- Thread starter
- #41
Kmwalimu kufanya kiswahili ndio lugha kuu tanzania alikuwa yupo sawa sana na mfumo mzima wa elimu ulikuwa hauna utata Wowote.
Kiswahili: Niambieni ni nchi ngapi za Afrika viongozi wake wanaweza kuongea kiigereza kwa ufasaha na hivi juzi tu kuna mbunge mmoja wa nertheland alifanya reseach na kupitia nchi kama south Afrika na kenya ambazo ndio zinaonekana watu wanaongea kingereza kizuri bado akakuta watu wengi hawafahamu maneno mengi tu ya kiingereza kwa sababu Lugha ya kiingereza ni "second Language" kwao na alipopita Tanzania alishtuka sana kuona watu wote bungeni wanatumia lugha moja na kila mtu anaweza kujielezea kwa ufasaha na hata asiyesoma anaweza kuelewa. Hivi Nyinyi watu mnataka kuniambia Zambia ambayo Kiingereza ndio lugha ya Taifa watu wote wanaongea kiingereza mpaka kijijini.
Huu ndio ujinga mkubwa wa mwafrika kufikiri kiingereza au kujua kiingereza ndio kuelimika.Wachina,wajapani,wacanada na nchi zote za European Union isipokuwa UK wote wanazungumza lugha zao wenyewe na nchi zote hizo zimeendelea kupita hata hiyo UK, Ndugu zangu kiingereza hakina impact yoyote kwenye maendeleo ya nchi na ukitaka kufahamu hilo mchukue msomi yoyote unayemjua wewe ambaye amekulia Afrika na kusoma Afrika uone kama anaweza kuongea au kujielezea kama Tony Blair anavyoweza kujielezea.Swala la lugha halina msingi wowote na ndio maana hata viongozi wengine wengi tu duniani hawajui hata neno lolote la kiingereza na bado wanashiriki kwenye mikutano ya kimataifa kwa kuongea lugha zao.
Ujamaa: Naona watu hawajui maana ya Ujamaa na wanashindwa hata kujua maana ya Ubepari.Ubepari hauna maana njia kuu za uchumi zimilikiwe na watu binafsi hyo sio kweli kwani ukifatilia kwa karibu zaidi utakuta nchi zote ambazo wanajiita za Kibepari Elimu na Afya pamoja na Usafiri bado zinamilikiwa na serikali mfano Mzuri ni uingereza ambao wao ni wa kwanza kuchampion ubepari lakini kimsingi sio ubepari kamili kwani Elimu,afya ni bure na hata kama unakazi bado serikali wanakulipa fedha, Je ndugu zangu huo ni UBEPARI?
Watanzania inabidii tufikirie kwa makini sana ni nini yule Mzee alivyokuwa anafanya na sio kulaumu pasipo sababu za msingi, wengi wanafikiria Ulaya watu wengi ni matajiri na hakuna masikini, sio kweli hata kidogo kuna watu ulaya hata pakuishi hawapaju"Homeless"
Elimu: NI kweli watu walilazimishwa kubadili dini ili waweze kujiunga na shule za missionari mfano mzuri ni Jaji wetu John Ramadhani na kuna kiongozi wa kani la kianglikani anaitwa Pia John Ramadhani na wengi weni tu.Sasa kama alikuwa hajali watu wake wapate elimu na kuacha mfumo ho je watanzania kweli wangesoma.Nyerer alifanikiwa Mengui sana na hat ahizo University ambazo tanzania tunaza sasa sio kama hawa viongozi wa leo wamezijenga bali ni vilevile vyuo alivyjenga kipindi cha utawala wake na viongozi wa leo kuzibadiisha kuwa university wakiwa walimu ni walewale na majengo ni yale yale mfano Mzumbe,Nyegezi,IFM,vyuo vya Uhasibu Arusha,DSA Mbeya,DSA Mtwara na DSA Dar hebu niambieni mpaka yeye kutoka madarakani kuna vyuo vingapi vipya vimejengwa?
Tanzania ilikuwa inatambulika hata kwenye Michezo leo hii ndio tunasema tumeendelea hakuna mwanamichezo yoyote ambaye anatam,bulika na hata kama yupo ni juhudi zake binafsi na sio program yoyote ya serikali.
Hospitali zilikuwa ni bure na Elimu sasa leo hii kila kitu kulipia ni jinsi gani watoto wa mlalahoi na mshahara kiduchu wataweza kusomesha watoto wao.Kumbukeni wingi wa Vyuo sio ndio watu ndio kuelimika.
