BICHWA KOMWE -
JF-Expert Member
- Jul 21, 2022
- 6,373
- 16,073
Ukienda nchi za Ulaya na Marekani, nyumba zimepangwa eneo la wazi na hakuna uzio wa ukuta wala machuma.
Nyumba zenyewe za mbao, wanaishi kirahisi sana.
Ukija Tanganyika, nyumba zimejengwa kwa uzio wa zege na machuma, ati ndio maisha ya kisasa!
Kila mwenye hela lazima ajenge liukuta refu na mazege juu. Na siku hizi wamejikita kujenga MISAUZI basi unakuta jumba refuu lina manondo kama yote.
Mwanzoni nilijua ni swala la kiusalama kumbe la hasha. Ukienda Ulaya na Marekani kuna matishio makubwa zaidi tena ya silaha za moto.
Tanganyika wala hakuna tishio lolote zaidi ya vipanya vichache ambavyo vinashughulikiwa kikamilifu.
Sasa yale makuta marefu na mageti ya chuma huko Tanganyika ni USHAMBA au hofu ya kisichojulikana?
Nyumba zenyewe za mbao, wanaishi kirahisi sana.
Ukija Tanganyika, nyumba zimejengwa kwa uzio wa zege na machuma, ati ndio maisha ya kisasa!
Kila mwenye hela lazima ajenge liukuta refu na mazege juu. Na siku hizi wamejikita kujenga MISAUZI basi unakuta jumba refuu lina manondo kama yote.
Mwanzoni nilijua ni swala la kiusalama kumbe la hasha. Ukienda Ulaya na Marekani kuna matishio makubwa zaidi tena ya silaha za moto.
Tanganyika wala hakuna tishio lolote zaidi ya vipanya vichache ambavyo vinashughulikiwa kikamilifu.
Sasa yale makuta marefu na mageti ya chuma huko Tanganyika ni USHAMBA au hofu ya kisichojulikana?