Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 11,640
- 24,066
- Thread starter
-
- #41
Wachache sana kama xparentinaHerode wapo.
Nisawa na Rahabu yule MWANAMKE Malaya wa yeriko...ila yupo kwenye ukoo wa yesu...Derira
MI ni mdau mzuri tuu wa scriptures mkuu.Uki ignore personality yangu ya ki JF ukanikuta nimepewa kundi kulifundisha kuhusu biblical scripture u will be amazed..(seriously., am not kidding)Kwaio Kwann umeji ita Rabonn
Kuna mtu anaitwa kaburiπ€Una mwita MWAMNYETO...ππ€π€π€
SEMA kwel?Kuna mtu anaitwa kaburiπ€
Kina Dalila/ Delila mbona wapoDerira
Kweli kabisa nnamjuaSEMA kwel?
Mwenyez MUNGU akujalie...hitaji la moyo wako..MI ni mdau mzuri tuu wa scriptures mkuu.Uki ignore personality yangu ya ki JF ukanikuta nimepewa kundi kulifundisha kuhusu biblical scripture u will be amazed..(seriously., am not kidding)
Loth wapo...Lut au Lot.
Herode Hana tabia za ki herore herode....π€Kweli kabisa nnamjua
Unachekesha for sure πΊπΊπΊNa wewe umeenda mbinguni mwaka huu mpaka ukajua yupo huko au? Maana nasikia term hii watu wanasema wameenda sana heaven!!
Nguo Gani, mume wanguKweli kabisa nnamjua
Haahaa liquid ya PEPONI π€π€π€πππ€£π€£Acha uongo, nipo nae liquid tunakunywa bia
One in a MillionDelilah!
ππ€£π€Nguo Gani, mume wangu
Ila nahis nina roho ya ukaidi ndani yanguMwenyez MUNGU akujalie...hitaji la moyo wako..
Hata kwetu kuna mtu anaitwa faraoFarao wapo wengi tu huku lindi
Yesu