Kwanini watu wa Arusha, Njombe, Iringa na Kilimanjaro wanafanikiwa sana kibiashara?

Nafikiri kinachowasaidia wale jamaa wanatoka porini sana tena kwenye shida mtupu nfio maana hawajui bilicanas ya mbowe iliko
 
Waha wa Kigoma nao wamekuja juu sana kibiashara siku hizi
 
Habari wanajamvi,

Kwanini waotokea mikoa ya Arusha, Njombe, Iringa, Kilimanjaro wanakuwa fiti kifedha na kibiashara hata kama ni vijana wa umri mdogo?

Natumai nitapata majibu ya kuridhisha.
Miungo yao(matambiko na mizimu) inawasaidia sana ukipenda katambike na wewe.
BIBLIA: USITAMANI MALI YA MTU MAANA HUJUI KAIPATAJE..!
 
Wa mbeya na iringa ni wakandalasi wa kutumia madawa na uchawi haswaaa na makafara kibao hao wengi washika bunduki na mitutu wazee wa timing ukilala wanapita na wewe na siri nyingine ni wabahili kama nn (ndo mnavyosema)
 
Ni watu wanaopenda kujituma NA ni wachapa kazi vizuri sana. Ila sasa wameingiliwa NA wanasiasa NA wameanza kujisahau
 
Mwenye kuitaji utajiri wa chap chapa kwa gharama Ndogo aje inbox
 
Shida siku zote ni kutunza pesa na kufanya iongezeke, ndio tofauti ya tajiri na maskini
 
Sina uhakika kama ni wote wapo hivyo au laa ila kufanikiwa kwa mtu katika kitu chochote kile ni juhudi zake katika hilo jambo, na usione mtu kafanikiwa ukadhani huko nyuma kabla ya mafanikio alipita vizur kuna kufeli pia kwenye biashara
 
Nahisi wakizaliwa cha kwanza wanaambiwaga "UKOO wetu unaitwa ATM sasa chakarika usije tutia aibu ya mwaka tukaitwa walala hoi kwa upuuzi wako wa kutokuparangania pesa"
 
Fika k\koo utasikia mangi, sanga, MBILINYI, msigwa , kyando ndio wanaosumbua mjini au Mohammed,
Mbilinyi et al ni wakinga.

Makambako ni mji mkubwa kibiashara,wakinga wamejaaa lakini ukimpata mchaga anafanya biashara makambako njoo nikupe zawadi...........na kiufupi mchaga ni mwizi na mkinga ni mfanya biashara mkubwa anatumia kila njia afanikishe utajiri wake. Wakati mwingine wanakwambia mtoto mmoja analisha wenzake wanne.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…