Kiswahili: Niambieni ni nchi ngapi za Afrika viongozi wake wanaweza kuongea kiigereza kwa ufasaha na hivi juzi tu kuna mbunge mmoja wa nertheland alifanya reseach na kupitia nchi kama south Afrika na kenya ambazo ndio zinaonekana watu wanaongea kingereza kizuri bado akakuta watu wengi hawafahamu maneno mengi tu ya kiingereza kwa sababu Lugha ya kiingereza ni "second Language" kwao na alipopita Tanzania alishtuka sana kuona watu wote bungeni wanatumia lugha moja na kila mtu anaweza kujielezea kwa ufasaha na hata asiyesoma anaweza kuelewa. Hivi Nyinyi watu mnataka kuniambia Zambia ambayo Kiingereza ndio lugha ya Taifa watu wote wanaongea kiingereza mpaka kijijini.
Huu ndio ujinga mkubwa wa mwafrika kufikiri kiingereza au kujua kiingereza ndio kuelimika.Wachina,wajapani,wacanada na nchi zote za European Union isipokuwa UK wote wanazungumza lugha zao wenyewe na nchi zote hizo zimeendelea kupita hata hiyo UK, Ndugu zangu kiingereza hakina impact yoyote kwenye maendeleo ya nchi na ukitaka kufahamu hilo mchukue msomi yoyote unayemjua wewe ambaye amekulia Afrika na kusoma Afrika uone kama anaweza kuongea au kujielezea kama Tony Blair anavyoweza kujielezea.Swala la lugha halina msingi wowote na ndio maana hata viongozi wengine wengi tu duniani hawajui hata neno lolote la kiingereza na bado wanashiriki kwenye mikutano ya kimataifa kwa kuongea lugha zao.
Ujamaa: Naona watu hawajui maana ya Ujamaa na wanashindwa hata kujua maana ya Ubepari.Ubepari hauna maana njia kuu za uchumi zimilikiwe na watu binafsi hyo sio kweli kwani ukifatilia kwa karibu zaidi utakuta nchi zote ambazo wanajiita za Kibepari Elimu na Afya pamoja na Usafiri bado zinamilikiwa na serikali mfano Mzuri ni uingereza ambao wao ni wa kwanza kuchampion ubepari lakini kimsingi sio ubepari kamili kwani Elimu,afya ni bure na hata kama unakazi bado serikali wanakulipa fedha, Je ndugu zangu huo ni UBEPARI?
Watanzania inabidii tufikirie kwa makini sana ni nini yule Mzee alivyokuwa anafanya na sio kulaumu pasipo sababu za msingi, wengi wanafikiria Ulaya watu wengi ni matajiri na hakuna masikini, sio kweli hata kidogo kuna watu ulaya hata pakuishi hawapaju"Homeless"
Elimu: NI kweli watu walilazimishwa kubadili dini ili waweze kujiunga na shule za missionari mfano mzuri ni Jaji wetu John Ramadhani na kuna kiongozi wa kani la kianglikani anaitwa Pia John Ramadhani na wengi weni tu.Sasa kama alikuwa hajali watu wake wapate elimu na kuacha mfumo ho je watanzania kweli wangesoma.Nyerer alifanikiwa Mengui sana na hat ahizo University ambazo tanzania tunaza sasa sio kama hawa viongozi wa leo wamezijenga bali ni vilevile vyuo alivyjenga kipindi cha utawala wake na viongozi wa leo kuzibadiisha kuwa university wakiwa walimu ni walewale na majengo ni yale yale mfano Mzumbe,Nyegezi,IFM,vyuo vya Uhasibu Arusha,DSA Mbeya,DSA Mtwara na DSA Dar hebu niambieni mpaka yeye kutoka madarakani kuna vyuo vingapi vipya vimejengwa?
Tanzania ilikuwa inatambulika hata kwenye Michezo leo hii ndio tunasema tumeendelea hakuna mwanamichezo yoyote ambaye anatam,bulika na hata kama yupo ni juhudi zake binafsi na sio program yoyote ya serikali.
Hospitali zilikuwa ni bure na Elimu sasa leo hii kila kitu kulipia ni jinsi gani watoto wa mlalahoi na mshahara kiduchu wataweza kusomesha watoto wao.Kumbukeni wingi wa Vyuo sio ndio watu ndio kuelimika.