Kwanini watoto wa Mzee Mchonga hawana nyadhifa kubwa Nchini?

Kwanini watoto wa Mzee Mchonga hawana nyadhifa kubwa Nchini?

Kwa kawaida, kizazi cha marehemu baba wa Taifa, haswa watoto wake wa kuzaa hawastahili kuhangaika. Nchi inatakiwa iendelee kuwahudumia kwa kila hali ili waishi vizuri. Mama yao, mke wa marehemu baba wa Taifa bado yupo hai na anaakili timamu. A simple phone call kwa Raisi inatosha kuwapatia kazi nzuri na yenye marupurupu mazuri.

Halafu, kuna ile Nyerere Foundation. Hii Foundation ina pesa nyingi sana zitokanazo na miradi mingi na michango kutoka ndani na nje ya nchi. Hivyo basi, family hii ipo vizuri sana. Labda kama wana matatizo yao binafsi ya kiafya ambayo mtu wa nje hawezi kufahamu.
Sidhani kama Nyerere Foundation inawalea au kuwalipa wana familia.
 
Rose alikuwa mwalimu IFM, ana master's ya mambo ya fedha. Huyo ndie ninamjua kuwa kasoma, iwe sana au la, ni mtazamo wa mtu.
Watoto wa Nyerere wengine wamejikita kwenye utawa na parabolic thinking, kuna mmoja binti alikuwa ama sista ama anataka kuwa sista wa Roman Catholic. I am not sure if that was Rose.Kuna siku nimekutana naye kwenye Daladala Palm beach. Kakosa kiti kasimama, watu hata hawamjui, na yeye wala hajali yuko na hamsini zake. Yani hii sio zile za kuchonga za kina Lowassa apigwe picha na waandishi wa habari, hayo ndiyo maisha yake mwenyewe kakubali.

Sasa, dada kama huyu, hata interest ya uongozi na vyeo inaonekana hana.

Rafiki yangu Andrew yeye ndiye tulikuwa tunakutana Buddhist Temple kutafsiri Dhammapada (Buddhist Holy Book) iende Kiswahili, he was an ordained Buddhist monk at some point.

Charles Makongoro ndiyo huyo kawa mpaka Mbunge, kagombea urais kashindwa.

Madaraka alikuwa anafanya kazi zake tulikuwa tunamtembelea kwenye ki flat chake pale Upanga between Zanaki Secondary and Olympio Primary, yeye aliingia bungeni by proxy kupitia mkewe Leticia, alikuwa hataki makuu.

Kwani lazima kila mtoto wa rais awe Waziri au Rais?

Huyo kaka Mako ku serve ubunge haijatosha?
 
Mzee mchonga Alifanya dhambi gani tena " sijuzi juzi Dini yenu umetoka kumtangaza kuwa ni mwenye Heri !!
Kusomeshwa matajiri namba kwa kuwashusha waishi kishetani.
Kutaifisha Mali za watu walizochuma kihalali.
 
Wakuu naombeni mnijuze, licha ya kusoma sana na baba yao kuwa mpigania uhuru wa Taifa hili, kwanini watoto wa mzee mchonga wapo wapo tu, hawana nyadhifa kubwa, hawana mbele wala nyuma? Hali ni tofauti kwa watoto wa Mzee ruksa, Mzee Karume, JK na wengineo kwanini?
Mzee mchonga Ni Nani?
 
Watoto wa Nyerere wengine wamejikita kwenye utawa na parabolic thinking, kuna mmoja binti alikuwa ama sista ama anataka kuwa sista wa Roman Catholic. I am not sure if that was Rose.Kuna siku nimekutana naye kwenye Daladala Palm beach. Kakosa kiti kasimama, watu hata hawamjui, na yeye wala hajali yuko na hamsini zake. Yani hii sio zile za kuchonga za kina Lowassa apigwe picha na waandishi wa habari, hayo ndiyo maisha yake mwenyewe kakubali.

Sasa, dada kama huyu, hata interest ya uongozi na vyeo inaonekana hana.

Rafiki yangu Andrew yeye ndiye tulikuwa tunakutana Buddhist Temple kutafsiri Dhammapada (Buddhist Holy Book) iende Kiswahili, he was an ordained Buddhist monk at some point.

