Nafikiri kinachowasaidia wale jamaa wanatoka porini sana tena kwenye shida mtupu nfio maana hawajui bilicanas ya mbowe ilikoNaona mnabishana bila sababu hivi MTU nimekulia shida nitokako kuna shida sana ya uchumi nikiingia sehemu penye ahueni nitakuwa adui wa anasa zote,nitakuwa na nidhamu ya fedha ili nisirudi niliko toka.MTU unapata kwa siku elfu kumi.unataka utumie 8000 elfu mbili una tunza na wakati mwenzio akipata elfu kumi anatumia 1000.je mtakuwa sasa?
Ni kweli mkuu. Toka nimesikia habari za miti kule Iringa siamin tena zile imani. Ila kuhusu dili wachaga bado wamozamani tuliaminishwa hivi Wachaga wezi,Wakinga wachawi.
lakini kumbe si kweli..
Miungo yao(matambiko na mizimu) inawasaidia sana ukipenda katambike na wewe.Habari wanajamvi,
Kwanini waotokea mikoa ya Arusha, Njombe, Iringa, Kilimanjaro wanakuwa fiti kifedha na kibiashara hata kama ni vijana wa umri mdogo?
Natumai nitapata majibu ya kuridhisha.
inaitwajeMiungo yao(matambiko na mizimu) inawasaidia sana ukipenda katambike na wewe.
BIBLIA: USITAMANI MALI YA MTU MAANA HUJUI KAIPATAJE..!
Wengi wao wamerithi mashamba ya miti ya mbaomhh kwel matajili wa njombe wote 25+years
Mbilinyi et al ni wakinga.Fika k\koo utasikia mangi, sanga, MBILINYI, msigwa , kyando ndio wanaosumbua mjini au Mohammed,