Kwanini Wastaafu wote wanaopigwa kwenye mikopo umiza ni waalimu tu?

Kwanini Wastaafu wote wanaopigwa kwenye mikopo umiza ni waalimu tu?

Naomba majibu hapa kutoka kwa waalimu.

je! Nikwanini kila nikisikia taarifa za taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa Takukuru imeokoa fedha za mstaafu ukifuatilia atakuwa ni mwalimu?

kwani wastaafu wote wanaopigwa kwenye mikopo umiza ni waalimu tu?
Ni nini kinasababisha watapeliwa wengi kuwa ni waalimu badala ya wakulima?

Kati ya watu wenye umuhimu mkubwa katika Taifa au jamii ni waalimu.
Lakini kati ya watu wanaonyanyaswa na serikali hasa hii ya............................ ni waalimu.
Jambo la kushangaza ni kuwa wamekose wasemaji kwani viongozi wa vyama vyao wengi wamekuwa wachumia tumbo na wepesi kiaghaiwa na serikali au wepesi kutishiwa na serikali.
Wakati huo huo, waalimu wamekuwa msitari wa mbele kuishabikia serikalia ya ccm wakati wa kupiga kura na kwa sehemu kubwa wao ndo wanakuwaga wasimaizi kwenye vituo vya kupigia kura.

Nawashauri waamue kupigania haki zao hata kama watafukuzwa kazi, basi heshima itakuwepo.
 
Hizi ni dharau Tena za kiwango Cha sgr! Unakuwaje msahaulifu hivi? Hawa walimu unaowabeza ndio walezi wa watoto wenu nawe ulinifaika na hizo f zao kwani bila wao usingekuwa inajifanya mjanja hapa jf!
Naamini hata yule wa darasa la kwanza aliyekufundisha kupenga makamasi hakufika sekondari lakini alijitahidi kufundisha Hadi ukafaulu kwenda sekondari kutandaza hizo A zako ambazo kimsingi hazikusaidii lolote kupambana na Maisha yako kitaa!
Na hii ni laana ambayo haitokaa ikuepuke kwani umejaa dharau, kiburi na maringo kwa kujiona kipanga wa kila kitu!
Waombe msamaha walimu kwa dharau hii uliyoionyesha juu yao la, utakuwa na Maisha magumu mno mbeleni!
Poleni walimu mliomfundisha mpumbavu huyu asiyeitambua thamani yenu kwake!
Kulea watoto wetu hakubadirishi matokeo yao mkuu.wala kusema matokeo ya mtu si udhalilishaji,ni matunda ya jasho lao
 
Ila tukiacha utani, mleta mada unachuki na walimu.
 
Soma alichoandika kwa Makini then angalia ulichojibu...😂😂😂😂
Mkuu nimeshajibu,hao wa SUA,UDSM na kwingineko ni wale wale watu,Ila wao hizo EEE na FF na D za divinity na Islamic knowledge wamezipata form six Kisha huko vyuoni wanaambulia PASS
 
Kulea watoto wetu hakubadirishi matokeo yao mkuu.wala kusema matokeo ya mtu si udhalilishaji,ni matunda ya jasho lao
Sasa si muwafundishe watoto wenu nyie wenyewe kama hayo matokeo ya walimu hayaridhishi.
 
Sasa si muwafundishe watoto wenu nyie wenyewe kama hayo matokeo ya walimu hayaridhishi.
Mgawanyo wa madaraka mkuu,wao waendelee kufundisha,sisi tutawatungia sheria,kuwatibu wakiugua,kudesign na kuwajengea miundombinu etc
 
Mgawanyo wa madaraka mkuu,wao waendelee kufundisha,sisi tutawatungia sheria,kuwatibu wakiugua,kudesign na kuwajengea miundombinu etc
Muhimu kila mmoja aheshimu taaluma ya mwenzake.
 
Muhimu kila mmoja aheshimu taaluma ya mwenzake.
Hahahah taaluma yao tunaiheshimu ndo maana tunawapelekea watoto wetu wawafundishe Ila hiyo haiondoi ukweli kuwa walimu wetu Wana fafa za kutosha
 
Hahahah taaluma yao tunaiheshimu ndo maana tunawapelekea watoto wetu wawafundishe Ila hiyo haiondoi ukweli kuwa walimu wetu Wana fafa za kutosha
Kwani hayo matokeo yapo kwa walimu tu?
 
Ila tukiacha utani, mleta mada unachuki na walimu.

Nikweli kabisa ninachuki na walimu wenye tabia za hovyo hovyo ambao wamesababisha kazi ya ualimu ionekane haina maana.
Nilisema kazi ya ualimu nikazi ya heshima Enzi na enzi.
Tangia kwa Bwana YESU.... aliitwa mwl.
Asilimia kubwa nchi hii imeongozwa na Walimu, hata waliowahi kuwa wake wa Maraisi nchi hii ni walimu.

