Kwanini watu duniani wanakimbilia Ulaya na Marekani kuliko China, Urusi na washirika wake?

Kwanini watu duniani wanakimbilia Ulaya na Marekani kuliko China, Urusi na washirika wake?

Kyenyabasa

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2023
Posts
247
Reaction score
715
Kumekuwa na wimbi la watu kukimbia mataifa yao duniani kote hususani Afrika na wengine wakiwa tayari kufia baharini ili wafike Ulaya na Marekani.

Najiuliza kwanini watu hao hawakimbilii China, Russia na washirika wao? Wataalamu tujuzeni inakuwaje kila mtu anaona Ulaya na Marekani ni peponi kuliko mataifa mengine ya mashariki?
 
Unawajua wachina kweli au unawaskia tu?
Sijawahi kusikia mtu kafia baharini akitoroka kwenda kutafuta maisha China ama Russia,,,achana na kusafiri kufuata bidhaa za kichina,,,nazungumzia kwenda kutafuta maisha! China tamaduni zake ni dhaifu mno hakuna anaetamani kuiga hazimshawishi yeyote duniani
 
Inafuatana na unaenda kufanya Nini

kwasisi wafanya biashara......chimbo letu ni china

Kwa wale tulipiga military science .... school yetu ni Russia
Over

Swali Kwa nyie mnaenda USA ......are upinde?????[emoji23]
Hii ndio akili ya kijinga watanzania waliyobaki nayo, kwa kadri unavyo concrete kujadili mambo ya hovyo na kijinga, ndivyo yanavyo ku mold kuwa hivyo. Kwa hiyo wote wanaokuja USA ni upinde?
 
Asikudanganye kenge yoyote !!!
Maisha yapo western Europe na America !!! Atake bisha abishe mpaka ajinyee ukweli ndio huo!!Matajiri wa urusi " oligarch" wanakaa ulaya na marekani.
Mfano ni aliyekua mmilikinwa Chelsea!!.
Niliwahi kwenda UK nikaishi Kule wiki 13,sikutamani kurudi Africa!!
 
Asikudanganye kenge yoyote !!!
Maisha yapo western Europe na America !!! Atake bisha abishe mpaka ajinyee ukweli ndio huo!!Matajiri wa urusi " oligarch" wanakaa ulaya na marekani.
Mfano ni aliyekua mmilikinwa Chelsea!!.
Niliwahi kwenda UK nikaishi Kule wiki 13,sikutamani kurudi Africa!!
Kwa wa shamba kama wewe ndio hili jibu sahihi kwa uwezo ulipoishia, ila hao Diaspora wengi wakifika hizo nchi wanatoka na kwenda nchi ambazo Human index Development ni kubwa kama Nordic countries japo hali ya hewa si nzuri.
 
Kumekuwa na wimbi la watu kukimbia mataifa yao duniani kote hususani Afrika na wengine wakiwa tayari kufia baharini ili wafike Ulaya na Marekani.

Najiuliza kwanini watu hao hawakimbilii China, Russia na washirika wao? Wataalamu tujuzeni inakuwaje kila mtu anaona Ulaya na Marekani ni peponi kuliko mataifa mengine ya mashariki?
Mkuu jaribu kwenda Russia n China uje utupe ushuhuda hapa

Watu wa hozo nchi mbili ni wanyama wenye umbo la binaadamu
 
... Nchi za Ghuba ndio ziongoza kuwa na wageni wengi kuliko mwenyeji Duniani kote, unakuta mwenyeji wachache kuliko wageni. Ni kimbilio la watu wengi tu, Sema hawachukui watu kiholela
Leo umejibu kwa utulivu sana utadhani uliwahi kwenda Mecca!.

Turudi kwenye mada; suala siyo watu unaoendana nao kitabia au culture bali uhalisia wa kupata mkate mmoja na mwingine kwa urahisi ni western zone.

Huko sijui Dubai, Oman ni uongo mkuu utapiga maisha mpaka unakiona kiyama hutoboi, for instant housemate kutoka Africa aliyepo western huwezi mlinganisha na aliye Arabic zone.
 
Leo umejibu kwa utulivu sana utadhani uliwahi kwenda Mecca!.

Turudi kwenye mada; suala siyo watu unaoendana nao kitabia au culture bali uhalisia wa kupata mkate mmoja na mwingine kwa urahisi ni western zone.

Huko sijui Dubai, Oman ni uongo mkuu utapiga maisha mpaka unakiona kiyama hutoboi, for instant housemate kutoka Africa aliyepo western huwezi mlinganisha na aliye Arabic zone.
Ulaya na marekani ndy pepo tunayoambiwaga bila shaka
 
Leo umejibu kwa utulivu sana utadhani uliwahi kwenda Mecca!.

