Kwanini Watanzania wengi wanaenda Uganda (Makerere University) Kusoma?

Kwanini Watanzania wengi wanaenda Uganda (Makerere University) Kusoma?

Kiukweli elimu yetu vyuoni tunazingua sana ase. Kuanzia Serikali, Lecturers hawapo serious na sisi wanafunzi hatupo serious pia.
 
Wekeni tofauti za Ada kwa Degree na Masters Tz na Uganda....tukiuza mazao tupeleke vijana huko
 
Nina mtazamo tofauti na wengi humu. Nimesoma UDSM pia University of Oslo Norway (moja ya vyuo bora ulimwenguni) na nimegundua yafuatayo:
1. hakuna tofauti kubwa ya elimu kati yetu na wao
2. elimu yao ni nyepesi mno. assignment ziko rahisi rahisi si kama zetu
3. mitihani yao nyanya sana
4. nilipresent proposal yangu lakini ukosoaji haukuwa mkubwa. lakini proposal hiyohiyo nilipresent Bongo na wahadhiri wakaikosoa kisawasawa (na ukosoaji wao niliona una Mantiki)
kiukweli wahadhiri wa UDSM wanakaza kwelikweli(sijui kwa vyuo vingine)
HITIMISHO
madai ya kuwa elimu ya Tanzania (elimu ya Juu) ni mbovu hayana ukweli wowote. changamoto zipo kama vile teknolojia, internet na mengineyo. lakini tukumbuke tuko dunia ya tatu
 
Nina mtazamo tofauti na wengi humu. Nimesoma UDSM pia University of Oslo Norway (moja ya vyuo bora ulimwenguni) na nimegundua yafuatayo:
1. hakuna tofauti kubwa ya elimu kati yetu na wao
2. elimu yao ni nyepesi mno. assignment ziko rahisi rahisi si kama zetu
3. mitihani yao nyanya sana
4. nilipresent proposal yangu lakini ukosoaji haukuwa mkubwa. lakini proposal hiyohiyo nilipresent Bongo na wahadhiri wakaikosoa kisawasawa (na ukosoaji wao niliona una Mantiki)
kiukweli wahadhiri wa UDSM wanakaza kwelikweli(sijui kwa vyuo vingine)
HITIMISHO
madai ya kuwa elimu ya Tanzania (elimu ya Juu) ni mbovu hayana ukweli wowote. changamoto zipo kama vile teknolojia, internet na mengineyo. lakini tukumbuke tuko dunia ya tatu
Shida kukomoana kaka, na kujiona miungu watu!
 
Back
Top Bottom