Kwanini Watangazaji wa 'Kipyenga Extra' East Africa Radio wameumia sana na 'Nyundo' aliyopewa Haji Manara?

Kwanini Watangazaji wa 'Kipyenga Extra' East Africa Radio wameumia sana na 'Nyundo' aliyopewa Haji Manara?

Unayemuongelea kwa Kauli hizo ni Jimmy Kindoki ambaye kwa tunaomjua tunajua alifanywa nini na Mdau wa Yanga SC Carlos the Don mwaka Juzi walipolala Chumba Kimoja Mbeya pale Yanga SC ilipoenda Kucheza na Mbeya City katika Mechi ya Ligi Kuu.

Huyo Kiongozi mkubwa unayemuongelea hapa ni Mstaafu wa Kikatiba kwa mwaka 2005 - 2015 ndiyo anampa Kiburi kwakuwa ni Rafiki Mkubwa na Baba Mzazi wa Mfungwa Mpya wa Leo wa Kamati ya Maadili ya TFF.
Duh,kumbe J ni no rinda!!!
 
Kwa sasa manara anashauriana na wazee maarufu wa Yanga pahali pa kupata mganga mzuri wa kutengua adhabu aliyopewa
Tokea juzi alikuwa huko na yuko Kigamboni. Ni Mganga ambaye amewasaidia mno Mafisadi wa Tanzania Wasifungwe na ndiyo huyo huyo amemsaidia sana aliyekuwa Mkuu wa Mkoa aliyewahi na anayechukiwa zaidi na Watanzania.

Mfungwa alichelewa kwenda Kwake.
 
Nimegundua hii hukumu ingeambatana na kwenda kupimwa akili
Mwenyewe takadini anadai haelewi kilichotokea siku ile kwani anachokumbuka ni kuwa alikuwa anamsalimia tu Mh. Rais Karia, ila alipomaliza tu ndiyo akazinduka kuwa alikuwa anampaka. Hassan Bumbuli mtu mbaya sana, na tangu tangazo lilipotoka hadi sasa anakula bata la hatari. Uchawi upo jamani.
 
Unayemuongelea kwa Kauli hizo ni Jimmy Kindoki ambaye kwa tunaomjua tunajua alifanywa nini na Mdau wa Yanga SC Carlos the Don mwaka Juzi walipolala Chumba Kimoja Mbeya pale Yanga SC ilipoenda Kucheza na Mbeya City katika Mechi ya Ligi Kuu.

Huyo Kiongozi mkubwa unayemuongelea hapa ni Mstaafu wa Kikatiba kwa mwaka 2005 - 2015 ndiyo anampa Kiburi kwakuwa ni Rafiki Mkubwa na Baba Mzazi wa Mfungwa Mpya wa Leo wa Kamati ya Maadili ya TFF.
Alifanywa nini,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Jiongezee au kama bado hujui kuanzia Leo anza kufatilia mpka utakuja kupata ukweli wee unadhani kiburi anapata wapi
Yaan yule ndo anajifanya think tank wa Taifa, kila kitu ni yeye, tumemchokaaa, atuacheee bhanaa. Watu hawamuogopi wanamuheshimu tyuuh.

Asiingize soka na siasa zake chafuuu. Atupumzishe sie
 
Mwisho wa senema hii baada ya rufaa ni kwamba manara atalipa million moja tuu haya ni maigizo tuu hukumu sahihi ipo kwenye rufaa

Na picha lianze.
IMG_0710.jpg
 
Back
Top Bottom