GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 7,189
- 10,375
- Thread starter
- #61
😃😃😃Passport mkuu ni Shida,..kuipata hadi uende Kwa Sangoma.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😃😃😃Passport mkuu ni Shida,..kuipata hadi uende Kwa Sangoma.
Mkuu, wenye njaa hawasafiri, na kinyume chake ni sahihi pia.Nchi ya asali na maziwa, why uondoke unaenda kufuata nini huko nje?
Na mimi nina mpango huo.mwaka huu naenda Ruanda
Wasomali vipi? Hawana njaa?Mkuu, wenye njaa hawasafiri, na kinyume chake ni sahihi pia.
Mkuu, labda niseme miongoni mwa mambo yanayomchochea mtu kusafiri ni pamoja na:Wasomali vipi? Hawana njaa?
Hakuna nchi ina gawa hati ya kusafiria kama njugu, utaratibu ufatweIko hivi ukiangalia wazungu wengi ni watu ambao wanafanya sana saving hata wenye vipato vya kawaida.
Wanaweza saving kwakuwa kwanza kiwango cha utegemezi kwao ni kidogo sana. Yani utakuta baba na mama wana mtoto mmoja au hawana na hamna mtu anaewaomba hela.
Hakuna sijui michango ya ukoo, sijui mtoto wa mjomba ada shule, mara rafiki anaoa, mara bibi anaumwa n.k
Birth control imesaidia wenzetu sana. Sisi huku mtu ana ndugu zaidi ya laki na akipata tu ka ajira ka kulipwa laki saba basi kila mtu anamtolea macho, vizinga visivyoisha.
Huyo mtu ata save sangapi ili aweze kutembelea nchi mbalimbali?
Kingine kwa wenzetu wa nje huko wengi wanakula generational wealth. Yani mtu anazaliwa anakuta familia iko well-off kuanzia vizazi kadhaa vilivyopita. So yeye anaendeleza kutengeneza hela tu na future ya kizazi chake so mambo kama kusafiri ni kawaida tu.
Chamwisho ni nchi yetu hii ina mifumo ya ajabu sana. Mtu kumiliki passport tu inaonekana kama vile ni jambo la ajabu sana. Ukienda uhamiaji kutaka passport inakuwa ni mchakato mgumu utadhani unataka kwenda mbinguni.
Nchi za wenzetu kuwa na passport ni kawaida na kila raia anayo kama document muhimu. Hapa kwetu passport inachukuliwa tofauti sijui kwanini CCM hawataki raia wamiliki passport?
Inaonekana una kazi nzuri, mahali pazuri pa kuishi na kila kitu ni uhakika.Tupo comfortable nyumbani, Tuzurure tupate nini?
Hapo sasa.Kusafiri ni anasa kwa mwananchi ambaye hajui kesho asubuhi atakula nini huku anadaiwa kodi ya nyumba, kurejesha kikoba, ada za watoto na gharama za matibabu ya shangazi aliyemeza panga
Hayo umesema wewe, ila mie nimekupa sababu why watanzania hatoki nje.Inaonekana una kazi nzuri, mahali pazuri pa kuishi na kila kitu ni uhakika.
Wengine ramani hazisomi na hawana matumaini wanajaribu kutafuta maisha kwingineko duniani. Na sio jambo baya, dunia ni yetu na tumeamrishwa tuizunguke tuone maajabu na uumbaji wa mungu wetu muumba.
Kama umefunguliwa na umejaaliwa na mungu wako mshkuru sana!
Kabisa kaka Kuna mda ukipata hata laki ujue matumiz yashafanyika kabla hujaipata😀😀Kwanza vipato vyetu ni mtihani saana, kifupi life la bongo kwa mtu wa kawaida ni linabana bora ubanwe kende luliko life la bongo.
Pesa zinapita tu, unakuwa na mpango wa kuingiza hela ila hela inaisha kabla ya kuishika mkononi.. 😂Kabisa kaka Kuna mda ukipata hata laki ujue matumiz yashafanyika kabla hujaipata😀😀
Yani ukipata tu ni shwaaa😂😂Pesa zinapita tu, unakuwa na mpango wa kuingiza hela ila hela inaisha kabla ya kuishika mkononi.. 😂
Yani ukipata tu ni shwaaa😂😂
Umenikumbusha habari niliyoisikia hivi karibuni!USHAMBA
Hata watu wenye pesa hapa Tanzania wengi hawapendi Adventure au kupata Exposure hata ya kujua tamaduni za watu tofauti tofauti
Wanachojua wakishatajirika basi ni kununua magari na nyumba kisha kula pombe na Wanaaake kila siku