Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bahati mbaya unakuta baharia akiona paja anaenda kupiga nyeto baadala ya kumtongozaWameona hamuwatongoz wakivaa nguo mpaka muone mipaja ndo mnasisimka
Ndo shida tenaBahati mbaya unakuta baharia akiona paja anaenda kupiga nyeto baadala ya kumtongoza
Kwahiyo suluhisho la picha za utupu ni kuwa na usafiri kwa watu wa jinsia tofauti?Wasalaam
Imekuwa kama fasheni sasa watoto wa kike hasa vyuoni kupiga picha za utupu either wakiwa na wapenzi wao au wao kwa wao.
Yan unatolea mfano nchi yenye matukio mengi ya ubakaji na udhalilishaji wa wanawake!?Wasalaam
Imekuwa kama fasheni sasa watoto wa kike hasa vyuoni kupiga picha za utupu either wakiwa na wapenzi wao au wao kwa wao.
Na hii imeleta usumbufu mkubwa kwa wazazi na familia mara tu zinaposambaa hizi picha. Wazazi tatizo ni malezi au ndo utamaduni wetu unayumba.
Niliwahi kwenda India ilinishangaza ambapo niliona ni ngumu kufanya contact na mtoto wa kike wa kihindi mfano Metro zao zina mabehewa ya Me na Ke yaani huruhusiwi kupanda behewa la treni la wanawake ni kosa.
Je hapa kwetu kuna huja ya kuwa na daladala za Ke na Me? Mabus nayo kadhalika ili kulinda tabia za mtoto wa kike.
Ni kwasababu watoto wa kiume wa siku hizi wanatuomba picha za utupu.Hata kwenye paper si maswali yote ulikuwa ukijibu.
Section C hiyo... Nimechagua naloliweza
Kwaiyo na ww ukiombwa unatuma?Ni kwasababu wanaume wa siku hizi wanatuomba picha za utupu.
Mimi nimejibu swali Kama lilivyoulizwa. Nadhani anataka kulinganisha watoto wa kike wa zamani na wa siku hizi. Namkumbusha kuwa wa zamani hawakuwa na camera/simu mkononi.Kwaiyo na ww ukiombwa unatuma?