Kwanini Watanzania wengi hufukuza ama kupiga wanyama bila sababu?

Aisee hatari sana na nina uhakika hata hapa Tanzania mapolisi wengi ni vichaa ila ndiyo hivyo tena hawajijuwi

Wengi ni laana na uporaji wa mali za masikini na wengine msongo wa mawazo unachangia
Hawana maisha mazuri na kwa kuwa wanachukiwa inakuwa vigumu kujichanganya na watu wa kawaida
 
Mimba tena, mi nafukuzia mbali
 
Mi huwa namaliza nyama zote afu namtupia mfupa tupu
 
Hatuna hela za kujikimu,stress tulizonazo tunahamishia kwa wanyama.
 
Waliwezana
 
Mi mbwa na paka sitaki waona karibu ni kuwawinda tu. Kuna mbwa niliwahi mpiga tofali hatanisahau

Ukienda India utashangaa sana Yaani kuna mbwa wengi unaweza sema wako idadi moja na hawapigwi
Wanaishi na wanyama wote in harmony
Ndege wanakuja mpaka karibu yako ukiwa garden

Nimependa wanavyoishi nao
 

Ila sisi tuliokulia kwenye ufugaji, ngombe, kondoo, mbwa, mbuzi ni sehemu ya familia. Tena unawaita kwa majina yao.
 
Kunguru mpumbavu lazma nimtie kitofa๐Ÿ˜… ananyea gari langu makusudi kabisa
Kuna kipindi alinyeaga bakuli la supu ,,nimetoka kitaa kuchukua supu napita chini ya waya za umeme akaachia kitu.........hawa ndege wana tabia za kihunihuni tu kama wakazi wengine wa hili jiji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