Kwanini watu wa Arusha, Njombe, Iringa na Kilimanjaro wanafanikiwa sana kibiashara?

Kwanini watu wa Arusha, Njombe, Iringa na Kilimanjaro wanafanikiwa sana kibiashara?

Wachagga Ni Wezi Na Wadhulumati Hata Wenyewe Wanajua. Wakinga Wanatusua Kwasababu Walikuwaga Wamewekeza Kwenye Miti, Walivyouza Ndo Wakaboom.
Utakuwa una wazimu wewe,.. una ushahidi? kwanini usiende mahakamani unabaki kuongea maneno machafu?
 
Habari wanajamvi,

Kwanini waotokea mikoa ya Arusha, Njombe, Iringa, Kilimanjaro wanakuwa fiti kifedha na kibiashara hata kama ni vijana wa umri mdogo?

Natumai nitapata majibu ya kuridhisha.
Ni keli jibu ni wanagenetic ya fursa kabla hawajafundishwa.wazungu ni born to see opportunity bt africa is wachache sna ambao ni wachaga na n.k .mtu anasubiri aende shule kwnza ndo afanye biashara ila chaga wapo teari pale wanapo zaliwa wanajua biashara
 
Pesa za wakinga waliowengi na hata baadhi ya wachaga si pesa,nyingi ni za kishetani na makafara.

Nilishangaa sana nikiwa chuoni dogo mmoja rafiki yangu wa kichaga(mrombo) baba yake ni tajiri mkubwa hapo kariakoo ananiambia baba yake amemwambia ukweli kwamba ajitahidi kusoma pindi mzee wake akiwa hai kwani siku atakapokufa mali zake ataondoka nazo na hazitowasaidia kitu.

Kaka yake alishawahi kumwibia mzee wake zaidi ya 50milion akaanzisha biashara zake lakini mwisho wa siku alifirisika akawa na madeni ambayo mwisho wa siku kwa huruma alimlipia mzee wake.Jibu hapa ni kwamba nje ya muhusika pesa ya mzee huwezi fanyia chochote cha maendeleo zaidi ya anasa.

Hata hivyo bado nakubali kwamba wapo makabila tajwa wamepiga hatua kubwa kwa juhudi na maarifa binafsi.

Kuna sir kubwa sana nyuma ya pazia ya matajiri wengi nchini.
 
Pesa za wakinga waliowengi na hata baadhi ya wachaga si pesa,nyingi ni za kishetani na makafara.

Nilishangaa sana nikiwa chuoni dogo mmoja rafiki yangu wa kichaga(mrombo) baba yake ni tajiri mkubwa hapo kariakoo ananiambia baba yake amemwambia ukweli kwamba ajitahidi kusoma pindi mzee wake akiwa hai kwani siku atakapokufa mali zake ataondoka nazo na hazitowasaidia kitu.

Kaka yake alishawahi kumwibia mzee wake zaidi ya 50milion akaanzisha biashara zake lakini mwisho wa siku alifirisika akawa na madeni ambayo mwisho wa siku kwa huruma alimlipia mzee wake.Jibu hapa ni kwamba nje ya muhusika pesa ya mzee huwezi fanyia chochote cha maendeleo zaidi ya anasa.

Hata hivyo bado nakubali kwamba wapo makabila tajwa wamepiga hatua kubwa kwa juhudi na maarifa binafsi.

Kuna sir kubwa sana nyuma ya pazia ya matajiri wengi nchini.
Kwanza Hao Wachagga Wengi Ni Machinga, Mtu Anaanzisha Kiduka, Bar Au Glocery Mtaani Naye Anajiona Bonge La Mfanyabiashara Hatulal
 
Wengi wao wana nidhamu ya pesa ndio maana wanafanikiwa (wanajituma na wabahili sana) naona pia watu wa kigoma wanashika kasi kubwa
 
Uchawi unahusika pia, kuna yule mchaga bw. Mtei wa Mbezi anaefanya biashara k/koo mwaka jana nyumbani kwake si kulikutwa binti 'kashikiliwa mateka ( msukule)' kwa miaka mitatu chini ya shimo la choo ambalo lilikuwa empty. Tena picha zilizagaa sana kwenye mitandao ya kijamii.

Kwahiyo chaggas acheni kujifanya hamtumii nduyeye ktk kufanikisha mambo yenu.
 
Back
Top Bottom