Kwanini Waswahili hatuwezi kwenda na muda?

Kwanini Waswahili hatuwezi kwenda na muda?

Sio tatizo, kwenye hesabu tulijifunza topic ya errors (+-1) unapozungumza na mtanzania jambo lolote linalohusu muda ujao inabidi u +1 katika muda mtakaokubaliana, mfano mzuri ni haya matamko ya serikali (haya inabidi uongeze miaka 2 kutoka siku ya tamko) treni ya SGR itaanza kufanya kazi oktoba 2022 hapo jua inazungumziwa oktoba 2024, bwawa la nyerere kuanza uzalishaji agosti 2023 hapo jua ni agosti 2025. Etc
 
Ndio maana wenzetu wazungu wametuacha mbali Sana katika kila nyanja.
 
Kitu pekee tunachozingatia mda waswahil ni wakati wa kusafiri
 
Alafu ni kwenye mambo ya maana tu ndo waTz kuchelewa ila kama ni ahadi ya mgegedo wamekubaliana sa 2 mtu atafika saa 1 kabla achukue na chumba kabisa na wengine wanapaka mkongo ili chombo ikifika tu masebene..au kwnye simba na yanga mechi sa 9 mchana majitu yanaanza kuingia sa 1 asubuhi uwanjani gademiti!
 
Wengi hawana usafiri bongo, miundo mbinu mibovu, maeneo wanayokaa wabongo wengi ni chokoromageni hayo ni baadhi ya matatizo makubwa mengine watajazia... halafu mtoa mada acha ushamba na uzumbukuku utafikiri ulizaliwa ulaya.. kwani ulizaliwa ndani ya muda?
Aisee!!
 
Pole kwa kucheleweshwa mkuu, umeongea kwa uchungu sana. Ila nauli si ulimtumia
Tunakubaliana kabisa, jamani eeh kesho tukutane saa tatu kamili asubuhi. Watu wote wanaitikia "Sawa, saa tatu imekaa vizuri kabisa!"

Wewe unawahi saa tatu kasoro dakika 5 unafika eneo la tukio unakuta hakuna mtu hata mmoja. Unaanza kusubiri... saa tatu kamili, saa tatu na dakika 10, saa tatu na nusu.... saa nne!

Ndio watu wanaanza kujitokeza mmoja mmoja huku ikijichekesha chekesha "Ooh unajua bana mambo mengi asubuhi..." Sasa si mngesema tukutane saa nane?

Hivi kweli Waafrika tutaweza mambo serious kama swala la muda tu linatushinda!
 
kwenda na muda ni kitu ambacho ngozi nyeusi imetushinda wengi na hii ni mbaya sana. Na hapo mtu alikuwa na taarifa wiki kabla ili aweze kupangilia ratiba zake, sijui angeshtukizwa ingekuaje.
 
Ni tatizo kubwa mno ktk jamii yetu sisemi waswahili,au afrika.tanzania amboko tupo.kubwa nionalo ni KUKOSA MALENGO.
ktk maisha ukikosa malengo kamwe mda kwako sio tatizo.mwenye malengo hapotezi mda.kira kitu atafanya kwa time sahihi,wakati sahihi na kwa usahihi zaidi icho akifanyacho.muda ni mali,munda ndo maisha yako,munda ndio dira yako ktk maisha yako.HESHIMU MUDA UTAFANIKIWA.
Lamwisho:
Ukosefu wa elimu,uwajibikaji,ajira.


Sent from my F-02H using JamiiForums mobile app
 
Wengi hawana usafiri bongo, miundo mbinu mibovu, maeneo wanayokaa wabongo wengi ni chokoromageni hayo ni baadhi ya matatizo makubwa mengine watajazia...
Kwani wakati tunakubaliana tukutane saa 3 wewe hukujua kwamba huna usafiri? Kwanini usiseme tukutane saa sita?
 
kwenda na muda ni kitu ambacho ngozi nyeusi imetushinda wengi na hii ni mbaya sana. Na hapo mtu alikuwa na taarifa wiki kabla ili aweze kupangilia ratiba zake, sijui angeshtukizwa ingekuaje.
Kiuhalisia hakuna kitu chochote cha maana ambacho huyo mtu anakua anafanya mpaka achelewe. Ni basi tuu sijui ni uvivu au nini mi sielewi
 
Tunakubaliana kabisa, jamani eeh kesho tukutane saa tatu kamili asubuhi. Watu wote wanaitikia "Sawa, saa tatu imekaa vizuri kabisa!"

Wewe unawahi saa tatu kasoro dakika 5 unafika eneo la tukio unakuta hakuna mtu hata mmoja. Unaanza kusubiri... saa tatu kamili, saa tatu na dakika 10, saa tatu na nusu.... saa nne!

Ndio watu wanaanza kujitokeza mmoja mmoja huku ikijichekesha chekesha "Ooh unajua bana mambo mengi asubuhi..." Sasa si mngesema tukutane saa nane?

Hivi kweli Waafrika tutaweza mambo serious kama swala la muda tu linatushinda!
Hakikisha hao watu hupigi nao dili ya pwesa
 
halafu mtoa mada acha ushamba na uzumbukuku utafikiri ulizaliwa ulaya.. kwani ulizaliwa ndani ya muda?
Aina ya akili za hovyo.. kwahiyo kama sikuzaliwa ulaya nisijali muda?
 
Alafu ni kwenye mambo ya maana tu ndo waTz kuchelewa ila kama ni ahadi ya mgegedo wamekubaliana sa 2 mtu atafika saa 1 kabla achukue na chumba kabisa na wengine wanapaka mkongo ili chombo ikifika tu masebene..au kwnye simba na yanga mechi sa 9 mchana majitu yanaanza kuingia sa 1 asubuhi uwanjani gademiti!
Hii inaonyesha ni mambo gani sisi kama jamii tunayapa kipaumbele katika maisha yetu, na matokeo yake ndio haya tunayoyaona yakijionyesha kwenye kiwango cha maendeleo tulicho nacho.
 
Ukiona mtu anachelewa kwenye jambo ujue halina maana kwake.

Shuleni muda wa lunch kila mtu yupo kwenye foleni. Hata kwenye interview watu hufika kabla ya muda uliopangwa.
 
Our nature we africans
Ni uzembe tu..
Tuna vijana wana ufanisi mkubwa kwenye baadhi ya taaluma..lakin hawajui kwenda na muda...siku za kazi mara zote wanakuja kwa kuchelewa...anatakiwa akamilishe kazi baada ya siku 3..anamaliza week.

Halafu ni uzembe mkubwa sana tunao, kuna kupata dharura..lakin unakuta mtu hatoi taarifa anakaa kimya,anakuja kwa kuchelewa na hata kazi mshamaliza ndio anaanza kukulete blah, blah zake..

Hii time management imenikoseshana na watu wengi sana...mtu anakwambia baada ya nusu saa nitakua hapo,anza kutoka kabisa.bhasi unakula ka ugali kako mbio mbio afu ukute ka moto yani unakapuliza uli hata kwa raha,unafika mapema unakaa hata saa zima mtu hatokei,ukipiga anapokea anamkwambia nafika sasa hivi..nusu saa ingine..

Siku hizi nasubiri dk 10 usipotokea nasepa.


Inakwaza ndio mana naona fursa nyingi zinakuja kamatwa na wageni.



Sent from my SM-G975U using JamiiForums mobile app
 
Muda haujawahi kutuadhibu Au hatuoni madhara ya Kutojali muda,hii ni mbaya sanaaa
 
Back
Top Bottom