Kwanini watu maarufu wengi wanapenda kuoa wanawake waliowazidi umri?

Kwanini watu maarufu wengi wanapenda kuoa wanawake waliowazidi umri?

Kwa mawazo yangu wanaangalia heshima nyumbani sio wakujirusha muda wote,hata wanaume tunapndwa kubembelezwa bahana sasa ukioa kama mobeto,nandi,siutakuwa unajiweka roho juu?😳😳😳
Sema wenzetu hawaangalii suala la mke kupata watoto jmn kibongobongo ndoa ni watoto ndo maana kuna age Ke Akifika hana mtoto anachanganyikiwa kabisa na makejeli kibao xo kuoa mwanamke alokuzidi usiwaze sana kuhusu watoto maana sisi Tuna expire date mayai yakivilia ndo basi tena afu uwe kapuku ndo patamu maana wenye hela hata kwa kupandikiza kama Janeth Jackson unapata
 
watu wazima wanajua wewe yaani unakua huru sasa hivi vikina mwajuma ndala ndefu vinamasharti kibao, Mimi hapa namkula mama mwenye nyumba burudani yaani nikipiga kimoja yeye kaenda kibo Mara 3 kipengere ninachopenda ni pale nacheza na g spot kwa kidole cha Kati mama wa watu kanizidi miaka 19 au 20 basi ana squirt mpaka namuonea huruma anavyoloanisha godoro🤤🤤
 
Hii mada imekua na positive vibe sababu wahusika wengi walioletwa ni 'Wazungu', mada hii hii ingeletwa kwa mifano ya wahusika wa bongo pangechimbika hapa, wangeitwa kila aina ya majina, lol


Back to topic, nadhani ni choices, ones prefer olders ones prefer youngers, ones prefer age mates, ones don't have a preference, popote kambi tu (huyu ni mimi,[emoji1])
 
Hello 👋

Ingependa kujuzwa kwanini Celebrities wengi hasa actors wa hollywood wanapenda kuoa wanawake waliowazidi umri. Tatizo ni nini hasa maana kwa pesa na umaarufu wao wanaweza kupata mwanamke yoyote mzuri n young watakae.

Btw. Mapenzi ni kupenda pale roho yako ilipopenda na inafurahi kua hapo. Haijalishi aliyependwa yupo vipi

Mifano:
Jason momoa kazidiwa umri wa 18yrs na mkewe Lisa Bonet. Mama yake muigizaji Zoë Kravitz
View attachment 2052754

Muizaji wa Avangers Aaron taylor johnson kazidiwa umri wa miaka 24 na mkewe Samantha taylor
Hapo ni alivyokua ana 18yrs mkewe 40s. Sasa hivi Aaron ana 31yrs
View attachment 2052756

Nick jonas anazidiwa umri wa miaka 10 na mkewe Priyanka chopraView attachment 2052761

Prince Harry kazidiwa 4 years na meghan markleView attachment 2052763
Shakira kamzidi Pique miaka 10View attachment 2052767

Kuna tofauti ya mika 9 kati yao
View attachment 2052769
anaekula raha hapo ni pique tu, kitu shakira haizeeki miaka mia, ni type ya kina beyoncee hao.
 
Hello [emoji112]

Ingependa kujuzwa kwanini Celebrities wengi hasa actors wa hollywood wanapenda kuoa wanawake waliowazidi umri. Tatizo ni nini hasa maana kwa pesa na umaarufu wao wanaweza kupata mwanamke yoyote mzuri n young watakae.

Btw. Mapenzi ni kupenda pale roho yako ilipopenda na inafurahi kua hapo. Haijalishi aliyependwa yupo vipi

Mifano:
Jason momoa kazidiwa umri wa 18yrs na mkewe Lisa Bonet. Mama yake muigizaji Zoë Kravitz
View attachment 2052754

Muizaji wa Avangers Aaron taylor johnson kazidiwa umri wa miaka 24 na mkewe Samantha taylor
Hapo ni alivyokua ana 18yrs mkewe 40s. Sasa hivi Aaron ana 31yrs
View attachment 2052756

Nick jonas anazidiwa umri wa miaka 10 na mkewe Priyanka chopraView attachment 2052761

Prince Harry kazidiwa 4 years na meghan markleView attachment 2052763
Shakira kamzidi Pique miaka 10View attachment 2052767

Kuna tofauti ya mika 9 kati yao
View attachment 2052769
Masharti ya illuminat
 
Ila priyanka huyo mtoto dah long time namuelewa.. Sema wadada wakubwa hawana mambo mengi nadhani kuna stage flani za ushamba wamezivuka sasa wanaume wanaotaka kutulia na lufocus na mambo ya maana wanachukua hao. Hivi vi digidigi aaah pasua kichwa sana.
 
Kwanza kwa pryanka Chopra tengua kauli.

AISEE duniani hapa Kuna wanawake waliumbwa[emoji4],
Uyu mwanamke Ni mzuri balaa,

Ukimwangalia utadhani Ndo kwanza ana 23
JamiiForums958023024.jpg
 
Back
Top Bottom