Charles Makongoro ndiyo huyo kawa mpaka Mbunge, kagombea urais kashindwa.

Madaraka alikuwa anafanya kazi zake tulikuwa tunamtembelea kwenye ki flat chake pale Upanga between Zanaki Secondary and Olympio Primary, yeye aliingia bungeni by proxy kupitia mkewe Leticia, alikuwa hataki makuu.

Kwani lazima kila mtoto wa rais awe Waziri au Rais?

Huyo kaka Mako ku serve ubunge haijatosha?
Huyu Rose Mary pia alipewa ubunge wa viti maalum. Nafikiri ni kama ulichoeleza, hakuwa na mpango nao. Miaka mitano tu, kajiondokea zake. Alikuwa mwalimu mzuri wa uhasibu.
 
Wanabodi, Salaam!
Kwa wabobezi wa saikolojia na sosholojia naombeni mniambie kwa nini tangu tupate Uhuru kisha kuungana Zanzibar na Tanganyika familia za Mwinyi na Karume tushapata marais mara mbili (Ally Hassan Mwinyi, Hussein Ally Hassan Mwinyi na Abeid Karume na mwanaye Aman Abeid Karume

Kwa familia ya Mwl Nyerere tangu ang'atuke nadhani mwaka 1985 hadi leo hakuna mtoto hata mmoja aliyeweza hata kufurukuta na kuingia kwenye tatu bora ya wagombea urais nchini - hata Madaraka Nyerere juzi tu kura za maoni kwa nafasi ya ubunge zilimtupa mbali kisha kamati kuu ya CCM haikurudisha jina lake.

Sasa, hii hali ya watoto wa mwasisi wa taifa hili kutopenya kwenye vinyanganyiro vya nafasi za uongozi zinatokana na nini?
 
Wanabodi, Salaam!
Kwa wabobezi wa saikolojia na sosholojia naombeni mniambie kwa nini tangu tupate Uhuru kisha kuungana Zanzibar na Tanganyika familia za Mwinyi na Karume tushapata marais mara mbili (Ally Hassan Mwinyi, Hussein Ally Hassan Mwinyi na Abeid Karume na mwanaye Aman Abeid Karume

Kwa familia ya Mwl Nyerere tangu ang'atuke nadhani mwaka 1985 hadi leo hakuna mtoto hata mmoja aliyeweza hata kufurukuta na kuingia kwenye tatu bora ya wagombea urais nchini - hata Madaraka Nyerere juzi tu kura za maoni kwa nafasi ya ubunge zilimtupa mbali kisha kamati kuu ya CCM haikurudisha jina lake.

Sasa, hii hali ya watoto wa mwasisi wa taifa hili kutopenya kwenye vinyanganyiro vya nafasi za uongozi zinatokana na nini?
Kabla ya Kulihoji hili Kwanza ulizia Maisha yao Binafsi hawa / hao Watoto wa Hayati Mwalimu Ndugu. Acha Kuwatafutia Shida Kubwa Watanzania.
 
Tunamuenzi kwa vitendo kwanza, Dodoma, St. gouge nk.
 
Kabla ya Kulihoji hili Kwanza ulizia Maisha yao Binafsi hawa / hao Watoto wa Hayati Mwalimu Ndugu. Acha Kuwatafutia Shida Kubwa Watanzania.
Mwalimu "aliwatupa" mwenyewe watoto wake. Kuna siku Madaraka alikuwa anahojiwa kwenye TV -TBC, alidai kuwa alienda kusoma nje ya nchi kwa msaada wa jamaa mmoja, (Mzee Dossa) baba yake akiwa ni Rais

Akaulizwa alichokosa baada ya baba yake kufa, alidai, sana sana ushauri, na ile kukosa baba. Sio amekwama kifedha angeweza kumtegemea kuwa angepata kwake

Pia, mwangalie Makongoro. Alikuwa mwanajeshi. Wenzie alioanza naye wakawa wanapanda vyeo, yeye aliishia vya chini. Wengi wa watoto wa marais, wana nafasi kubwa kupata vyeo vikubwa jeshini. Kabila mtoto, miezi sita tu huko Arusha, akaruka na U - mejajenerali!

Mwangalie mtoto wa Mseven, Kagame nk.
 
Back
Top Bottom