Kwanini Watanzania hawapendi kusafiri?

Kwanini Watanzania hawapendi kusafiri?

Mwanamke aitwaye Cassandra de Pecol kutoka Connecticut, alifanikisha ndoto yake ya kutembelea nchi zote duniani, 193,
akiwa na umri wa miaka ishirini na saba.

Mpaka anafikisha miaka 18, Canada ndiyo nchi pekee aliyokuwa amefika, tena, ni kwa vile mama yake anatokea huko. Sababu kubwa iliyomfanya asisafiri akiwa mdogo ni uwezo mdogo wa kifedha.

Kufanikiwa kwake kuzitembelea nchi 193 ni jitihada zake binafsi. Anavyoonekana si tajiri, ila anapenda kusafiri. Lakini kuna Watanzania ambao pengine wana uwezo mkubwa kifedha kumzidi yeye lakini bado hawasafiri.

Ukizilinganisha nchi za Afrika Mashariki, hasa Kenya, Uganda, na Rwanda, Watanzania ndiyo wanaoongoza kwa kutokusafiri kwenda nchi zingine. Kwa nini hivyo?

1. Umaskini?

2. Lugha?

3. Ugumu wa upatikanaji wa passport?

4. Ushamba?

5. Utamaduni?

Sababu ni nini?
mwaka huu naenda Ruanda
 
Mwanamke aitwaye Cassandra de Pecol kutoka Connecticut, alifanikisha ndoto yake ya kutembelea nchi zote duniani, 193,
akiwa na umri wa miaka ishirini na saba.

Mpaka anafikisha miaka 18, Canada ndiyo nchi pekee aliyokuwa amefika, tena, ni kwa vile mama yake anatokea huko. Sababu kubwa iliyomfanya asisafiri akiwa mdogo ni uwezo mdogo wa kifedha.

Kufanikiwa kwake kuzitembelea nchi 193 ni jitihada zake binafsi. Anavyoonekana si tajiri, ila anapenda kusafiri. Lakini kuna Watanzania ambao pengine wana uwezo mkubwa kifedha kumzidi yeye lakini bado hawasafiri.

Ukizilinganisha nchi za Afrika Mashariki, hasa Kenya, Uganda, na Rwanda, Watanzania ndiyo wanaoongoza kwa kutokusafiri kwenda nchi zingine. Kwa nini hivyo?

1. Umaskini?

2. Lugha?

3. Ugumu wa upatikanaji wa passport?

4. Ushamba?

5. Utamaduni?

Sababu ni nini?
Nilishawahi kuleta uzi kama huu,inashangaza sana,achilia mbali kusafiri nchi za nje,kuna watu mpaka wanazeeka hawajawahi kwenda hata bagamoyo,kaole na wamezaliwa hapo dar tu
 
Nilishawahi kuleta uzi kama huu,inashangaza sana,achilia mbali kusafiri nchi za nje,kuna watu mpaka wanazeeka hawajawahi kwenda hata bagamoyo,kaole na wamezaliwa hapo dar tu
Hivi vitu vinaendana na level ya maisha. Ukichora ile graph ya mahitaji ya binadamu ndiyo utaelewa zaidi. Kwanza binadamu anapigania basic needs kama chakula, mavazi na malazi. Kipato chako kikitosheleza haya na ziada ndiyo unakwenda level nyingine na kadiri kipato kinavyoongezeka ndiyo mambo ya anasa na yasiyo na uhitaji yanavyoongezeka. Ukienda nchi zilizoendelea mtu wa kipato cha kati ana nyumba ya kuishi, nyumba ya kuishi pembeni ya mji kipindi cha summer, magari, boti ya ku-enjoy baharini wakati wa summer, holiday ya kila mwaka kutembelea sehemu mbali mabli duniani nk. Huku kwetu gari linaonekana kama ndiyo level ya ufahari.
 
Huyo dada ni kichaa kabisa
 

Attachments

  • Screenshot_20231111-093240.png
    Screenshot_20231111-093240.png
    66.8 KB · Views: 8
Kusafiri ni anasa kwa mwananchi ambaye hajui kesho asubuhi atakula nini huku anadaiwa kodi ya nyumba, kurejesha kikoba, ada za watoto na gharama za matibabu ya shangazi aliyemeza panga
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] shangazi aliyemeza panga...
 
😄😄😄😄Et bora ubanwe kende ila ni kweli mkuu life la bongo ni tight.

Kila kitu bongo kupata ni tabu.
Sasa mzee unapata 20k kwa siku, una mke na watoto wawili, ulipe kodi ya nyumba, kula, umeme, maji, nauli kwenda mzigoni bado hapo hapo hajaumwa mtu, wazazi wanakutizama wewe, unapataje mpunga wa kwenda kwa kusafiri nje ya nchi.

Standard ya maisha yetu ni mbovu.
 
Back
Top Bottom