Yupo Padre Loth alikuwaga LoliondoLoth wapo...
Ninae mmoja....rafk wa kaka angu...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yupo Padre Loth alikuwaga LoliondoLoth wapo...
Ninae mmoja....rafk wa kaka angu...
UMEOLEWA? UNA MTOTO/WATOTO? KWA NINI USITUMIE HAYO MAJINA? NI KUAMUA TU. UKIOLEWA UKAZAA UNAWEZA CHAGUA JINA UTAKALO.Herode
Farao
Pilato
Nebucadreza
Etc...
Ongezea na wewe majina ambayo watu hawapendi kuwaita watoto wao........
Wasalaam
🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Yuda wako kibao.Natamani kujua Kwa nini mtu hamwiti mtoto wake YUDA ISKARIOTE
Hapo mengine ni title tu.Herode
Farao
Pilato
Nebucadreza
Etc...
Ongezea na wewe majina ambayo watu hawapendi kuwaita watoto wao........
Wasalaam
[emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241]
Ni Kweli,Hapo mengine ni title tu.
Farao ni kama Mangi au Mtemi
likewise Pilato
Hili lipo mkuu alafu Lina sound goodCleopatra.
Zakayo mrefu 😂😂😂🤣🤣😂Nimesoma na mtu anaitwa Herode. Alikuwa mbishi sana.
Halafu kwenye maisha yangu sijawahi kukutana na zakayo mrefu.
Mkuu mm ni MWANAUME siwezi kuolewa....UMEOLEWA? UNA MTOTO/WATOTO? KWA NINI USITUMIE HAYO MAJINA? NI KUAMUA TU. UKIOLEWA UKAZAA UNAWEZA CHAGUA JINA UTAKALO.
Hili sijawai lisikia...Kaini
Pronunciation NDIO Sabab MAFI MAFI....Kwanini watu hawawaiti watoto wao Murphy japo utakuta Eddie?
Hili pia watu hawatumii...Delila sio Derira
Sizani Kwa kwel 🤓Yupo pia Kaburiwazi mwingine Kufakunoga
Haaahaa,Nakumbukaga kuna mwaka niliendaga masasi vijijini uko kuna mwamba alikua anaitwa herode😁😁😁 anakunywa pombe kama maji sasa akishalewa anaanza kujisifia "mimi ndo mfae herooooode"
Serious mkuu?Mbona Ndugai anaitwa Belzebuli?
Hayo ni majina waliyopewa na baba zao,ni ya kwao.Herode
Farao
Pilato
Nebucadreza
Etc...
Ongezea na wewe majina ambayo watu hawapendi kuwaita watoto wao........
Wasalaam
[emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241]