Hatushindi mitandaoni mdogo wangu.Mzee wa kuchunguza l na r naona hii ☝☝ imekuwa ngumu kumeza.
Nataka aniambie yy yupo namba ngapi hapo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatushindi mitandaoni mdogo wangu.Mzee wa kuchunguza l na r naona hii ☝☝ imekuwa ngumu kumeza.
Nataka aniambie yy yupo namba ngapi hapo.
Kuna majukumu nje ya jf..Angalau ungekua na kitu Cha ziada ningekaa hapa.Jibu hoja mzee wa miandiko.
Soma alichoandika kwa Makini then angalia ulichojibu...😂😂😂😂Kipanga anapata DDDDFFFFFFF? No wonder wewe ni mwalimu
mama yangu amestaafu ni mwalimu last week amevuta milion 110 nikasema daa hatari sanaUnatakiwa ujue asilimia 90 ya watumishi wa umma ni walimu
Asilimia 90 ya watumishi wa umma wanaostafu na kuvuta Pesa ndefu ni walimu
Kwaiyo wingi wao ndio unafanya kila tarifa za masuala ya utaperi wa fedha uhusishe walimu sababu wapo wengi na wanavutaga pesa ndefu kidogo ukifananisha na kada nyingine
Walimu tunawachukulia pouwa ila mishahara yao ipo vizuri husani hawa wazee kinachowakaba hawana marupu rupu na hakuna rushwa
Mfano sasa hivi ajira za walimu zimesimama hakuna mwalimu anayechukua mshahara chini ya laki NNE kama wapo ni wachache sana ila wengi wanaanzi laki NNE , mpaka million uko hususani Hawa wazee wanaostafu wengi wamestafu mishahara yao million na kitu
Unaweza kuona kwanini wazee wa fursa mtaani wanacheza na walimu
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Tehe tehe, ndiyo maana wanadharauliwa. Miaka 5 sasa hawajapandishwa mishahara na mwalimu mwenzao ambaye naye hajui kiingereza (English D).
Hujui chovhote kaa kimyaAcha uongo hakuna Mwal anayepokea 1 million hapa Tz kutoka serikalini.
Ligi[emoji818]=rigi[emoji777]Nakubaliana kuwa niuongo! Mwalimu wa secondary anaanza n
Wewe utakuwa mwl mwenye elimu ya farm4, Div4 ,unafundisha form4. Maana unahisi kila mjadara unaohusu waalimu ni rigi.
Soma habari yenyewe halafu njoo na hoja.
Hakuna ubishi kuwa waalimu ndio wanao ongoza kwa kusaidiwa na takukuru!
Kwahiyo km watanzania lazima tujue chanzo ili jambo hili likome, vinginevyo takukuru itakuwa ni taasisi ya kusaidiwa waalimu tu.
Kwahiyo tunatafuta sababu ili kupata suruhisho maana hili nijanga kwa waalimu.
Wewe unasema eti rig na waalimu, nikweli aliyeweka matokeo ya waalim hapa yawezakuwa ww nimiongoni maana inaonekana uelewa mdogo japo ww ni mwl.
Mkuu unataka niangalie positions wanazoshikilia serikalini?kitu gani kipya wamefanya zaidi ya kushikilia hizo nafasi? Kuna mmoja alijiunga ofisini kwetu baada ya kusitaafu,ndani probation period tumepiga chini,yaani hana lolote zaidi ya bla bla tuSoma alichoandika kwa Makini then angalia ulichojibu...😂😂😂😂
Matokeo ya mwalimu wa shule ya msingi
Mathematics F
History D
Geography D
Civics D
Biology D
English D
Kiswahili C
Chemistry F
Physics F
Hakuna mwalimu aliye na matokeo Kama huyu jemba alivyo orodheshaHebu tuwaheshimu walimu hata kama walifeli. Ni kwa sababu ya hao leo hii wewe umejua kuandika vizuri.
Heshima kwenu walimu wote popote mlipo.
Huwa nashindwa kuelewa mtu anadharau walimu waliomtoa ujinga. Leo hii yuko nyuma ya keyboard anatype vizuri sababu ya hao walimu anaowadharau.Hakuna mwalimu aliye na matokeo Kama huyu jemba alivyo orodhesha
Nenda kozi zote kuanzia cheti mapaka elimu ya juu Ni mwalimu pekee mwenye ufauli mzuri sana. Hizo Ni chuki tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Nikukute centralTehe tehe, ndiyo maana wanadharauliwa. Miaka 5 sasa hawajapandishwa mishahara na mwalimu mwenzao ambaye naye hajui kiingereza (English D).
UongoWalimu ni janga la taifaaa! Huwezi amini kuna walimu kwa mwezi anapokea sh.2,000/- kwa ajili ya kukopa hovyo2 kwa watu binafsi! Maana benki wakibakiza theluthi moja, anakimbilia kwa watu binafsi! Yaani walimu ni shida tupu!
Najua wote mmerudi nyumbani wakati simu mlikuwa hampokeimama yangu amestaafu ni mwalimu last week amevuta milion 110 nikasema daa hatari sana
Wako wengi sna mkuuAcha uongo hakuna Mwal anayepokea 1 million hapa Tz kutoka serikalini.
Ni kwa walimu wote au!?Matokeo ya mwalimu wa shule ya msingi
Mathematics F
History D
Geography D
Civics D
Biology D
English D
Kiswahili C
Chemistry F
Physics F
Kwa walimu wa nchi hii,jamaa kawapendekelea sana kwa matokeo hayo,wengi Wana zero na four mbayaHakuna mwalimu aliye na matokeo Kama huyu jemba alivyo orodhesha
Nenda kozi zote kuanzia cheti mapaka elimu ya juu Ni mwalimu pekee mwenye ufauli mzuri sana. Hizo Ni chuki tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Zaidi ya 90%kwanza hayo ni mazuri sana majority Wana DDDD FFFFFFF
Mzee kabudi atakuwa na ngapi hivi!?Zaidi ya 90%kwanza hayo ni mazuri sana majority Wana DDDD FFFFFFF