SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Duh,kumbe J ni no rinda!!!Unayemuongelea kwa Kauli hizo ni Jimmy Kindoki ambaye kwa tunaomjua tunajua alifanywa nini na Mdau wa Yanga SC Carlos the Don mwaka Juzi walipolala Chumba Kimoja Mbeya pale Yanga SC ilipoenda Kucheza na Mbeya City katika Mechi ya Ligi Kuu.
Huyo Kiongozi mkubwa unayemuongelea hapa ni Mstaafu wa Kikatiba kwa mwaka 2005 - 2015 ndiyo anampa Kiburi kwakuwa ni Rafiki Mkubwa na Baba Mzazi wa Mfungwa Mpya wa Leo wa Kamati ya Maadili ya TFF.
Tokea juzi alikuwa huko na yuko Kigamboni. Ni Mganga ambaye amewasaidia mno Mafisadi wa Tanzania Wasifungwe na ndiyo huyo huyo amemsaidia sana aliyekuwa Mkuu wa Mkoa aliyewahi na anayechukiwa zaidi na Watanzania.Kwa sasa manara anashauriana na wazee maarufu wa Yanga pahali pa kupata mganga mzuri wa kutengua adhabu aliyopewa
Mr. Smiling Killer from Chalinze Town.MTAJE
Ramadhan Kabwili ana Siri Kubwa tu.Duh,kumbe J ni no rinda!!!
Nimegundua hii hukumu ingeambatana na kwenda kupimwa akiliKwa maneno haya wacha apigwe nyundoView attachment 2298634
Apigwe tu,hayo maneno Ni mazitoKwa maneno haya wacha apigwe nyundoView attachment 2298634
Ndiyo sasa naanza kuelewa, duh!!!Ramadhan Kabwili ana Siri Kubwa tu.
Mwenyewe takadini anadai haelewi kilichotokea siku ile kwani anachokumbuka ni kuwa alikuwa anamsalimia tu Mh. Rais Karia, ila alipomaliza tu ndiyo akazinduka kuwa alikuwa anampaka. Hassan Bumbuli mtu mbaya sana, na tangu tangazo lilipotoka hadi sasa anakula bata la hatari. Uchawi upo jamani.Nimegundua hii hukumu ingeambatana na kwenda kupimwa akili
Wasafi imekuwa wachafu fm wamekwisha kabisa kipindi Cha michezo kimekuwa Cha matangazo na mipasho Hawana jipyaKuna vibudu wengine pale Wasafi Sports Arena, Paul Mnkai,Ahmed, Yusuf Mkule, Ricardo Momo na kale kademu kao wamefanya pale kama kitengo cha Utopolo
Siwapendi kinoma sasaivi hawa wasafi hao ni kamali tuu ya mchongo pesa na matangazo mengine uchambuzi ni ziloWasafi imekuwa wachafu fm wamekwisha kabisa kipindi Cha michezo kimekuwa Cha matangazo na mipasho Hawana jipya
JiesiemuMTAJE
Shauri lilishafunguliwa, lazima Sheria ifuate mkondo, ingekua kuomba radhi kunafuta adhabu kusingekua na jelaIna maana ule msamaha alioomba ulikataliwa ?
Alifanywa nini,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Unayemuongelea kwa Kauli hizo ni Jimmy Kindoki ambaye kwa tunaomjua tunajua alifanywa nini na Mdau wa Yanga SC Carlos the Don mwaka Juzi walipolala Chumba Kimoja Mbeya pale Yanga SC ilipoenda Kucheza na Mbeya City katika Mechi ya Ligi Kuu.
Huyo Kiongozi mkubwa unayemuongelea hapa ni Mstaafu wa Kikatiba kwa mwaka 2005 - 2015 ndiyo anampa Kiburi kwakuwa ni Rafiki Mkubwa na Baba Mzazi wa Mfungwa Mpya wa Leo wa Kamati ya Maadili ya TFF.
Yaan yule ndo anajifanya think tank wa Taifa, kila kitu ni yeye, tumemchokaaa, atuacheee bhanaa. Watu hawamuogopi wanamuheshimu tyuuh.Jiongezee au kama bado hujui kuanzia Leo anza kufatilia mpka utakuja kupata ukweli wee unadhani kiburi anapata wapi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ramadhan Kabwili ana Siri Kubwa tu.
Alisukuma Ukuta wa Berlin.Alifanywa nini,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mr. Smiling Killer from Chalinze Town.
OKAY...Jiesiemu
Mwisho wa senema hii baada ya rufaa ni kwamba manara atalipa million moja tuu haya ni maigizo tuu hukumu sahihi ipo kwenye rufaa