McCain
JF-Expert Member
- Dec 2, 2016
- 1,169
- 517
- Thread starter
- #21
Nafikiri kinachowasaidia wale jamaa wanatoka porini sana tena kwenye shida mtupu nfio maana hawajui bilicanas ya mbowe ilikoNaona mnabishana bila sababu hivi MTU nimekulia shida nitokako kuna shida sana ya uchumi nikiingia sehemu penye ahueni nitakuwa adui wa anasa zote,nitakuwa na nidhamu ya fedha ili nisirudi niliko toka.MTU unapata kwa siku elfu kumi.unataka utumie 8000 elfu mbili una tunza na wakati mwenzio akipata elfu kumi anatumia 1000.je mtakuwa sasa?