wa zamani ( walimu wa upe). Sasa hivi watu wanadegree first class wako kitaa hawana kazi .
 
Mleta mada in hopeless kila mada in walimu tu.
Shika jembe ukalime dogo kuongelea watu wanaokuzid kila kitu in kujiongezea stress za maisha.
 
Sawa stori za vijiweni tushazizoea
Tatizo huelewi maana ya mshahara. Mshahara ni ile Basic Salary na sio Net pay.
Kwa maana hiyo waalimu wengi waandamizi wana mishahara hiyo kuanzia milioni moja na kuendelea kwa maana ya Basic salary.
 
Walimu ni janga la taifaaa! Huwezi amini kuna walimu kwa mwezi anapokea sh.2,000/- kwa ajili ya kukopa hovyo2 kwa watu binafsi! Maana benki wakibakiza theluthi moja, anakimbilia kwa watu binafsi! Yaani walimu ni shida tupu!
 
Niafadhari mimi mkulima ambae sihangaiki kuwazia watoto wangu watakula nini.
Kuliko ww mwl. wa Div4 unaepigwa kuanzia mikopo umiza na vijana ambao tuliishia darasa la ngubalu.

Ila wapigaji wanatugwaya.

Siku hizi ukitaka pesa ya haraka wewe Fungua kanisa harafu uwe na walimu kanisani MWAKO hata WATANO . Kisha wape kuwa wasaidizi wa baba mchungaji! Aaah hapo mzee nikupandisha volumes za sauti na kushusha michango kede kede.

No2. Fungua ofisi ya mkopo wa haraka harafu tembelea shule upate walimu hata wawili! Ujue wataletana tu.

No3. Anza kuuza vyombo kv masifuria 🤣🤣na hotport tembelea shuleni kukopesha aah utavuna

No4. Fungua baa nzuri weka watoto warembo wavalishe vichupi! Aah walimu lazima waweke ATM card kwenye mikopo umiza.

No5. Mikopo ya magari madogo! Hapo napo utakula salary za walimu kwa miaka10 hadi 20.

Tunawaambia mbadilike kwa sababu tunawapenda. Tunawasamini
Una shida kichwani ndugu kilaza. Jitahidi Sana kwenye maisha yako kuwa positive utaishi miaka mingi. Hizi chuki zisikuchoreshe.
 
Walimu ni janga la taifaaa! Huwezi amini kuna walimu kwa mwezi anapokea sh.2,000/- kwa ajili ya kukopa hovyo2 kwa watu binafsi! Maana benki wakibakiza theluthi moja, anakimbilia kwa watu binafsi! Yaani walimu ni shida tupu!
Mhhh
 
Back
Top Bottom