Kwanini Watanzania wengi hawamtaki Waziri wa Nishati, January Makamba?

Huyu ni mtoto wa mjini!! mtaalam wa figisu figisu na njia za panya! Ujanja ujanja mwingi lakini delivery kidogo!! Ni wa aina ya "kama ni mbwai na iwe mbwai"! Ukimweka pembeni anakuwekea visasi!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…