Kwanini watu hawawapi watoto wao majina haya?

Kwanini watu hawawapi watoto wao majina haya?

mmesahau matatizo, chausiku, masumbuko, majaliwa, siwatu na yakufanana na hayo.....
 
Herode
Farao
Pilato
Nebucadreza
Etc...
Ongezea na wewe majina ambayo watu hawapendi kuwaita watoto wao........

Wasalaam
🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
UMEOLEWA? UNA MTOTO/WATOTO? KWA NINI USITUMIE HAYO MAJINA? NI KUAMUA TU. UKIOLEWA UKAZAA UNAWEZA CHAGUA JINA UTAKALO.
 
Herode
Farao
Pilato
Nebucadreza
Etc...
Ongezea na wewe majina ambayo watu hawapendi kuwaita watoto wao........

Wasalaam
[emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241]
Hayo ni majina waliyopewa na baba zao,ni ya kwao.

Mimi nawapatia watoto wangu majina ya kwangu sio ya watu wengine
 
Back
Top Bottom