Hata rais wa sasa na mkewe ni walimu.
Mimi naandika hapa kwa sababu ya mwalimu.

Wewe mwalimu unaefundisha sasa hivi nikwasababu ya ...mwalimu.

Hivyo mimi sina chuki na walimu, ila ninawachukia baadhi ya walimu wenye tabia za hovyo hovyo ambao badala ya kufanya kazi za kitaaluma wanajiingiza kwenye mambo ya kifedheha.

Nakundi hili kubwa la baadhi ya walimu wenye tabia za kutaka vimichango kwa wazazi wapo s/m na sekondari za kata.

Hi school na vyuo huu upupu huwezi kuusikia.
Ndio maana nikauliza swali ambalo hakuna hata mmoja aliyejibu ya kwamba?
Nikwanini WAHADHIRI WA VYUO VIKUU walikataa kuitwa waalimu?
Hamuoni kwamba waamua kukwepa fedheha zinazofanywa na baadhi ya walimu kujiingiza kwenye mambo ambayo hayawahusu?
Kwani mwl. Ulisomea kuchangisha michele?
Ulisomea kuchangisha pesa wanafunzi?
Nani alikufundisha chuo kwamba watoto wakila watafauru?

Mbona walimu wazamani ambao mnawaita ni walimu wa UPE kwanini wao waliheshimika kuliko nyie?

Hujawahi kujiuliza mbona walimu wa zamani waliheshimika kuliko walimu waleo?

Sichukii walimu! Nachukia baadhi ya walimu wanatekeleza majukumu yasiyo wahusu hasa michango michango.
Acheni kutumiwa na vyama vya siasa ili wananchi waichukie serikali yao na chama chao wakati huu wa uchaguzi

Mbona kabla ya uchaguzi hamjaja na michango ya 10kg za mchele na 2000@ mwanafunzi.

Nawathamini sana walimu , fanyeni kazi zenu msikubali kufanya mambo yasiyo wahusu.

Kama ww ni mwl. Unaependa tumichango michango kwa wanafunzi na watoto wa shule kiukweli nachukia kwa sababu mnamaliza heshima ya walimu weledi wachapa kazi na wanaosimamia misingi ya taaruma zao.
Wapo wengi tu. Na nilafiki zangu sana2! Wachapa kazi , wana mashamba yao nje ya jiji, wanafuga nguruwe, kuku nk.

Wana maduka na maduka yao ya vitabu.
Chapa kazi mwl.
 
Mkuu nimeshajibu,hao wa SUA,UDSM na kwingineko ni wale wale watu,Ila wao hizo EEE na FF na D za divinity na Islamic knowledge wamezipata form six Kisha huko vyuoni wanaambulia PASS
Ok, sawa halafu.....Msingi wa hoja yako Ni Nini? Kwamba Ni wajinga ilihali wanafundisha watoto na watoto wanafaulu au Ni mfumo unaowaajiri haufai maana unaajiri watu wasiojiweza, Na Kama unaajiri watu wasio na uwezo je Ni Nani wa kulaumiwa? Una watoto wanasoma?
 
Kati ya watu wenye umuhimu mkubwa katika Taifa au jamii ni waalimu.
Lakini kati ya watu wanaonyanyaswa na serikali hasa hii ya............................ ni waalimu.
Jambo la kushangaza ni kuwa wamekose wasemaji kwani viongozi wa vyama vyao wengi wamekuwa wachumia tumbo na wepesi kiaghaiwa na serikali au wepesi kutishiwa na serikali.
Wakati huo huo, waalimu wamekuwa msitari wa mbele kuishabikia serikalia ya ccm wakati wa kupiga kura na kwa sehemu kubwa wao ndo wanakuwaga wasimaizi kwenye vituo vya kupigia kura.

Nawashauri waamue kupigania haki zao hata kama watafukuzwa kazi, basi heshima itakuwepo.


Walimu hawa hawa ndo walimpa kula nyingi za uongo ndugu luwasa na wabunge wa ukawa uchaguzj w 2015

Kama kunamakundi ambayo yalianza kutekwa na wapinzani ni.
1.walimu
2.wanasheria

Ila saivi serikali iko makini sana.
 
Ok, sawa halafu.....Msingi wa hoja yako Ni Nini? Kwamba Ni wajinga ilihali wanafundisha watoto na watoto wanafaulu au Ni mfumo unaowaajiri haufai maana unaajiri watu wasiojiweza, Na Kama unaajiri watu wasio na uwezo je Ni Nani wa kulaumiwa? Una watoto wanasoma?
Mkuu sijasema kuwa ni wajinga na sijui Kama kufeli masomo ni ujinga,maana Kuna sababu nyingi zinazosababisha mtu kufeli
 
Mkuu sijasema kuwa ni wajinga na sijui Kama kufeli masomo ni ujinga,maana Kuna sababu nyingi zinazosababisha mtu kufeli
Ok.Basi SEMA msingi wa hoja zako Ni upi? Labda ntaelewa
 
Back
Top Bottom