Kwanini watoto wa Mzee Mchonga hawana nyadhifa kubwa Nchini?

Kwanini watoto wa Mzee Mchonga hawana nyadhifa kubwa Nchini?

Wanashida gani ww unavyohisi kwenye hivyo vitu hufatwi maamuzi yako hata kikwete anawatoto wengi siajabu mwenye kupenda siasa ni mmoja.
 
Na Makongoro ni mwenyekiti wa chama wa mkoa na alishawahi kutaka kugombea urais.Ukisikia kingereza akiongea kimenyooka bila mawaa
Ukijua kuongea kingereza kilichonyooka ndiyo nn eti tujize mm mwanangu anaongea kingereza kilichonyooka anafaa kuwa raisi wako
 
Kwani Mzee Mchonga Ndio Nani Maana Kusoma Kwngu Kote Vitabu Sijawah Kuona Jina Kama Hili MZEE MCHONGA Nijuzeni Wajuzi Wa Mambo? Nawasilisha Swali Langu La Nyongeza
 
Kwani Mzee Mchonga Ndio Nani Maana Kusoma Kwngu Kote Vitabu Sijawah Kuona Jina Kama Hili MZEE MCHONGA Nijuzeni Wajuzi Wa Mambo? Nawasilisha Swali Langu La Nyongeza
Huyo Ni Mzee maarufu huko kwa wachongaji
 
CIA wanahakikisha ujamaa ule haurudi ila wamechelewa kuwa kuna wengine kina jpm tayari wanauchungu na nchi hii!
 
Katika hali ya kawaida hakuna ambaye angependa awe rais au waziri mkuu huku akisimamia waziri wa kawaida mwenye jina la Nyerere. Automatically angefunikwa na jina hilo tu bila kujali uwezo wa kazi wa mwenye jina.
Hapa Tz bila kujali umri na itikadi zetu wengi tunampenda tu Nyerere na uzao wake. It is not healthy kiongozi yeyote mkubwa kuwa chini ya Shadow yake.
Just immagine Makongoro in the cabinet, dou you think he will be the ndio mzee kind of a person?. Ni salama na vizuri wao kuwa walivyo/ walipo isipokuwa wakiamua kuwa marais.

At times huwa naona uungwana na ushupavu wa Ali Hassan Mwinyi. Kuongoza watu huku kuna mtu ambaye akitoa kauli yoyote iwe nzuri au mbaya watu wataungana nae na kumwamin kuliko wewe sio kitu kirahisi.

Kila nyakati na simba/ nabii wake- he was Heavensent, tusubiri mwingine.
 
Wakuu naombeni mnijuze, licha ya kusoma sana na baba yao kuwa mpigania uhuru wa Taifa hili, kwanini watoto wa mzee mchonga wapo wapo tu, hawana nyadhifa kubwa, hawana mbele wala nyuma? Hali ni tofauti kwa watoto wa Mzee ruksa, Mzee Karume, JK na wengineo kwanini?
Nyerere aliwapa wanae nafasi zile zile alizowapa watoto wakitanzania wengine. Hawakua na upendeleo maalum kwa wanawe ukiacha watu wengine kujaribu kuwapa kipaumbele. Angeweza kabisa kuwajengea na kuwapa hizo nafasi lakini yeye hakuwa muumini wa hicho kitu. Hata vita ya Uganda kuna watoto wake walioshiriki. Kwa ufupi hakuwapa upendeleo maalum.
 
Mtoa mada kwa taarifa yako Anna,Pauleta ni wasomi wazuri tu na alishakuwa mhadhiri.Kaka yao mmoja Andrew alikuwa rubani wa ndege za jeshi.Kumbuka Makongoro ameshawahi kuwa mbunge wa Arusha mjini kupitia NCCR
-mageuzi.Hali halisi ni kwamba baba yao aliwalea katika maadili ya ujamaa na kutojikweza.Ushauri wangu pambana na hali yako usichokonoe ya watu
Andrew nyerere wajf ?
 
Back
Top Bottom