Turudi kwenye mada; suala siyo watu unaoendana nao kitabia au culture bali uhalisia wa kupata mkate mmoja na mwingine kwa urahisi ni western zone.

Huko sijui Dubai, Oman ni uongo mkuu utapiga maisha mpaka unakiona kiyama hutoboi, for instant housemate kutoka Africa aliyepo western huwezi mlinganisha na aliye Arabic zone.
Si kweli, kidhi vigezo ni rahisi kutoboa Dubai kuliko West,

Si west wala si Dubai wanachukua Housemaid ambaye hata hajui Vitamin ni nini, kuwa professional wa Nutrition ya mtoto hata Dubai utalipwa mamilioni ya Hela,

Mfano Mfanyakazi wa Ufilipino minimum iliowekwa na Serikali yao Dubai analipwa Aed 2500 ambayo ni 1.5m ya kuanzia.

Majority ya Mabilionea wa Kihindi nje ya India Base yao ni Middle East, angalia zaidi Forbes


Kama Middle East sio rahisi Kutoboa nitajie Sehemu nyengine yenye Mabilionea wengi zaidi wahindi.
Si tu Wahindi Warusi, waingereza wataliano na wengine wengi wanakwenda Dubai kwa ajili ya Opportunities, Dubai hawana Mafuta ila Real estate tu inawaingizia zaidi ya Trilioni 100 kwa mwaka,

Hata huku Kwetu Africa viongozi ama matajiri wangapi wamewekeza Ulaya? Kama wapo wachache sana ila MO, Rostam, marehemu Mengi alifariki akiwa makazi yake Dubai, Marehemu Mugabe na wengine kibao waliwekeza vya kutosha huko, kwanini wewe mwenzangu na mimi unafikiri otherwise kuliko watu wenye Experience kukushinda wewe?
 
Si kweli, kidhi vigezo ni rahisi kutoboa Dubai kuliko West,

Si west wala si Dubai wanachukua Housemaid ambaye hata hajui Vitamin ni nini, kuwa professional wa Nutrition ya mtoto hata Dubai utalipwa mamilioni ya Hela,

Mfano Mfanyakazi wa Ufilipino minimum iliowekwa na Serikali yao Dubai analipwa Aed 2500 ambayo ni 1.5m ya kuanzia.

Majority ya Mabilionea wa Kihindi nje ya India Base yao ni Middle East, angalia zaidi Forbes


Kama Middle East sio rahisi Kutoboa nitajie Sehemu nyengine yenye Mabilionea wengi zaidi wahindi.
Si tu Wahindi Warusi, waingereza wataliano na wengine wengi wanakwenda Dubai kwa ajili ya Opportunities, Dubai hawana Mafuta ila Real estate tu inawaingizia zaidi ya Trilioni 100 kwa mwaka,

Hata huku Kwetu Africa viongozi ama matajiri wangapi wamewekeza Ulaya? Kama wapo wachache sana ila MO, Rostam, marehemu Mengi alifariki akiwa makazi yake Dubai, Marehemu Mugabe na wengine kibao waliwekeza vya kutosha huko, kwanini wewe mwenzangu na mimi unafikiri otherwise kuliko watu wenye Experience kukushinda wewe?

Hao wote uliowataja wapo well-off tayari ndo maana wapo Dubai. Huko unaenda ukisha-make hela sio kutafuta hela. Kila siku nakutana na watu walioishi na kufanya kazi Dubai and they can't be grateful enough kuondoka huko na kuja nchi ya maziwa na asali- USA. Matajiri wanaenda Dubai sababu ya its laidback policy on money laundering refer the Gold Mafia ya Aljazeera.

Huhitaji elimu kutengeneza 1.5M kiwanja, hiyo ni hela ya mboga tu utatengeneza in a wk.
 
Kwa wa shamba kama wewe ndio hili jibu sahihi kwa uwezo ulipoishia, ila hao Diaspora wengi wakifika hizo nchi wanatoka na kwenda nchi ambazo Human index Development ni kubwa kama Nordic countries japo hali ya hewa si nzuri.
Baba mwajuma kilaza mkuu wa jf,mm naongea kitu nilichokiona Kwa macho yangu sio Cha kusikiliza kwenye vijiwe vya kahawa kama wewe!! Nani kakwambia wanaenda Nordic country!??mm nimeishi huko nimeshuhudia!? Wewe wa kibanda umiza kunywa kahawa lala !!
 
Back
Top Bottom